Zumaridi aviponza Vyombo vya Habari. TCRA yatoa onyo na kuvitaka kusimamia misingi ya utoaji habari

Sahihi kabisa, uhuru wa habari na kujieleza usiwe kwa yale tu wengi wanayopenda kusikia bali hata kwa yale tusiyoyapenda.
Wanamwonea, kama hawataki, wafanye kama Rwanda kwa Kageme,
Hakuna kujiita nabii au askofu na mchungaji, kama hujapitia elimu stahiki ya dini,
Pia uanzishwaji wa makanisa na madhehebu upitiwe upya,
Siku hizi kuna makanisa yameanzishwa na Wanaigeria ndio Mapaster,
Hapa Mbezi kwa Zena yapo mawili ya Wanaigeria,


Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Limesajiliwa?
 
Uliwaombea hivyo pia wanaorusha habari za Mzee wa Upako, Gwajima, Mwamposa, Geor Davie, Mwakasege, RC, KKKT, TAG, Bushiri n.k??
Heri nusu shali kuliko Shari Zima.

Hao wengine ni Mungu anajua ila kufuru kama ya Zumaridi lazima ipingwe .
 
Hatuhitaji pia mambo ya Rwanda nchini kwetu. Rwanda ndio inapaswa iige mfumo wa kujitawala Tanzania.
 
Picha Katika Uzinduzi wa Mitambo TCRA 2015





:Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa
Wanakurupuka nini?
Nini haswa kilicho wakurupusha huko?

 
Mwambie Millard Ayo na timu yake aache kukurupuka kuhangaika kutafuta content ambazo hazina maana kwenye kwasababu ya kutafuta hela za laana... pesa za aibu zinafedhehesha...
 
Tv E pia waache kumpa Airtime yule mwizi /Tapeli anajiita Mwamposa
 
Sio mshabiki wa Huyo msanii Zumaridi ila niseme tu kwamba binadam wengi tumefungwa kwenye Ile chupa ndogo ndio maana tunachezewa Akili na hao wanaojiita mara manabii,mitume,sijui miungu. Tutafika mbinguni tumechoka sana.
 
Ni wivu tuu , nani alishamuona Mungu na amefika mbinguni basi ajitokeze amprove wrong mfalme Zumaridi , TCRA iko chini ya watu wa hovyo kabisa walioishia la saba B wakaunga unga mpak degree zamchongo thus why wankuwa drived na myth story za Mfalme Zumaridi
 
Kuna wanaojiita manabii/wachungaji... mwamposa, geor davie, gwajima anayefufua watu na wengine wengi wenye hadithi za kufikirika lakini wamewaacha sijui wanatumia vigezo gani kumbana Zumaridi kiasi hiki
Kwani wamembana Zumaridi tu au wametoa sweeping statements ambazo zinaweza kuleta taharuki kwenye clergy?
 
Mkusanya sadaka wa mwamposya amekunwa kwenye mshono amepiga yowe!!
Inashangaza sana wanaoamini Mwamposa na wafia dini wengine kumwandama Zumaridi , anyway kama kuna mtu alishafika mbinguni aje aprove wrong kwa Zumaridi
 
Walikuwepo toka 2015

Picha:Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa 2015 katika ufunguzi wa Mitambo TCRA


Wanayaona ya Mmoja tu.
Humu Je?
Kitaeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…