Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tukumbuke kuwa Tundu Lissu alivuliwa ubunge akiwa mgonjwa na wala hakulipwa kiinua mgongo. Tusiache kumchangia mafuta na maji ya kunywa katika safari ya ukombozi. Wote tujitokeze kumpigia kura...
57 Reactions
107 Replies
8K Views
CCM tulimpamba mzee sana kuanzia bungeni na nje ya bunge, tukaenda mbali na kusema kuwa hahitaji kampeni 2020 bora hata uchaguzi usifanyike ili apite bila kupingwa, hizi kauli za kinafki ni za...
11 Reactions
61 Replies
8K Views
Tundu Lissu akiwa Bukoba Mjini amesema anasikia taarifa za kuwa wakishinda hawatotangazwa. Amemuasa Rais Magufuli kutothubutu kufanya hivyo akimwambia kuwa hana Jeshi la kuzuia wao kutangazwa...
17 Reactions
47 Replies
6K Views
Ndugu yangu najua utakuwa unapitia nyuzi zangu nikiwa supporter wako mkubwa tangu kura za maoni. Mh hili jimbo la letu la Nkenge ni rahisi sana kuwashinda upinzani maana asilimia 99 ta kata zake...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Hii itasababisha maporomomoko ndani ya CCM kwa sasa ni wananchi wa kawaida ambao tayari wameshaonyesha na kunyanyua silaha zao kuiangusha CCM tarehe 28/10/2020. Hawa huitwa wanajeshi wa miguu...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Natabiri kuondolewa kwa katibu Mkuu CCM na katibu Mwenezi wa CCM Mara tu uchaguzi utakapomalizika. Chama dola hakiwezi kuishi kwa kutegemea dola pekee bali kinapaswa kuyaishi wanayowaza na...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Habarini Katika kutafakari tutafikaje 28 october, likanijia hili wazo tena fikra za kuanzia at family level Kwenye familia, vikao vya kifamilia vikikaa yule mwenye uafadhali kimaisha ndie mara...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Watanzania tusikubal kuwa wajinga mbele ya Wanasiasa waongo. CHADEMA na ACT-Wazalendo kuungana kwao ni ishara ya uchu wa Madaraka kwani sababu ya wao kuungana ni kumtoa Magufuli na sio kuongoza...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Kwa mashambulizi haya ya Tundu Lissu kila siku anabomoa ngome ya mpinzani wake kwa matofali kadhaa. Kuna wale CCM damu na Chadema damu, hawa hata iweje kura zao hazibadiliki. Kuna lile kundi...
18 Reactions
41 Replies
4K Views
CHADEMA kupitia vikao halali kabisa vya kikatiba walimteua mgombea urais wao wa Zanzibar. Lissu anahubiri haki lakini alipofika Zanzibar akaanza kumnadi Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo. Haki ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Huwa nasikia walipopiga kura kuamua vyama vingi ni 20% waliokubali ila Nyerere akasema hiyo 20% ni kubwa sana. Tanzania imepiga hatua sana baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi. Leo hii...
1 Reactions
0 Replies
602 Views
Kuchagua CCM ni kuwafungia zigo la mateso makubwa Wananchi. Ni kuchagua maumivu makubwa kwa Watanzania ni lazima tuwe makini zaidi. 1. Kuchagua CCM ni kuchagua watu kuendelea kupotea bila kujua...
20 Reactions
46 Replies
3K Views
MITANO KWANZA VS MITANO TENA Kwa maoni yangu ccm hawakutegemea uchaguzi kuwa mgumu hivi mgombea wa Chadema TUNDU LISSU ameonesha Uwezo mkubwa wa kujenga hoja hasa baada ya ilani yao kubebwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi. Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi...
27 Reactions
220 Replies
18K Views
Wale mnaopiga kelele kuwa Lissu kamaliza kazi mnaota Lissu mwezi mzima hadi sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257...
13 Reactions
92 Replies
8K Views
Hii ni sauti inayonisumbua kila kukicha ya Mungu Ikiniambia Huyu Ni Mwanangu Mpendwa Nimpe Kura yangu. Naamini ni sauti inayokusumbua pia wewe Mtanzania ikijurudirudia na kukusii uitii kua " Huyu...
19 Reactions
35 Replies
3K Views
Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na Serikali ni kikubwa sana. Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani...
18 Reactions
142 Replies
14K Views
Huku ikiwa bado Mbeba Maono Tundu Lissu kukanyaga ardhi ya Kyela, tayari CCM imeanza kupukutika yenyewe mithili ya mti wakati wa kiangazi, makovu ya kura za maoni yanaendelea kuitesa baada ya...
23 Reactions
42 Replies
6K Views
Hapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza. Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua...
5 Reactions
110 Replies
9K Views
Back
Top Bottom