Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke


Wewe unaamini kwamba zumaridi ndio anakulinda ili usife!???
 
Wewe unaamini kwamba zumaridi ndio anakulinda ili usife!???
Nafkiri hujanielewa .... nimejaribu kuzungumzia uhuru wa imani as long asivunje sheria za nchi .... naomba unisome vzri
 
Nafkiri hujanielewa .... nimejaribu kuzungumzia uhuru wa imani as long asivunje sheria za nchi .... naomba unisome vzri
Maada hapa ni zumaridi
Soma Uzi usikilize na video
 
Huu ndio ukweli
Sasahivi tutaona hili jambo halituhusu ila matokeo yake yataigusa jamii yote hayatachagua kwamba huyu alinyamaza, au alishangilia au alikemea

Yesu atusaidie sana
Ungeendelea kuelezea how hilo litaimpact the whole society ama taifa kwa ujumla?!!
Anaweza kuwa yeye ndo msaada wao kwa kila kitu so watoto lazma wamuamini na kumsikiliza na sio tatizo

Chukua hatua sio kumuachia yesu wakati watoto wanalishwa na kuvalishw na Zumaridi..
 
Sio kweli. Anajua ni kitu gani anafanya vizuri kabisa.

Body Language is almost perfectly controlled. Yuko makini na kazi yake.

Mento means mwezi mchanga ,maji kupwa maji kujaa yaani sometime yes sometime no ileve bu mazee bichwa maji.
 

Sijamuachia Yesu ila nimesema atusaidie
Kuchukua hatua ni pamoja na hili ninalofanya hapa
Na wewe chukua hatua usisubiri mwingine akufanyie, fanya kwa nafasi yako na yeye afanye kwa nafasi yake
 
Sijamuachia Yesu ila nimesema atusaidie
Kuchukua hatua ni pamoja na hili ninalofanya hapa
Na wewe chukua hatua usisubiri mwingine akufanyie, fanya kwa nafasi yako na yeye afanye kwa nafasi yake
Mimi sijaona tatzo kwa anachokifanya Zumaridi ko sihitaji kufanya chochote zaidi ya kutamani aendelee kuwapenda watoto na kuwasaidia mahitaji yao
 
Kosa ni la Wazazi wa hao watoto na sisi Watanzania.
 
Niseme tuu
Pongezi kwa serikali makini ya Rais Samia Suluhu Hasan
Watoto wetu ndio urithi wetu
Mungu ibariki Tanzania
 
Huyu Zumaridi na unabii wake wa uongo...

Wazazi nao wajifunze kujua mtumishi wa Mungu na ambaye sio mtumishi wa Mungu...

Sio kukurupuka na hapa namaanisha wanawake wawe makini...
 
Alichokosea nini hapo, wewe inayemwamini mungu ulishawahi kumwona

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Zumaridi na unabii wake wa uongo...

Wazazi nao wajifunze kujua mtumishi wa Mungu na ambaye sio mtumishi wa Mungu...

Sio kukurupuka na hapa namaanisha wanawake wawe makini...

Umesema vyema DonatilašŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…