Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

Halafu anawafundisha kuishangilia Simba.
 
Hao watoto ni wa waumini wake na wazazi wao wameridhika.
Zumaridi hana shida yoyote ila wanaomuamini ndio changamoto kichwani kwao
Ni kweli lakini tunaweza iokoa jamii kwa kuondoa vilevi,wakivikosa hawatolewa nao watakuwa salama kabisa
 
Kwqni akijiita Mungu we unapungukiwa na nini!?
 
Wacha kwanza tumalize ya DP World. Ndo urithi wa vizazi vya sasa na vijavyo ati.
 
Nahumu 3:4
Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa yule kahaba mzuri, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake.
Kwahiyo huo mstari unamuhusu Mungu Zumaridi!?
 
Kwani ana tofauti gani na kuhani wako mkuu?
Hata hapa sisi kuna tunaokushangaa kwa kusali kwa kuhani Musa kama ambavyo wewe unawashangaa waumini wa zumaridi. Sioni tofauti ya zumaridi na akina masanja na wengine wengi tu.
Na ana tofauti gani na wale wanaosema kila kitu katoa raisi?
 
Kwqni akijiita Mungu we unapungukiwa na nini!?

miungu wapo wengi hata wewe unaweza kujiita mungu sipungukiwi kitu
Issue inakuja mungu yeye anafanya mambo gani kwenye jamii na yana faida na hasara gani
 
Huu ndio ukweli
Sasahivi tutaona hili jambo halituhusu ila matokeo yake yataigusa jamii yote hayatachagua kwamba huyu alinyamaza, au alishangilia au alikemea

Yesu atusaidie sana
Zumaridi kujiita Mungu kunampunguzia nini Yesu!?
 
miungu wapo wengi hata wewe unaweza kujiita mungu sipungukiwi kitu
Issue inakuja mungu yeye anafanya mambo gani kwenye jamii na yana faida na hasara gani
Mfate kanisani kwake uone anafanya nini!
 
Huyu zumaridi ana kitu arafika mbinguni kachoka sana wanambuluza kwenye kiroba.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mungu gani huyu anakula ugali, anajiremba na mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa? Iko hivi, serikali isimbughudhi imuache tuone mwisho wake ila asiue watu kama yule wa shakahola kenya. Huenda akawa ni mungu mtu
Kwani Yesu alikua anakula nini? Tofauti yake na Yesu Zumaridi ni K Yesu M, lakini wote ni binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…