Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Jinsi Vyama vya Ushirika vinavyodhulumu na kuwaibia pesa Wakulima wa zao la ufuta Tunduru. Mwaka huu soko la zao la ufuta linasumbua, hii namaanisha bei kushuka kila mnada Mfano Mnada wa kwanza...
0 Reactions
1 Replies
257 Views
[Picha: Wiki How] Tupo kipindi ambacho wizara ya Elimu inapambana katika kuleta mabadiliko katika elimu hasa katika mafunzo ya walimu. Ila kulinga na muongozo mpya ambao umetoka ili walimu...
1 Reactions
2 Replies
547 Views
Wanafunzi wa Diploma ya Utabibu wanafukuzwa wodini bila sababu ya msingi na kubaguliwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma.
1 Reactions
5 Replies
321 Views
Hospital hiyo imefungwa ghafla huku staff wakiwa wanadai fedha za malimbikizo ya mishahara ya miezi 12 nyuma ambayo tuliahidiwa tungeaza kulipwa taratibu ndani ya mwaka Jana lakini haikufanyika...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Kumekuwa na tatizo la ukosefu wa uwajibikaji na uwajibishwaji wa viongozi wa hospitali ya Manispaa ya Kahama mjini kwani kero ni nyingi wanazokumbana nazo wafanyakazi ikiwemo waajiriwa wapya wa...
0 Reactions
2 Replies
181 Views
Sisi Wananchi wa Kata ya vijibweni, Mtaa ya Kibene na nyingine zilizopo jirani na maeneo hayo (Dar es Salaam), kumekuwepo na matukio ya kuogofya na yanayotokea mfululizo ikiwemo kuokotwa kwa miili...
1 Reactions
5 Replies
768 Views
Ni takriban wiki sasa yale madimbwi yaliyotokana na mafuriko ya mvua za mwaka huu yamesababisha mlipuko wa kipindupindu. Sasa mbona kama inafanywa siri? Lengo ni kutozua taharuki au nini? Watu...
1 Reactions
7 Replies
502 Views
Hivi viwanda vipo Iringa na Njombe. Wanakata milingoti sana na wanaharibu mazingira. Wafanyakazi hatuna mikataba anakufukuza muda wowote kwa chochote. Assume wazee wetu walipanda miti ili watoto...
2 Reactions
8 Replies
351 Views
MALALAMIKO KUTOKA FAMILIA YA MAREHEMU WOLFGANG M.TURUKA. Tangu tarehe 14/9/2020 ndugu yetu Tito hajulikani alipo na familia tunazo taarifa kwamba Polisi walimpiga akiwa kituoni na kumuua, kisha...
4 Reactions
15 Replies
636 Views
Morogoro Mjini kata Tungi (ambako ndio makao makuu NIDA mkoa) kuna ujenzi wa barabara ya lami, ni pongezi japo ujenzi ulicheleweshwa kwasababu za kisiasa kwani baadhi ya viongozi walikuwa wakisema...
0 Reactions
1 Replies
355 Views
Tuhuma za RMO Kahama 1- Anamtetea shemeji yake, ambaye anatuhumiwa kupunguza purity kwenye soko kuu la Dhahabu Kahama, tuhuma hizo kuhusu shemeji wa Kumburu zimefikishwa hadi ofisi ya DSO KHM &...
1 Reactions
4 Replies
893 Views
Ni aibu kwa halmashauri ya mji wa Babati kuweza kujenga mamia ya frem za biashara kuzunguka uwanja wa mpira wa Kwara halafu wasiweze kuweka huduma ya choo. Biashara mbali mbali zinafanyika katika...
3 Reactions
11 Replies
435 Views
Ujumbe wa Mdau ambaye mtoto wake anasoma kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari Ruvu ametoa povu: Jamani tusaidieni kupaza sauti. Tuliambiwa ada ya shule zimeondolewa lakini bado wazazi...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan. Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia...
56 Reactions
221 Replies
16K Views
Hapa Mbezi Luis Stendi barabara ya kwenda Kinyerezi ilivyojaa msongamano wa machinga na bidhaa zao ambazo ziko kando ya barabara na kusababisha barabara kuzidi kuwa finyu licha ya wembamba wake...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Maji yanayotumika Morogoro mjini hasa Kwa upande wa SUA Main Campus yanasababisha fangasi sugu sehemu za siri. Tunaomba Serikali ilifatilie
0 Reactions
10 Replies
332 Views
Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji. Hii ni kutokana na siasa...
18 Reactions
146 Replies
9K Views
Heshima kwenu wakuu, Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini...
8 Reactions
101 Replies
10K Views
Wananchi walichanga pesa Tsh 5,000 kwa kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa kituo mpya cha magari ya halmashauri, lakini cha ajabu mpaka sasa wananchi hawajui zile PESA zimefanya nini na kiasi gani...
2 Reactions
6 Replies
392 Views
Huu ni uhuni mkubwa unaofanywa either na PSSSF or Hazina kwa maana kwamba michango ya pesa zinazotakiwa kuingia PSSSF haionekani kabisa na hii inapelekea kupunguza kiasi cha pesa ambacho mtumishi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom