Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kampeni ni kunadi Sera na chama ili chama kishike dola. Leo ni mwezi mmoja kamili toka kampeni zianze CCM tu ndio inanadi sera na chama wengine wanajinadi wao binafsi kuwa nichague mimi...
3 Reactions
64 Replies
5K Views
Habari zenu wadau, Kipindi kampeni zikiendelea kushika kasi kuna kitu kusema ukweli sisi kama Watanzania tuna tafakari mara mbili mbili hasa aina ya kampeni zinazofanyika na chama cha...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
MGOMBEA ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amesimamishwa kuendelea na kampeni, akidaiwa kukiuka kanuni za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Rais Magufuli alipopita Masanza aliwaeleza waziwazi wapiga kura kuwa hawatishi isipokuwa kama watafanya makosa ya kutomchagulia viongozi wa CCM watajuta! Tena akasisitiza kwa kisukuma kuwa...
10 Reactions
11 Replies
1K Views
Kadiri kampeni zinavyodhidi kunoga ndio kila siku tunazidi kusikia kila aina ya tuhuma, tuhuma ambazo wagombea urais wanaona zinaweza kuwapa kete ya kupata kura. Akiwa Kamachumu mkoani Kagera...
13 Reactions
145 Replies
10K Views
Wapo wanaodai kuwa Tundu Lissu anafanya mkutano mjini tu. Hapa ni wilaya mpya ya Nyehunge jimbo la Buchosa na Lissu anatikisa kila kona. Tukutane baadaye Geita mjini
48 Reactions
98 Replies
12K Views
Watanzania tuwe makini sana, Sana tunaelekea October 28! Kuwa katika tafakuri sahihi! Jiulize, kwanini unapiga Kura!? Usipige Kura kwa desturi na mazoea! Tafakari Sana juu ya hatima ya maisha yako...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Ndugu Magufuli, mkoa wa Tanga uliwahi kuwa mkoa tajiri no.1 East Africa kwa sababu ulikuwa ndio sehemu iliyo ongoza ulimwenguni kwa zao la katani, likifuatiwa na yucatan ya Mexico. Tokea miaka ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mgombea urais kwa tiketi ya CUF Prof. Ibrahimu Lipumba, amesema uchaguzi huu usiwe chanzo cha uvunjifu wa amani ya Tanzania. Lipumba ametoa kauli hiyo leo septemba 24, mwaka huu kwenye mkutano...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Magufuli akiwa na kampeni wanachapisha picha kubwa ya kampeni zake kwa juu kisha chini wanaweka vipicha vidogo vya wapinzani. Magufuli akipumzika kampeni hawaweki picha ya mgombea anayetoa...
29 Reactions
30 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Ninaamini kumekuwapo na kujizuia kwa hali ya juu wanazuoni wanaita subira kutoka kwa wanaoathirika moja kwa moja na maamuzi yenu na...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu Jana ameingia Kigoma kwa kishindo kikuu. Alilakiwa na Maelfu Elfu ya watu waliojipanga majiani huku wakitandika mikeka chini shujaa huyo wa...
20 Reactions
98 Replies
11K Views
WanaJF, Nimewaza sana kuhusu hili. Uoga ni kitu kibaya sana. Uoga unawafanya watu wawe wanyonge na kunyong'onyea. Lakini pia waweza kupigwa vita na kuondoka. Kabla Lissu hajarudi, watu walikuwa...
2 Reactions
3 Replies
994 Views
Vita ya Corona dunia nzima inawasumbua kote kuliko na majeshi yenye nguvu na teknlojia ya hali ya juu na wenye huduma za afya bora duniani zenye madaktari bingwa wazuri duniani ikiwemo Ubelgiji...
7 Reactions
35 Replies
3K Views
Wanabodi, Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila). Kule kwenye...
48 Reactions
211 Replies
18K Views
Mwezi mmoja baada ya muda wa kampeni kuanza rasmi Tanzania na uki wauliza wengi, wata kwambia "Mambo bado, Bado asubuhi, Kujaza uwanja mzima haimaanishi kwamba uta shinda". Uki tizama kwa haraka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waliambia, kuwafungia wapinzani sio vizuri. Wangewaruhusu. Leo wasingekua na mikutano na waandishi wa habari mara kwa mara kujieleza au kufafanua mambo wanayo dai upinzani unapotosha. Wangilelijua...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Waziri mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwa Monduli kwenye kikao cha chama cha mapinduzi ambapo mwanae Fred Lowassa anawania jimbo hilo, alipata fursa ya kuongea na kumuelezea Dkt. Magufuli...
19 Reactions
127 Replies
13K Views
Akihutubia umati mkubwa wa watu kwenye kata ya Kaloleni Lema amewaomba wananchi wamchague mbunge atakayehoji serikali, wasichague mbunge bubu ambaye kazi yake itakuwa ni kugonga meza na kusema...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
Njia pekee ya kukabiliana na gharama za uchaguzi ingekuwa kutoa ruzuku na misaada kwa vyama vya siasa nchini. Kukosekana kwa hela ya kumudu gharama za kupiga kampeni imesababisha vyama vidogo...
13 Reactions
55 Replies
5K Views
Back
Top Bottom