Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Pamoja na mengi sana yanayoendelea kwenye kampeni lakini nina sababu tatu tu zitakazonifanya niwapigie kura wagombea wote wa CCM. Kwanza ni kitendo cha kuufikisha umeme kijijini kwetu kwa mara ya...
3 Reactions
10 Replies
977 Views
Mimi sio mwanaCCM ila ninakumbuka hivi majuzi tu walipoketi wanaCCM kwenye mkutano wa kumpitisha mgombea wao wa kiti cha uraisi kuna mjumbe mmoja kutoka mkoani Ruvuma kama sio TUNDURU mjumbe mmoja...
7 Reactions
47 Replies
7K Views
Kiongozi huyu alikua akijinasibu kwamba ana kundi kubwa ndani ya ccm aliyowaita ccm asili ambao hawakubaliani na mwenyekiti wa sasa na wako tayari kuungana nae kupindua meza . Chakushangaza...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Tanzanian citizens will go to the polls on October 28, 2020, to elect the President, Members of Parliament (MPs) and local Councilors. For close to five years now, Tanzania has been preparing...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni jambo jema. NEC imempitisha bila kupingwa Ridhiwani Kikwete kuwa Mbunge wa jimbo la Chalinze baada ya mshindani wake kutoka chama pinzani kujitoa. Source Swahili times Maendeleo hayana vyama!
5 Reactions
43 Replies
5K Views
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni kwa swala la msimamo TAL nampongeza. Akiwa Zanzibar huku pembeni yake amesimama mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema ni yeye akampigia kampeni maalimu Seif...
20 Reactions
57 Replies
6K Views
Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mwaka 2015, kodi ya majengo (property tax) iliyokuwa inatozwa kila mwaka na serikali za mitaa (LGA) kwa kila nyumba/jengo ilitegemea thamani ya nyumba...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Imetolewa na Said Said Nguya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ameeleza kuwa baadhi ya wanasiasa mpaka kuisha kipindi hiki cha Kampeni, wataokota makopo kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tanzania ya leo sio ile ya miaka ya nyuma ambayo watu wengi walikuwa hawawezi kupata habari kwa urahisi kama ilivyo hii ya leo. Miaka ya nyuma radio station ilikuwa moja tu na hata Tv stations...
17 Reactions
144 Replies
10K Views
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi: *Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki...
18 Reactions
60 Replies
5K Views
Kuna bango moja la Mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu! Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi: 1) Ni Magufuli mwenyewe...
106 Reactions
120 Replies
14K Views
Kuna kijana mmoja kampeni meneja wa John Pambalu huko Mwanza ana trend Sana YouTube, anasema, " ukitaka kumuua mbwa mpe majina yote mabaya" Hii Ina maana gani? Kwangu Mimi, nakubaliana na slogan...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Members I salute! Ni hakika katika uchaguzi huu wa 2020 mgombea urais kupitia cdm atasababisha chama chake kuanguka vibaya sana kwenye sanduku la kura kwa zifuatazo: 1. Lisu hatumii akili ya...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Members, Ushahidi wa video umeambatanishwa ukionyesha jinsi wanachama wa CCM wakikebehi na kudharau taratibu na kanuni za kanisa katoliki kwa kugeuza muundo na mifumo na kuwa kiitikio cha ccm Rai...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna Clip imetrend ikimuonesha mgombea wa chama cha CHADEMA akimkaribisha bwana Msofe mgombea wa udiwani kwa tiketi ya CCM apige kampeni katika kikao cha ndani cha chama. Kama taifa inatakiwa...
34 Reactions
62 Replies
8K Views
Mwanachama nguli wa CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa nilitegemea awe kwenye timu ya kampeni ya CCM wakati huu jahazi linapoelekea kuzama. Au yeye ni kati ya Askari wa Akiba...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Mji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo...
50 Reactions
227 Replies
22K Views
WANANCHI WA KIJIJI CHA MPETA TARAFA YA NGURUKA WILAYANI UVINZA MKOANI KIGOMA WAMESIMAMISHA MSAFARA WA MAKAMU WA RAIS, BI. HAMIDA ABDALLAH HUWEISHI NA KUELEZA CHANGAMOTO ZAO KATIKA TARAFA YA...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Jana Tarehe 18/09/2020 Mgombea wetu wa Urais Tundu Lissu alikuwa na ratiba ya kufanya Kampeni katika Mkoa wetu wa Katavi maeneo ya Majimoto katika jimbo la Kavuu Wilaya ya Mlele na Mpanda MJINI...
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza CCM Mwanza lakini amepata wapi uwezo huu?
33 Reactions
75 Replies
13K Views
Back
Top Bottom