Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
Zipo taarifa za Mwenyekiti wa chama tawala kukutana na wakurugenzi Dodoma wakati kampeni zinaendelea huku Hawa wakiwa ndio wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo. Tume ya uchaguzi inazungumziaje...
10 Reactions
66 Replies
7K Views
Ni uchaguzi rahisi kwa CCM, uchaguzi mwepesi kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii. Ni uchaguzi wa mafanikio ya CCM dhidi ya ahadi za Wapinzani. CCM inakwenda ktk uchaguzi huu kuonesha...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Hongereni kwa kampeni. Twende kwenye hoja moja kwa moja,binafsi Sina tatizo na watumishi kuongezwa mishahara hiyo ni haki yao lakini ni vyema hoja Kama hii ikachagua majukwaa ya kuizungumzia...
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Ninaona kama kwa Dar es salaam chama changu hakina mpango wa kuchukua majimbo mengine zaidi ya Kawe. Majimbo kama Temeke, Mbagala, Kigamboni, Ubungo na Segerea ni kama wameyatoa kafara kwa CCM...
4 Reactions
68 Replies
5K Views
Mliopo katika nafasi ya kuwashauri Wazee na wadosi washaurini wajifunze kuilinda dhamana waliyopewa. Whatsapp imekuwa uchochoro wa kuvujisha Siri na mikakati mingi, naumia kuona baadhi ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaaaaam, juzi nilipata kuhudhuria msiba wa ndugu yangu katika Kijiji fulani mkoani Mbeya na nilishangaa kuona balozi kwa unyenyekevu akitangaza kuwa kaletewa taarifa kutoka juu zikidai Rais...
13 Reactions
28 Replies
3K Views
Uchaguzi ni takwimu, mikakati na mipango ambayo inaonekana wazi kwa macho na isiyoonekana. Kwa inayoonekana ni wazi kuwa.... Pamoja na CCM kuwa na kila kitu kinachotakiwa kwenye kampeni, magari...
52 Reactions
149 Replies
11K Views
Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
29 Reactions
97 Replies
10K Views
Mataifa makubwa kama Uingereza na Marekani wagombea huwa wanatumia lugha kali kwa wagombea wenzao na nyie ni mashahidi Joe Biden huwa anatumia lugha kali kwa Trump, mashambulizi ni kwa mtu na mtu...
12 Reactions
38 Replies
3K Views
Mzee Shomari anasema mzalendo ni mtu anayelipenda taifa lake kwa moyo wake wote,analitakia taifa lake mafanikio mema, na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake. JPM ni mzalendo wa kweli hiyo...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Tundu lissu ni mgombea hajawa Rais bado,Lakini watu wanakaa barabarani na kumsubiri huku wakiimba Rais Rais Raisi Haya yamejitokeza sana kanda ya ziwa mikoa ya Geita na Mwanza ,Vunja kazi ni...
27 Reactions
61 Replies
5K Views
Wagombea wa ccm kwa tiketi ya Urais na Ubunge wamekua wakienda kinyume na ratiba ya UCHAGUZI kwa kutokuwepo eneo la kampeni kwa siku tajwa. Je, kwa kufanya hivi wanavunja sheria au wanaweza kwenda...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa. Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali...
13 Reactions
46 Replies
3K Views
Ukoloni mamboleo (neo-colonialism) ni nini? Ukoloni mamboleo unaeleweka kwa mapana kama mwendelezo wa siasa ya kibepari ambayo inaziwezesha mamlaka za kibepari (baadhi ya mataifa yaliyoendelea...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kampeni za mwaka huu zina utofauti mkubwa sana na kampeni za vipindi vilivyopita. Zamani muda kama huu tungekuwa tukishuhidia wanachama toka vyama mbalimbali wakijiunga na vyama vipya kwa...
3 Reactions
4 Replies
749 Views
Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu anasema jeshi la polisi limefanya kazi nzuri katika maeneo yote aliyopita na kufanya kampeni. Lisu anasema polisi wasisingiziwe kwa lolote kwa...
16 Reactions
56 Replies
6K Views
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa. CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye...
117 Reactions
162 Replies
15K Views
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Queen Cuthbert Sendiga ameendelea na kampeni zake leo Jijini Dar es salaam katika wilaya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Pamoja na maono na fikra zako za kuamini kuwa sisi watumishi kura zetu ni chache na hazitakusaidia chochote kwenye ushindi wako, ila ni ukweli usiopingika kuwa sisi watumishi tuna ushawishi mkubwa...
1 Reactions
3 Replies
952 Views
Kama wanavyofanya wana CCM wengine waliotia nia na kuenguliwa ama kushindwa kwenye kura za maoni, sijawahi kumuona Makonda akiwanadi wagombea wa CCM. Ikumbukwe kuwa aliwahi kuahidi kuwa atazunguka...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom