Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

JE, UNAMUONAJE JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, MACHO YAKO YANAONA KAMA SISI? Mwendi R.D +255739333332 Serikali ya awamu ya tano kupitia kiongozi mahili Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli imefanya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wafanyabiashara, Sekta Binafsi na Uwekezaji nchini: ACT Wazalendo itafanya nini? #IlaniACT2020 ACT Wazalendo inaamini kuwa Sekta binafsi ndio Injini ya kuendesha Uchumi wetu na kuzalisha Ajira...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna maajabu yanayovunja katiba za vyama kwenye uchaguzi huu mkuu. Tumeona Lisu Makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA na mgombea uraisi kupitia Chadema akitoa tamko kuwa anamuunga mkono Mgombea...
2 Reactions
61 Replies
5K Views
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze...
47 Reactions
156 Replies
13K Views
Leo nimemskia Rais Magufuli akijibu hoja ya Lissu kuhusu CHADEMA kutengeneza Majimbo wakipata madaraka. Dkt. Magufuli ameeleza kwamba mfumo wa majimbo utakua mwanzo wa mfarakano, japo sielewi...
26 Reactions
45 Replies
4K Views
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku...
21 Reactions
76 Replies
7K Views
Anapokuwa kwenye majukwaa anakudanganya kuwa wananchi wamekuja kusherehekea utekelezaji wa ilani ya Ccm. Ukweli ni kuwa nusu ya hivyo viwawanja ni watoto wadogo. Na wanakuja kuangalia wasanii...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu wana JamiiForums. Katika uzi huu nitaelezea sababu zinazofanya Magufuli apendwe na watanzania wengi zaidi. Mimi mwenyewe binafsi najikuta sana navutiwa na mwanasiasa...
8 Reactions
125 Replies
8K Views
Mgombea Urais wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Muttamwega Mgaywa amesema kila Mtanzania atapewa kipande cha heka moja ya ardhi pamoja na kiwanja kimoja cha kuishi bure na hawatolipia kodi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huko Magu, Dkt. Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Udiwani kuwa akichaguliwa anawatelekeza wananchi. Dkt. Magufuli amewaambia hawatishi, anawaambia ukweli...
12 Reactions
254 Replies
23K Views
Akiongea mjini Rungwe leo mmoja wa vijana aliyekuwa CHADEMA na sasa amehamia CCM amekiri na kutubu dhambi zake kwamba alishiriki maandamano ya Nyololo, Morogoro na Kinondoni yaliyopelekea mauaji...
10 Reactions
59 Replies
6K Views
Japo ulikuwa una mapungufu yake lakini ni heri ukawa wa CUF na CHADEMA waliungana pamoja wakashirikiana katika kuwanadi wagombea wa Udiwani, Ubunge na Uraisi na kutoa elimu kwa wapiga kura lakini...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Kamapeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu zimeingia wiki ya tatu huku ikiwa inajulikana sasa ushindani mkubwa upo kwa vyama vya CCM na CHADEMA. Mwanzo wakati kampeni...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu natanguliza salamu na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye mada, kama mnavyojua Kampeni zinaendelea na leo tena Mh Lissu ambaye anapewa asilimia kubwa kutwaa urais wa nchi atakuwa...
46 Reactions
238 Replies
29K Views
Mtoto wa Muuza uji ashiriki Shughuli ya Kijamii Ni Kwenye Arobaini ya Marehemu Mzee James Kilangisa Mtaa wa Milongoine kata ya Olmot Arusha.
1 Reactions
61 Replies
7K Views
Ni wazi Tundu Lissu anajiamini na ameshaaminishwa na wale waliomtuma kuwa atakuwa Rais, imefika hatua anasema wajaribu waone, hapatatosha na hapatakalika dunia nzima inaitazama Tanzania nini...
10 Reactions
99 Replies
6K Views
Huyu ni mgombea ubunge wa jimbo la Kilolo kwa tiketi ya Chadema Jully Mpugulla akiomba kura kwa wananchi.
18 Reactions
45 Replies
6K Views
Wakuu, kuna Mgombea Urais mmoja leo amelalamika sana akituhumu watu wa vyama vingine kujitokeza kugombea nafasi ya urais, akisema kuwa mbona Mkapa, Kikwete na Mwinyi wao walipewa miaka kumi...
51 Reactions
89 Replies
9K Views
Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku...
39 Reactions
299 Replies
34K Views
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom