Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
2 Reactions
56 Replies
6K Views
NI KWA NINI NAOMBA RIDHAA YA KULIONGOZA TAIFA? PROF.LIPUMBA Na Profesa Ibrahim Haruna Lipumba "Tunahitaji kuwekeza kwa watu, ili watu wawekeze kwenye vitu” Tangu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
1. ILANI YA CHAMA CHA NATIONAL CONVENTION FOR CONSTRUCTION AND REFORM (NCCR-Mageuzi) ITAKAYOTUMIKA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020 UTANGULIZI: Mabadiliko ndiyo kitu pekee kinachodumu, na...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimekua nikifuatilia kampeni tangu zianze. Niseme kwamba kampeni za mwaka huu zinautulivu kuliko kampeni za 2015. Kuna vitu vichache ambavyo vinahitaji kukemewa. Kitendo cha mtu kuzomea, kuzuia...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
SEPTEMBA 5: CHAUMA KUFUNGUA RASMI KAMPENI MANZESE, DAR Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe ametangaza kufungua rasmi kampeni za chama chake viwanja vya Bakhresa vilivyopo Manzese Dar es...
4 Reactions
574 Replies
59K Views
Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais...
13 Reactions
82 Replies
11K Views
Watanzania Tusomeni ilani ya vyama vya siasa, tusije kusema hatukuambiwa au hatukona ILANI YA UCHAGUZI CCM https://www.ccm.or.tz/website/ilani/ILANI YA CCM 2020.pdf ILANI YA UCHAGUZI CHADEMA...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
Hii ndio habari iliyozagaa mitaa yote ya jimbo la Ubungo, kwamba yule mwamba wa siasa za Ubungo ambaye pia ni Meya mstaafu, yule aliyewekewa pingamizi la kizushi, leo anaanza rasmi amsha amsha.
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Hotuba ya Mkurugenzi Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles katika ufunguzi wa kikao cha Tume ya Taifa ya UIchaguzi na watoa huduma ya habari mitandaoni katika ukumbi wa Mikutano wa Mwl. J. K...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu Tundu Lissu mgombea wa CHADEMA unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu...
16 Reactions
121 Replies
7K Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Treni la uchaguzi linapozidi kuchanja mbuga si haba kukumbushana tunapojikwaa hapa na pale ili miradi tuweze kufika salama. Katika...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Akiwa mkoani Iringa leo tarehe 13 Septemba, Lissu amesema "Natoa rai kwa Mgombea Urais wa CCM na vyombo vyetu vya habari, kufanikisha mdahalo kuhusu mustakabali wa Taifa letu la Tanzania" =====...
54 Reactions
417 Replies
28K Views
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani na timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja. Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama...
9 Reactions
77 Replies
7K Views
Nimepita juzi kwenye Meza ya magazeti nikastaajabu kidogo. Habari kuu za magazeti yote ni za Mgombea wa CCM. Rangi ya kijani imetapakaa Meza nzima yani kama ukiangalia kwa mbali unaweza kudhani...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni...
34 Reactions
136 Replies
10K Views
Rais Magufuli leo yupo mkoani Kagera akitokea Chato kuendelea na kampeni za kuwania Urais kwa muhula wa pili. Hizi ni baadhi ya picha za Rais Magufuli akiwa anaongea na Wananchi alipokuwa njiani...
16 Reactions
117 Replies
17K Views
Katibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dkt. Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV). Unakaribishwa kusikia 1 - Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa...
7 Reactions
83 Replies
9K Views
Umuhimu wa vijana kupiga kura Kupiga kura. Neno linalofafanuliwa kama " maoni au upendeleo." Dhana inayojulikana na Watanzania wote kwa kuzingatia mambo yetu mengi juu ya nchi hii huamuliwa na...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Back
Top Bottom