Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Dkt. Elineema Kisanga lecturer wa shule ya Uchumi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amefariki Dunia Leo asubuhi. Taarifa zinasema kuwa mauti yamemfika akiwa mazoezini, Leo asubuhi ambapo alianguka na...
3 Reactions
36 Replies
14K Views
Mmiliki wa Shirika la Ndege Nchini Tanzania la Precision Air, Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AgaKhan, Jijini Dar es Salaam ===========...
47 Reactions
277 Replies
37K Views
AFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA GBA/IR/142/2021 MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021...
26 Reactions
877 Replies
115K Views
Mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar na Mwanasiasa ambaye aliwahi kuwa Mwakilishi Jimbo la Uzini Mkoa wa Kusini Unguja, Mohamed Raza amefariki leo hii wakati alipokuwa akipatiwa matibabu, Allah...
8 Reactions
29 Replies
6K Views
Polisi mjini Dallas wameomba msaada wa kumpata mtuhumiwa wa mauaji ya mhamiaji kutoka Tanzania, Johnson Mdoe Mchaina ambaye alikuwa anafanya kazi usiku kusaidia familia yake iliyopo Tanzania...
4 Reactions
106 Replies
25K Views
  • Closed
Huyo Mzee ni Mstaafu (82) alikuwa anaishi Ukonga stakishari, mie ni mjomba wangu na yeye ndiyo alikuwa Mzee wa familia kwa ukoo wa Majebele kwahiyo kila jambo mfano, harusi, misiba nk lazima ash...
9 Reactions
50 Replies
4K Views
Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani. Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu...
23 Reactions
337 Replies
33K Views
Kwa wale wakaazi wa Arusha bila shaka maeneo ya mjini mtakuwa mnamkumbuka mwalimu Bill Mushi ambaye alikuwa akifundisha sana masuala ya Muda na Ujasiriamali, hasa maeneo ya Stand ya Mkoa na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Buriani brother. Jana tumekutana Msasani Flats tukipanga mipango mingi na mipangilio kuhusu safari ya leo kwenda kwenye mashindano ya mbio za magari Sao Hill Iringa zinazo dhaminiwa na CMC...
10 Reactions
53 Replies
3K Views
NAIBU KATIBU MKUU WA JUMAZA ZANZIBAR AFARIKI DUNIA KUZIKWA KISUTU DAR. Na Saimu Gwao. Jumuiya ya Maimamu Zanzibar Jumaza kwa huzuni inatoa Taarifa ya Kifo cha Naibu Katibu wa Jumaza Skh. Khamis...
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Kweli vizuri havidumu, huyu dada alivyokuwa beautiful kisu haswaa anyway R.I.P Nimeitoa kwenye magroup huko[emoji1313] Innalilah wainnaillah rajiun. Aliyekuwa mtangazaji wa Radio Sauti ya...
7 Reactions
37 Replies
5K Views
Emmanuel Reuben Mbiha Emmanuel Reuben Mbiha was born in Kasulu, Tanzania. He was Associate Professor of Agricultural Economics at Sokoine University of Agriculture, Morogoro, Tanzania and was...
5 Reactions
45 Replies
4K Views
Engineer Joseph Malongo, aliyewahi kuwa mfanyakazi hatimaye Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi, amefariki dunia asubuhi leo, katika hospitali ya Mlonganzila. RIP Eng Joe Malongo.
5 Reactions
31 Replies
5K Views
Hiki ni kisa cha kuhuzunisha, Mwenge Kijijini jijini Dar inalia, misiba ya watu wawili marafiki John Simba na Patrick a.k.a Masu a.k.a Masumbuko marafiki chanda na Pete. Issue iko hivi...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
Sijui wangapi walikuwa wanamfahamu Odemba, kifo kimetokea siku nne zilizopita. Alikuwa anasafiri ndani ya basi kwenda Arusha, alipofika Mombo akaugua, akapata low blood pressure, akapelekwa...
10 Reactions
72 Replies
7K Views
GEITA. Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita. Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashauri ya Wilaya ya Geita ameuawa Leo March 15 Kwa...
14 Reactions
165 Replies
17K Views
Nimehuzunishwa na kifo cha Balozi Paul Milyango Rupia Aliyekuwa na umri wa miaka 84. Mauti yalimkuta Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa. Paul alikuwa miongoni mwa wanadiplomasia wabobezi wa...
17 Reactions
53 Replies
7K Views
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia. Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa...
30 Reactions
127 Replies
11K Views
Aisha Madinda wakati wa Uhai wake Aliyekuwa Mnenguaji na Muimbaji wa Bandi ya Twanga Pepeta Aisha Madinda amefariki dunia hivi punde Jijini Dar es salaam. Habari imethibitishwa na mmiliki wa...
2 Reactions
281 Replies
111K Views
1. Profesa Alex Lyatonga Mrema wa CoET, UDSM ametutoka. 2. Tuliosoma Civil Engineering, FoE (baadae CoET, UDSM tutamkumbuka daima). 3. Poleni familia na Doreen. 4. Naambatanisha Ratiba ya Mazishi...
8 Reactions
40 Replies
5K Views
Back
Top Bottom