Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimekuwa nikiona baadhi ya members wakipiga sera na ahadi za Gwajima anazozitoa kwa wana Kawe kuwa hazitekelezeki kwa kigezo cha kushindwa kujenga jengo la kanisa lake. Tukija upande wa pili...
7 Reactions
53 Replies
4K Views
Ni katika Viwanja vya Tibirinzi, viwanja mpaka muda huu vimetapika, hizi ni picha za awali
11 Reactions
27 Replies
3K Views
UAMUZI WA MWISHO WA KUTENGUA UTEUZI WA MADIWANI ULIOFANYWA WA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI UTASABABISHA UCHAGUZI WA MADIWANI KUTENGULIWA NA MAHAKAMA. Karibu maamuzi yote ya Wasimamizi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Turudi nyuma kidogo. Wafanyabiashara wadogowadogo mnakumbuka mateso mliyoyapata tena kwenye ardhi yenu ya nyumbani Tanzania? Bodaboda, machinga na mama n'tilie. Mkabughudhiwa kufanya shughuli zenu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika Biblia takatifu nabii wa uongo anatafsiriwa kama mtu ajifanyaye Nabii ama kwa kujidanganya au kudanganya. Nabii wa uongo ni yule aelezaye maono yenye hila na ulaghai ambayo kamwe hayawezi...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Palikuwa na haja ya kuwashauri baadhi ya wagombea kusitisha tu kampeni zao hasa hasa kampeni zenyewe zinapokuwa za gharama kubwa...
26 Reactions
63 Replies
4K Views
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kondoa kimezindua rasmi kampeni zake za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kondoa Mji, Makoa Ally ambapo mgeni rasmi alikua Spika wa Bunge na Mjumbe wa Kamati Kuu ya...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Katika uzi niliowasilisha awali nilizungumzia kuhusu athari ya ilani ya CHADEMA kwa ndoa na ajira; katika uzi wangu wa pili nilizungumzia kasoro za kiuchumi katika ilani za CHADEMA na...
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Hivi sasa unapotembea kwenye miji mikubwa hapa nchini utakutana na mabango ya wagombea wa CCM, ambayo yamebandikwa kila mahali, hadi kwenye vichochoro, hadi inatia aibu na kuleta kichefuchefu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally amesema suala la mgombea kupitishwa bila kupingwa ni la Kikatiba na kwa maana hiyo CCM ni mnufaika au muathirika tu wa kanuni hiyo pale inapotumika. Naye...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Chama cha Mapinduzi kimetoa Rai kupitia katibu mwenezi jimbo la Kawe kuwa wanachama wake wenye wenza kuondolewa katika mikakati ya ushindi baada ya kubainika kuwa miongoni mwao wanatoa siri za...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ambaye pia ni mgombea pekee wa Ubunge Jimbo la Tanga Mjini, Leo Septemba 2 ameshirikiana na mgombea wa Ubunge Jimbo la Muheza, Hamis Mwinjuma au Mwana F.A katika...
1 Reactions
44 Replies
7K Views
Kwako Ndugu Lissu Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nawe Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa dhati ya moyo wangu kwa kitendo chako cha Utu na kupenda haki kwako kwa namna unavyotetea Viongozi wa...
38 Reactions
133 Replies
9K Views
Walioamua kuvizuia vyombo vya habari visimtangaze siyo wajinga. Wanajua uwezo na ushawishi wa hoja alionao Tundu Lissu. Doto Bulendu amejaribu kumbana lakini imeshindikana. Ameamua kuomba re-match.
30 Reactions
104 Replies
11K Views
Siyo siri kuwa hizi njama zilizofanywa na hawa wasimamizi wa majimbo, ambao ni makada waaminifu wa CCM, kuwaengua kihuni wagombea wa vyama vya upinzani, kwa wingi na baadaye Tume ya uchaguzi...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia. Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala...
17 Reactions
72 Replies
4K Views
Turn and watch now. Mgombea Urais wa Chadema Ndugu Tundu Lissu alipata fursa ya kuhojiwa na Mwandishi wa habari Bi. Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kinachofanywa na kituo cha...
67 Reactions
430 Replies
40K Views
TULIPANDA TRENI YAKE, SASA TUTAPANDA BOAT. TUTAMCHAGUA Na, Robert Heriel Mara yangu ta kwanza kupanda Treni ilikuwa kipindi natoka Mwenge naelekea Bunju B, nikienda kumsalimia Mjomba huko...
2 Reactions
0 Replies
856 Views
Hii ndio kampeni iliyopigwa jioni ya leo .
9 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom