Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Sera mojawapo ya CHADEMA ni majimbo. Maana yake halisi ni kuwa watu wenyewe kwenye maeneo yao, yawe mikoa au wilaya, ndio wawe wanachagua au kuwateua viongozi wao, kama wakuu wa mikoa, wilaya na...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
KWANINI NISIICHAGUE TENA CCM? Na, Robert Heriel Ni lazima tuIchague tena CCM kwa kura nyingi za kishindo. Sisi wanaume, wake zetu, vijana wetu wote tutamchagua. Hatuwezi kuchagua vyama vingine...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu leo nimekuja na kibwagizo kipya. Kwanza tunaweza kukiri kuwa katika mambo ambayo ni makosa na ambayo hayawezi kuvumilika hata mbele za mwenyewezi Mungu ni kitendo cha mwanadamu kutoa uhai...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Naona pesa za walipa kodi zilikuwa zimekwapuliwa na CCM. Baada ya wananchi wa uvinza kulalamika, mkuu katoa amri hizo pesa zitolewe ndani ya wiki moja na ujenzi wa barabara uanze. Swali ni je...
8 Reactions
93 Replies
7K Views
Vijana wengi wanaacha masomo ya Chuo Kikuu kwa sababu asilimia ndogo sana ndio hupata mikopo. Sera ya CCM ni kuwapa mikopo mayatima tu. Soma sera hii ya CHADEMA halafu fanya chaguo sahihi kwa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Mgombea Urais wa JMT, Dkt. John Magufuli yupo Kigoma leo Septemba 18, 2020. Updates zote zitawekwa hapa: Video: Ngoma ya kinamama wa kabila la Wabembe wa kata ya Kitongani Kigoma mjini...
3 Reactions
119 Replies
14K Views
Ndugu zangu, Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za...
22 Reactions
104 Replies
8K Views
Tume yetu ya uchaguzi imekua kimya sana kuchukua hatua kwa kauli tata zinazotoka kwa Wagombea katika uchaguzi huu. chaguzi hasa Barani Afrika hazijawahi kuwaacha salama waafrika na bila ya...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Ukikutana na Mtanzania kipindi ambacho sio cha uchaguzi, unaweza fikri chama tawala kitaondolewa madarakani. Mkulima atalalamika kuhusu bei mazao yake, atakwambia namna serikali isivyo mjali kwa...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni habari njema umerudishwa baada ya kuenguliwa kihuni. Utashinda ubunge na wala mabasi ya kupeleka watu misibani anayotoa Abood si hoja kwa wana Moro. Hofu yangu ni kuwa utashinda lakini kwa...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Na: Giantist McWenceslaus 20/09/2020 Dodoma www.ccmmpya.org Habari za muda ndugu wanabodi wenzangu. Ikiwa tumebakiwa na siku 38 za kutimiza ule wajibu wetu na haki yetu ya kikatiba wa kwenda...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
TAREHE: 19 SEPTEMBA 2020 Ndugu Wananchi na Wanahabari, Mnamo Tarehe 26 Agosti 2020, Jumuiya ya Wanataaluma ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) ilitoa tamko ambalo pamoja na mambo mengine...
8 Reactions
40 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea wa ubunge jimbo la Hai mhe. Freeman Aikaeli Mbowe ameonekana mara chache sana kwenye jukwaa la siasa kumnadi Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya chama hiko. Mpaka...
7 Reactions
59 Replies
5K Views
Hawa watu hata mgombea wa Urais wa CHADEMA alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa. Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo Bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju...
33 Reactions
147 Replies
14K Views
Mimi ni mmoja wa watumishi wa Serikali tuliobainika kuwa na vyeti feki kwenye zoezi la uhakiki wa vyeti feki lililofanyika mwaka 2016. Nakumbuka takribani watumishi 9000 tulikumbwa na hili sakata...
3 Reactions
57 Replies
7K Views
Katibu Mkuu wa CCM Ndg Bashiru Ally Kakurwa amekemea vikali tabia za baadhi ya wanachama wa CCM wanaopanga kukisaliti Chama katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu kwa maslahi yao binafsi. Ameahidi...
35 Reactions
353 Replies
35K Views
Ili kujenga Taifa makini lenye ustawi na maendeleo, huduma za afya ni muhimu sana ili kuhakikisha wananchi wanakuwa na afya bora ili kuwawezesha kushiriki katika shughuli za maendeleo ya nchi...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Anaitwa Dkt. Juma Mohammedi, mtu pekee anaetosha na aliekusudia kuwaletea mageuzi na naendelea ya ukweli wana Tunduru Kaskazini, wengi ni watashangaa analetaje mageuzi ya kimaendeleo katika jimbo...
2 Reactions
64 Replies
9K Views
MAPOKEZI YA TUNDU LISU KIBONDO JIMBO MUHAMBWE Takwimu za Haraka : Idadi ya Watu: Huduma za Kijamii: Maendeleo ya Watu : Maendeleo ya Vitu : source : Mwanzo Idadi ya Watu kutokana na sensa ya...
16 Reactions
33 Replies
6K Views
Wapwa Nilikua naangalia TBC hapa, mbatia kaanza kutema cheche wakakata fasta wakapeleka kwa rungwe Huku rungwe anasema elimu bure tunadanganywa, gharama bado ni nyingi na mzigo kwa watanzania...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom