Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wakuu tunatangaza msiba wa mtanzania Prosper Prosper ambaye alikuwa anaishi Marekani, amefariki kwa ajali ya gari. Mtanzania huyu alikuwa anaishi Sugerland - Texas Taarifa zaidi kukujia.
24 Reactions
230 Replies
12K Views
Askofu mkuu wa makanisa ya Methodist,Joseph Bundala amejinyonga ofisini kwake kwa kutumia waya wa simu. --- ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist Tanzania, Joseph Bundala (55), amekutwa amejinyonga...
11 Reactions
75 Replies
8K Views
SHEIKH DOGA AMEFARIKI DUNIA Kutoka ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam إنا لله وإنا إليه راجعون INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN Mmoja wa Masheikh Maarufu na bobezi mno katika fani ya...
13 Reactions
47 Replies
2K Views
Aliyekuwa mjumbe wa magroup ya whasap ya globify na dj maarufu mbeya amefariki jana jijini mbeya ndugu Mozart Mbena Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele poleni sana wana Mbeya. Kwaheri rafiki ...
4 Reactions
7 Replies
648 Views
Wadau wote tumepata msiba mzito kwa kuondokewa na Shehe maarufu nchini aendaye Kwa jina la Salim Mubaaraka (Daruwesh Mtu Mkavu) ambaye amefariki Dunia alfajiri ya Jumatano tarehe 21 / 08/ 2024...
2 Reactions
21 Replies
881 Views
Mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu Halima Mdee, Bi.Theresa Mdee amefariki dunia leo katika hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma Taarifa hiyo imetolewa na Mbunge Ester Bulaya ambaye amethibitisha...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakili wa Kujitegemea Maria amefariki ghafla akiwa ukumbi wa mikutano huko Dodoma kwenye vikao vya mawakili. Inasemekana ni shambulio la moyo, heart attack lililoshahihishwa na presha ya kushuka...
16 Reactions
56 Replies
5K Views
Mwandishi wa HabariLEO, Theopista Nsanzugwanko amefariki dunia leo majira ya saa 3 asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa Muhimbili, familia imesema. Theopista amekuwa...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
TANZIA: MWANA JF MIGUU YA KUKU/ MPAUKO HATUNAE DUNIANI Kwa mujibu wa rafiki yake wa mitandaoni ni kuwa Mpauko / MIGUU YA KUKU alifariki tarehe 23 /01/2020. Chanzo cha kifo chake ni kujinyonga...
73 Reactions
759 Replies
75K Views
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Mzee Ramadhani Nyamka anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1983 hadi 1992...
15 Reactions
62 Replies
3K Views
Nimepokea kwa masikitiko Makubwa sana taarifa za Kifo cha Huyu Rafiki yangu na mwana JF mwenzetu. Dunia tunapitia ama kweli😭😭😭
8 Reactions
147 Replies
23K Views
Kwa wale waliomaliza Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam mwaka 2004 hasa kitivo cha elimu mlisoma naye. Waliomaliza Jitegemee sekondari kuanzia 2001 mtakuwa mnamfahamu. Wale wa kazi maalum mtakuwa...
10 Reactions
43 Replies
5K Views
TAAZIA: PUDENCIANA TEMBA Majonzi. Inachoma sana moyo. Ikiwa mtakumbuka miezi michache sana hapa hapa niliwekewa kumbukumbu ya kifo cha Dr. Edith Kitambi nami kwa kuwa sikupata taarifa ya kifo...
16 Reactions
56 Replies
2K Views
MRATIBU Msaidizi Baraza la Usalama wa Taifa, Brigedia Jenerali Vitalis Andrew Chakila amefariki dunia. Taarifa ya kifo chake imetolewa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Sheikh Said Nyange amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 48 usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua ghafla akiwa Makka nchini Saudi Arabia alipokwenda kuhiji na tayari ameshazikwa hukohuko baada ya...
6 Reactions
14 Replies
861 Views
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu. Mchungaji Mitimingi alizaliwa mwaka 1975...
41 Reactions
355 Replies
73K Views
Prof. Aminirabi Erasto N. Kweka, Provost Mstaafu wa SMMUCo. Ameitwa na Bwana, Juni 8, 2024, JKCI. Mwili wake umesafirishwa kwa maziko kwenda Moshi baada ya Ibada fupi, Muhimbili Chapel. Ayubu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mhasibu wa Idara ya Mapato ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Amon Joseph (41) amefariki dunia katika ajali ya gari akienda kwenye maziko ya baba mzazi wa mhasibu mwenzake, yaliyotarajiwa kufanyika...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ninatoa pole sanaa Kwa familia ya Ndg. PATRICK NGILOI ULOMI Kwa kuondokewa na Mama Yao mpendwa hakika wamekuwa kati majonzi makubwa ya kuondokewa na muhimili na nguzo imara ya familia nawapa pole...
0 Reactions
1 Replies
714 Views
🇿🇦🇿🇦 MZEE BABA🇿🇦🇿🇦 Ndugu watanzania mabaharia watafutaji na wanaharakati....... Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu manzania mwezetu Michael aka Mike...... Mike Tanzania...
8 Reactions
72 Replies
4K Views
Back
Top Bottom