Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

"Niliposikia wenzetu eti watagawanya nchi hii vipande vipande nilishangaa sana, tulipopata uhuru Baba wa Taifa alituweka pamoja kwa maana ya kwamba umoja ni nguvu, unapomsikia mtu anasema akipata...
3 Reactions
48 Replies
5K Views
Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi...
15 Reactions
70 Replies
6K Views
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake. Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa...
18 Reactions
112 Replies
11K Views
NITASIMAMIA KWA MAKINI KATIKA SEKTA YA KILIMO NA MAENDELEO YA VIWANDA" PROF.LIPUMBA" KIGOMA KASKAZINI. Dira ya Mabadiliko ya CUF inakipa kilimo nafasi ya pekee katika mikakati ya kukuza uchumi...
0 Reactions
0 Replies
923 Views
NIKIWA RAIS NITAIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI,KUFANYA BIASHARA NA UJASIRIAMALI"PROF.LIPUMBA" KIGOMA KASKAZINI Mazingira ya kufanya bishara Tanzania ni magumu sana. Kwa mujibu wa Ripoti ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura. Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini? Anataka kwenda kufanya nini? Kwani lazima kuwa mbunge? Sijaelewa kabisa.
51 Reactions
114 Replies
9K Views
Kwa wanaoendelea kufuatilia mikutano ya CHADEMA watakuwa wameliona hili. Lissu sasa amechoka. Sauti inaelekea kukauka. Akiendelea mfululizo hivi atapoteza sauti. Mwenyekiti ingia uwanjani ili...
7 Reactions
47 Replies
6K Views
Baada ya kuwasikiliza wagombea wetu wa uraisi napendekeza/tunapendekeza tume ya uchaguzi iandae mdahalo kwa wagombea wetu wa uraisi(wote) na tunaomba patafutwe ukumbi ambao utakuwa neutral ground...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Viona mbali tulisema kwamba mzee baba kuwabana wapinzani wasifanye mikutano ni kuzuia waseme ya moyoni ili upate kujirekebisha. Ilikua ni wakati sahihi kuwaacha wazunguke kisha utathmini siasa zao...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia chama cha ACT, Edward Deogratius Kabika amejitoa kuendelea na mchakato wa kuwania Ubunge kwenye Jimbo hilo kwa madai ya kukosa sera na kwamba mgombea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
"Ni mara chache sana kukuta watu wamefurika hivi tena asubuhi saa 2, wenzetu kule wanajua kuchakata, wanatumia picha za miaka ya zamani waonekane wamejaza watu kwenye kampeni zao, waje wajionee...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ndugu Waandishi na Watanzania wenzangu, Nianze kwa kuwashukuru kuja kwenu kuitikia wito wetu na mashirikiano mnayokipa Chama chetu cha ACT Wazalendo. Leo tumewaita...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana bodi, Kampeni zime pamba moto, ahadi zinazidi kumwagwa kila kona, wana siasa wakongwe wanazidi kuserebuka kwenye kila hafla, kitu ambacho kime kuwa cha kawaida kwenye mchakato huu wa kuweza...
1 Reactions
61 Replies
3K Views
Wakuu katika siku za hivi karibuni mgombea wa urais magufuri amekuwa akivunja katiba waziwazi kabisa Angalieni katiba inavyosema hapa chini.
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Kichwa cha habari kinahusika. Walau CCM kama chama pamoja na madhaifu yake mengi kuna mambo watanzania walikivumilia kutokana na mila zake. Licha ya chama kulea ufisadi na kuwalinda mafisadi kwa...
33 Reactions
38 Replies
3K Views
Sera ya CHADEMA ni maendeleo ya watu sio vitu Wakili Felix Mkosamali Mgombea Ubunge CHADEMA Muhambwe ampinga Lissu na CHADEMA anadi sera ya maendeleo ya vitu kuwa hizo ndizo sera kinyume na Lissu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Maneno yanayoendelea mtandaoni ni mengi ila inaonyesha Membe kakaza hawezi kuruhusu kuacha kujaribu kutetea ndoto yake ya kuwa rais. Awali Membe alijiamini kuwa na watu wengi nyuma yake ambao...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna Mtu Mmoja naanza kuona anatuonyesha pia Watanzania jinsi gani pamoja na 'Usomi' wake mkubwa ila kuna uwezekano alipokuwa Shuleni na Chuoni (Chuo Kikuu) pia alikuwa ni Mpiga 'Chabo' wa...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Hakika ilikuwa ni lazima kumuengua Devota Minja ili asigombee Ubunge Morogoro Mjini, maana kumuacha kumeleta kifo cha ghafla kwa CCM. Hali ndio kama mnavyoona wenyewe Mjumbe wa kamati kuu ...
17 Reactions
46 Replies
8K Views
Back
Top Bottom