Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimekuwa ni msomaji zaidi kuliko mchangiaji kwa muda mrefu lakini nimekuwa nikishangaa sana watu wanapokuwa wanaongea vitu wasivyovielewa ama kwa ushabiki au kwa kutokuelewa. Mfano watu...
34 Reactions
50 Replies
4K Views
Jana maeneo ya Mabatini jijini Mwanza nilishtuka baada ya kuona wale walinzi maalum walipoanza kugombea maji ya chupa ambayo yalikuja katoni moja na hivyo kutokutosha wote. Hali ile ilinishtua...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
CCM walidanganyika mno kudhani Uchaguzi wa 2020 ungekuwa rahisi, haifahamiki kama aliyewadanganya alikula njama au ilikuwa bahati mbaya ( tunaendelea kuchunguza ) Hapa chini nimeweka video fupi...
12 Reactions
21 Replies
3K Views
NITASIMAMIA ELIMU BORA NA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO "PROF.LIPUMBA" BUKOBA VIJIJINI Serikali ya umoja wa kitaifa chini ya CUF itahakikisha kuwa watoto wote wa Tanzania...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii. Nataka niwaambie...
97 Reactions
85 Replies
9K Views
Kama yote hayo ni kweli, mnaficha nini? Tuliambiwa hivi hivi kuhusu migodi yote yenye mikataba tata, tuliambiwa hivyohivyo kuhusu Richmond, Escrow na ujinga mwingine mwingi. CCM ndivyo walivyo...
3 Reactions
4 Replies
985 Views
Yapo Mambo yanafanywa na wagombea wa Chama cha Mapinduzi wakiwemo vijana yanatia najisi jamii wanayotaka kuiongoza. Jery Slaa kumnawisha mwanamke miguu kama njia ya kuomba kura ni fedhea na...
12 Reactions
55 Replies
6K Views
Lissu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi. Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani...
10 Reactions
281 Replies
14K Views
Mkutano wa Tundu Lissu akiwa Bagamoyo umenikatisha tamaa kwa hoja zake zisizo na majibu bali zinahitaji utekelezaji wa Serikali. Mosi, Tundu Lissu anasema wananchi wa barabara ya Kimara wengi...
46 Reactions
164 Replies
18K Views
Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu. Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya...
33 Reactions
193 Replies
18K Views
CHADEMA bila polisi hamna kitu kabisa zaidi ya mwezi sasa wanaoperate freely hawamake headlines tena, kila gazeti ni mafuriko ya JPM. Zuchu ana jina kubwa mikoani kuliko Lissu. Wanataka hata Leo...
12 Reactions
74 Replies
6K Views
Mpeni kura Ramadhani Ighondo watu wa Singida kaskazini mpate maendeleo. Acheni mazoea kwa Nyalandu atawapa nini? Ameshindwa kuwaletea maendeleo akiwa CCM mtayapata akiwa CHADEMA?
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Radio WAPO ya kanisa imeamua kuifanyia kampeni waziwazi CCM, hii ni radio ya kanisa la Pentecost. Radio hii imeamua kuvibagua vyama vinginevyo na kutumia muda kuvikejeri vyama hivyo. Namalizia...
7 Reactions
41 Replies
4K Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Siku za kampeni ndiyo hizo zinayoyoma. Kampeni nazo haiishi viroja. Mwendo ni bandika bandua. Mmoja baada ya mwingine. Sikia...
5 Reactions
53 Replies
6K Views
1. Chini ya utawala wake kuna Ombwe la utawala bora na unaoheshimu sheria na katiba Kitu cha msingi kabisa ambacho raisi anapaswa kukishika kama mboni ya jicho lake ni kutimiza kiapo alichoapa...
32 Reactions
66 Replies
7K Views
Imani yangu inanikataza kushirikiana na watu au vitu viovu sasa ninapoona watu wakipanda jukwaani kutuhubiria mambo mazuri alafu watu haohao wanatumia watu ambao si wasafi kiroho kuvutia umati...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Hili tumekua tukilisema sana humu mara nyingi. Sababu kubwa Rais Magufuli kushindwa na Wapinzani tena kwa kura nyingi sana ni Ugumu wa maisha aliousababisha yeye na serikali yake. Watu wote nchi...
14 Reactions
16 Replies
1K Views
Ninakipenda sana chama changu cha CCM, lakini sifurahishwi na yanatoendelea: 1. Kwa mara ya kwanza campaigne ya Urais na Wabunge haina muelekeo. Magufuli umefeli sana na kukiharibu chama kwa...
7 Reactions
60 Replies
4K Views
Hi ni aibu ya mwaka Chama kimokosa mvuto tukiwaambia mnabisha hiki chama bila wasanii haki ya Mungu hakipati watu. Mwaka huu patachimbia watu mjiandae kukabidhi Ikulu. Lissu yupo vijijini...
20 Reactions
66 Replies
8K Views
Back
Top Bottom