Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Tumepoteza msomi wa kujivunia Tanzania. Professor Maliyamkono ni kati ya wasomi wachache waliobobea kwenye kuandika vitabu na kufanya research za uhakika kwa nchi nyingi za Afrika RIP Prof ====...
6 Reactions
19 Replies
4K Views
Kwa niaba yangu Mwenyewe na kwa niaba ya Wapenda haki wote wa Tanzania, natoa Pole kwa Baba Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula kwa kupoteza Mama yake Mzazi. Namuomba Mwenyezi Mungu amtie nguvu. Amina
5 Reactions
10 Replies
928 Views
Hatimae yametimia! Apumzike kwa amani! Huyu ni Lt General Benjamini Msuya! Alikuwa kinara wakati wa vita ya Kagera! Aliongoza utekaji wa Jiji la kampala na kuwa Meya wa Kampala, na pia kama Rais...
21 Reactions
82 Replies
12K Views
Mwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa. Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
28 Reactions
170 Replies
22K Views
Waheshimiwa wana Kagera NASIKITIKA kuwajuza Leo hii tumepata pigo zito kuondokewa na Msomi, mpenda maendeleo na Mbunifu Profesa Dr. Erasmus Kaijage (PhD Sheffield) Muda haitoshi kuelezea CV yake...
4 Reactions
42 Replies
5K Views
South Africa sio nchi ya Kuishi mtanzania tena maana sio salama kabisa Usiende South Africa ni Hatari watu wanatumia sana Visu. Mtanzania huyu Anaitwa jumanne Ameuwawa Kwa Kuchomwa kisu nchini...
3 Reactions
7 Replies
801 Views
Aliyekuwa Afisa Usimamizi wa Fedha Mkuu Daraja la Kwanza wa Kitengo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), Profesa Handely Mwafwenga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo...
14 Reactions
142 Replies
18K Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ( CCM) kata ya Ulowa wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Safari Manjala amejiua kwa kujipiga risasi shingoni asubuhi ya leo. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga...
7 Reactions
77 Replies
7K Views
Aliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam. Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa...
12 Reactions
126 Replies
25K Views
RIP Mzee Beda Amuli, mbunifu na mchoraji wa majengo likiwemo soko la Kariakoo, DSM. Masasi imekupoteza lakini vijana wako hatutakuangusha ili ndoto ya Masasi itimie. Mzee Amuli ulipigania elimu ya...
2 Reactions
98 Replies
28K Views
CHAKI (JAFFAR KASMALI) MCHEZAJI WA COSMOPOLITAN NA TIMU YA TAIFA AMEFARIKI LEO NEW YORK Chaki alikuwa golikipa hodari wa Cosmo katika miaka ya 1960 wakati huo wachezaji wenzake ninaowakumbuka...
11 Reactions
29 Replies
3K Views
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na...
10 Reactions
190 Replies
17K Views
TANZIA -JIMBO KATOLIKI LA BUKOBA Askofu Method Kilaini, anawatangazia kifo cha padre Asterius Mutegeki, kilichotokea tarehe 18 Agosti 2023 kwa jali ya pikipiki. Padre Asterius ni kijana...
3 Reactions
34 Replies
4K Views
Hivi South Africa kuna nini, mbona Watanzania wanakufa sana? Kwa mnaoifahamu South africa je, ni vibaya kwa Watanzania kwenda kutafuta maisha huko na je, ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi...
8 Reactions
149 Replies
11K Views
Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi. Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu...
13 Reactions
216 Replies
38K Views
Pumzika kwa amani Vicky Marafiki na ndugu tutakukumbuka daima poleni wana Dodoma na chuo cha St John.
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Maneno sio mengi sana. Napenda kutoa pole za dhati kwa familia kwanza ya Musoma Food, ndugu, jamaa na marafiki, kwa kumpoteza mfanyabiashara huyu mkubwa wa nafaka kanda ya ziwa na pengine...
6 Reactions
31 Replies
6K Views
Karatu jana kuna jamaa saa saba usiku ameenda Kanisani kumgongea mlango Paroko amuombee, Paroko alivyofungua Kanisani jamaa aingie amuombee kumbe alikuwa na chuma akapiga sana. Paroko ameenda...
12 Reactions
92 Replies
12K Views
ni ndugu yangu. RIP WAMBARI.
0 Reactions
57 Replies
10K Views
Habari zilizopatikana hivi punde ya kuwa aliyekuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ukiwaona Ditopile amefariki dunia kwenye Hospitali ya mkoa wa Morogoro. Mbali ya brother Dito ambaye amefariki...
1 Reactions
133 Replies
29K Views
Back
Top Bottom