Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu kumekucha tena, na kwa kweli muda ni mfupi mno, tuendelee kuvumiliana kwa kero zetu za kampeni. Leo tena kipenzi cha Watanzania Rais mtarajiwa Mh Tundu Lissu anawasili Mkoani Njombe kwa...
36 Reactions
200 Replies
24K Views
Kiukweli uchaguzi wa mwaka huu tutasikia mengi. Mgombea urais wa SAU Mh Mutameghwa amesema endapo atachaguliwa basi deni la taifa halitagawanywa kwa wananchi bali viongozi na wananchi watagawiwa...
0 Reactions
2 Replies
855 Views
NITASIMAMIA MAENDELEO YA KIUCHUMI NCHINI "PROF.LIPUMBA"TABORA MJINI Serikali ya umoja wa kitaifa chini ya CUF itajenga uchumi wa kisasa wenye ushindani wa kitaifa na kimataifa na utakaohimili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu...
10 Reactions
29 Replies
3K Views
Katika kikao chake cha tarehe 13, 2020, NEC ilipitia na kufanyia uamuzi rufaa za Wagombea Udiwani kupitia Wasimamizi mbalimbali wa #Uchaguzi nchi nzima Tume imezipitia, kuzichambua na kuzifanyia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
14 September 2020 Iringa Mjini MGOMBEA UBUNGE IRINGA MJINI ROBERT KISININI "AFUMANIWA" AKIFANYA HAYA Mwaka 2020 huu yupo NCCR-MAGEUZI akitumaini kuchaguliwa kuwa mbunge HISTORIA MWAKA 2015...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TUSIPOTOSHE UMMA RAIS MAGUFULI YUPO TAYARI KWA MDAHALO, SI VINGINEVYO. Wasalaam wana JF. Natumia fursa hii kutoa ufafanuzi na maelezo yanayojitosheleza dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Video iliyoambatanishwa hapo chini ni ya Dkt. Wilson Mahera alipokuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha Mjini alipokuwa akiongea na Makada na Viongozi wa CCM na kusisitiza kuwa yeye [na...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
MKINICHAGUA KUWA RAIS WA NCHI HII NITATOA HUDUMA BORA YA AFYA NA KUDHIBITI VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO."PROF.LIPUMBA" IGALULA TABORA Nitahakikisha kuwa Bajeti ya Wizara ya Afya inapanda na...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Bila ya shaka humu wapo manguli wengi tuu wa vyama pinzani. Na wamekuwa wakipigana vita hivi kwa muda mrefu tuu na hawakuweza kufua dafu. Baba angu "lipumba, lissu nk huku mwisho wa siku...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Aombe msamaha Watanzania kwa ile biti ya hatari aliyoichimba maana Watanzania wote kutoka katika vyama vyote na wasio na vyama, haja kubwa ilikuwa inagonga nguo za ndani kwa hofu. Watanzania...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
1. Nini tathimini ya Tume kuhusu mchakato mzima wa kupokea na kurudisha fomu za wagombea, mapingamizi na rufaa kwa wagombea hasa kwa nafasi za Ubunge na Udiwani? 2. Nini tathimini ya Tume kuhusu...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
PROF. LIPUMBA KUUNGURUMA UYUI NA TABORA MJINI LEO Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Lipumba,Leo septemba 15,2020 atafanya kampeni katika mkoa wa Tabora katika wilaya mbili...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu amani iwe kwenu, Bila shaka wengi wetu wameona kauli mbiu hizi kwenye mabango ya wagombea mbali mbali hasa wa chama cha mapinduzi (CCM). Mgombea wa Urais Zanzibar kwenye bango lake kuna...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kinachofanya uonekane unakashikashi ni mitandao tu ya kijamii. Ila huko kwenye uhalisia utadhani hatuko kwenye Uchaguzi. Napita mitaani hakuna anayezungumzia. Ukiacha mabango ya CCM ambayo...
0 Reactions
13 Replies
911 Views
Salaam Wakuu, Chama cha sauti ya umma (SAU) Kimezindua Kampeni na Ilani kwa Vitendo, Baada ya Kutumia Trekta kama mfano wa Jinsi Watanzania Watakavyokuwa Wanalima Pindi Wakipewa Nafasi ya...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Mgombea UMD kufuta vitambulisho vya taifa MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mohamed Mazrui, amesema iwapo atapata ridhaa ya kuongoza Tanzania, Serikali...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hakuna kikundi cha ajabu kama hawa wenzetu waliookoka na kuwa ni watu karibu na Mungu. Ni vigumu sana kuwatenganisha na mchungaji wao. Tumeona na kusikia mengi sana. CCM nawapongeza sana hasa...
12 Reactions
22 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe ajitenga na kampeni za CHADEMA kuusaka Urais. Ikumbukwe mwaka 2015 Mbowe alishiriki kampeni za Lowassa...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Leo tarehe 15/9/2020, nitahutubia wakazi wa Arusha stendi ya Hiace Kilombero Sokoni. Mkutano ni saa nane mchana. Hakuna muziki wala nauli na unapaswa kufika bila kukosa. Karibuni wote.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom