Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Familia moja ya Kigogo, Dar es Salaam, inaomboleza kifo cha mtoto wao nchini Afrika Kusini. Ericky Ismael Ngobei, 22, aliuawa kwa kupigwa risasi Alhamisi iliyopita usiku katika eneo la biashara...
15 Reactions
64 Replies
7K Views
Mfanyabiashara Maarufu Mkoa wa Arusha na Manyara na mmiliki wa kampuni za uchimbaji wa madini ya Tanzanite Azo Africa Limited na Germ and Rock Ventures, Joel Saitoti amepata pigo zito kwa kufiwa...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Mwandishi mkongwe wa habari za mazingira, Vedasto Msungu amefariki dunia kwa changamoto ya upumuaji huko Morogoro Hospitali ya Rufaa Mwandishi Vedastus Sungu alikuwa akipatiwa tiba kwenye...
14 Reactions
140 Replies
18K Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Jimbo la Mufindi Kaskazini amefariki Dunia. IRENE MHAPA alikuwa mkufunzi wa shughuli za Ujasiriamali na Vikundi ndani ya Chama. Mazishi yatafanyika siku ya Leo...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Aliyekuwa mkurugenzi wa shirika la Habari Tanzania SHIHATA na mhadhiri wa chuo kikuu cha mtakatifu Agustino, Nkwabi Ng'wanakilala amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Bugando...
1 Reactions
32 Replies
11K Views
Askofu George Chiteto wa Kanisa Anglican dayosisi ya Mpwapwa amefariki akiwa anahubiri katika misa ya mazishi ya mke wa askofu mwenzake mama Lugendo Askofu Chiteto alisimikwa katika kitu cha...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwandishi wa habari wa TBC mkoani Manyara, Joachim Kapembe amefariki dunia Desemba 13, 2022 akishuka kutoka katika kilele cha Mlima Kilimanjaro. Kapembe aliungana na Waziri Nape Nnauye na...
2 Reactions
51 Replies
6K Views
Wapendwa, Kwa masikitiko makubws nawajulisha kuwa umempoteza mpendwa na ndugu Kanali Mstaafu Solomon Kichonge Mahende Masero. Amefariki ghafla akiwa jijini Dodoma Desemba 13,2022. Msiba upo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Taarifa ambazo zimewekwa kwenye mtandao wa kijamii wa balozi Omari Kashera unathibitisha kufariki kwa Captein Aboubakar Ibrahim Nkya. Marehemu amefariki nchini India alipokuwa anapatiwa matibabu...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Mchambuzi nguli wa habari ya michezo maarufu kama mwalimu Kashasha amefariki dunia hivi punde alipokuwa amelazwa hospitali ya Kairuki. Chanzo mimi mwenyewe niko eneo la tukio. ---- Mchambuzi...
21 Reactions
174 Replies
23K Views
Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko Tabata huzuni imetawala Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi, hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe...
19 Reactions
251 Replies
28K Views
Ni usiku (saa nne) wa kuamkia leo Agosti 9, 2022. Gari ndogo IST inatokea Kahama, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lililokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu...
15 Reactions
145 Replies
10K Views
Watu 20 wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari matatu na Trekta katika eneo la Mwakata barabara ya Isaka Kahama mkoani Shinyanga. Mashuhuda wa ajali hiyo...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Ajali ya ndege iliyoua watu 19 kule Bukoba imeondoka na mmoja wa member wa JF Stekamba Dunia
13 Reactions
53 Replies
4K Views
Dokta Anthony Mwandulami mganga maarufu kutoka Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Kata ya Mtwango mkoani Njombe Afariki Dunia usiku wa Jana jijini Dar es Salaam. Mganga huyo aliyejipatia...
14 Reactions
195 Replies
39K Views
Wakuu Mmiliki wa Mabasi ya Tavavili Ndugu Max Komba Amefariki Dunia Jana usiku. . Bwana Komba alikuwa anasumbuliwa na Kisukari Kwa Mda Mrefu. . Bwana Ametoa na Bwana ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe...
12 Reactions
66 Replies
9K Views
Mtoto Rehema ambaye ni pacha aliyekuwa amesalia baada ya mwenzake waliyetenganishwa kufariki dunia, naye ameaga Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jana Agosti 11, 2022. Mkuu wa...
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Wapendwa habari za usiku, tunasikitika kutangaza kifo cha dada yetu Sharon Abu kilichotokea huko marekani siku ya leo. Hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa kwa ndugu na jamaa...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zalizotufikia hivi punde ni kuwa askofu mstaafu wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Zanzibar na askofu mkuu msataafu wa Kanisa Anglikana jimbo la Tanzania John Ramadhani amefairiki dunia...
17 Reactions
33 Replies
4K Views
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya. Endelea kutufuatilia kwa...
10 Reactions
312 Replies
26K Views
Back
Top Bottom