Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera, Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
TUTAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA" KIBONDO, KIGOMA Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote!. Haki ya Elimu kwa kila Mtanzania!. Haki ya Lishe Bora na uhakika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wiki moja kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya mwaka 2017, aliyekuwa Mkuu wa Idara ya TEHAMA ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC), Christopher Chege Msando, alizungumza na kituo cha televisheni cha...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Niko Tabora hapa. Nimekuwa kwenye uwanja wa kampeni tangu kampeni zianze. Nimekuwa nikiwafuatilia na wagombea wengine wa Urais. Nimejiridhisha kuwa wagombea ambao bado wana 'pumzi' na upinzani ni...
53 Reactions
54 Replies
5K Views
Wanabodi, Kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana, jukwaa lote kuu la CCM kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu Tundu Lissu sasa anakitoa chama changu CCM kwenye...
26 Reactions
85 Replies
9K Views
CCM kama chama dola 2015 kilikuwa na hali mbaya sana...na upinzani chini ya muungano wa UKAWA ukaonekana tishio kubwa la kuimaliza na kuizika kabisa CCM kwenye ulingo wa siasa na kuwa chama dola...
33 Reactions
46 Replies
4K Views
Mimi binafsi nilitegemea kuwa Chadema mwaka huu baada ya kufanya makosa mwaka 2015 na kumsimamisha Lowasa kugombea urais,nilitarajia mwaka huu wangeweka mgombea makini na mwenye uwezo wa kunadi...
8 Reactions
66 Replies
5K Views
Chama hiki kinajinasibu kama ni cha uwazi na uzalendo nadhani watakuwa wameweka wazi hilo sehemu flani. Maana kila nikipita mitaani naona wao tu ndio wanaendelea na harakati za kuweka mabango...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambo mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni. Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima...
5 Reactions
86 Replies
9K Views
Umati wa watu uliofurika kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni ya CCM mkoani Tabora leo tarehe 21 Septemba 2020 Baada ya kuwasili na kukaribishwa, awasifia wana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Wasalam, Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm. Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk...
59 Reactions
115 Replies
11K Views
MKITUPA RIDHAA YA KUONGOZA NCHI HII TUTABORESHA SEKTA MUHIMU ZA UCHUMI NA KILIMO. BUHIGWE, KIGOMA Historia ya maendeleo ya uchumi duniani inaonesha kuwa maendeleo ya viwanda hutanguliwa au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mgombea Urais wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi katika Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma Wakati akifanya Kampeni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Yaliyomo 1. SEHEMU YA KWANZA ...................................................................... 4 1.1.Kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa .......................................... 8...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu sana kuwahi kutokea kwa sababu hizi chache tu; 1. Tundu Lissu ni Mwanasheria mbobevu na makini kiasi kwamba utampa haki yake kiuhalali kabisa. 2. Mpaka sasa CCM...
8 Reactions
27 Replies
3K Views
Katika Mishe mishe zangu Kariakoo kuna jamaa huwa ananishushia mizigo kwenye gari, Kijana mchangamfu mwenye bashasha na anependa sana kujadili mambo ya siasa, nimemfahamu kwa muda sasa...
29 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa Sheria ya gharama za Uchaguzi namba 6 ya mwaka 2010; Kifungu cha 23, Kifungu kidogo cha 6 (b) kinaeleza kuwa iwapo wapiga kura hawatokua na uwezo wa kufika kwenye vituo vya kupigia...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Ni Salma Kikwete akiwa jimboni Mchinga akizisaka kura kwa udi na uvumba. Hapo anachanja mbuga mlimani -Maweni Mputwa Pongezi nyingi kwake. Mama anaenda "kutema chechee-Kwa sauti ya JK. CCM INA...
9 Reactions
52 Replies
6K Views
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom