Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

MGOMBEA WA MAKAMU WA RAIS, BI.HAMIDA ABDALLAH HUWEISHI AGAWA KADI KWA VIJANA WA UVINZA TARAFA YA NGURUKA MKOANI KIGOMA Makamu wa rais, Bi. Hamida Abdallah Huweishi amefika katika tarafa ya...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Kama haikuwa unafiki Zanzibar pale Tundu Lissu alipoamua kukitosa chama chake na mgombea urais wao na kumuunga mkono Maalim Seif, basi aendelee atakapokuwa Kigoma kwa kumnadi Zitto...
4 Reactions
46 Replies
5K Views
Kampeni zinaendelea na leo Chama cha ACT-Wazalendo wanazindua kampeni zao Lindi, wagombea wote kwa upande wa Jamhuri na Zanzibar wameshawasili uwanjani na kwa sasa kikundi cha burudani kutoka...
9 Reactions
79 Replies
12K Views
“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya...
21 Reactions
152 Replies
13K Views
Habari wana JF wenzagu. Huu ni mwaka wa Uchaguzi mkuu na tarehe 28.10.2020 ni kama imekaribia hivi ili maamuzi ya wananchi yatimie katika Kisanduku cha faragha cha kupigia kura. Ila ni kama...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
ORODHA KAMILI YA VITI MAALUM UBUNGE NA UDIWANI KUTOLEWA BAADA YA USHIRIKI WA KAMPENI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ametoa msimamo wa Chama katika kuteua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama umeangalia vizuri utaona kwamba rufaa zinakubaliwa na zingine zinakataliwa. Ukiangalia idadi ya zinazokubaliwa na kukataliwa, hasa kwa ubunge utaona kwamba idadi ya zinazokubaliwa na...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Tunapoelekea siku ya uchaguzi mkuu mwaka 2020, Raia na Wananchi wengi wenye vyama na wasio na vyama wana hasira za kuindoa serikali ya Chama Cha Mapinduzi hali ambayo inaweza kusababisha kura...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanaJF, leo nipo hapa kumshauri mgombea ubunge jimbo la Ubungo, ndugu Boniface jacob jinsi ya kubadilisha mikakati ili aweze kulibakiza jimbo la Ubungo chini ya CHADEMA. Watu wengi wa...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima...
5 Reactions
121 Replies
14K Views
TAFAKARI YANGU Mwaka huu Tanzania itafanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Na tayari tuko kwenye kampeni kwa ajili ya uchaguzi huo kwenye ngazi zote zinazohusika. Uchaguzi huu ndio...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimeona mitandaoni mgombea Bubu wa CHADEMA anamwaga sera kupitia kwa mtafsiri. Nimevutiwa sana nae. Naombea ashinde. Hivyo naomba Lissu aende kumsaidia.
12 Reactions
21 Replies
3K Views
Kila alipopita Mgombea wa Urais wa CCM akipita wa CHADEMA mahudhurio wananchi waliofikia umri wa kupiga kura inakuwa ni mara mbili,Ni ukweli usio pingika ambao utadhihirishwa kwa usahihi zaidi...
1 Reactions
1 Replies
749 Views
To be honesty CHADEMA is there for God purposes and The miracles. In five years, CHADEMA faced a lot of challenges such most of their leaders shifted from CHADEMA to CCM without any critical...
11 Reactions
50 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Kiswahili lugha ya mama zetu iliyo shehenishwa na semi mbalimbali, ama kwa hakika ni kitamu kweli kweli. Hujafa hujaumbika, utavuna...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Nimeangalia hali ya kampeni inavyokwenda na nikasema ni vyema nilete machache niliyopata kujionea. 1. Upinzani unategemea umaarufu na uwezo wa mtu binafsi na sio kujiimarisha...
14 Reactions
34 Replies
2K Views
Kwa masikitiko makubwa naomba kulaani vikali kitendo cha Mgombea mwenza wa CHADEMA cha kuwafokea Askari Polisi walipomkumbusha kuwa muda wake wa kampeni kwa siku ya jana umekwisha. Yaani saa 12...
0 Reactions
4 Replies
802 Views
Nawasilimu wakazi wa JF! Kuna picha zipo mtandaoni Lumumba wakiziona wanaumia mara mbili. Hizi ni kama za Tundu Lissu akionesha Tabasamu lenye kuashiria Ushindi, Uso wa Lissu ni wenye furaha ya...
62 Reactions
165 Replies
16K Views
Back
Top Bottom