Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa...
15 Reactions
387 Replies
25K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya rufaa za udiwani na ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba 2020. Leo tume imetoa matokeo ya rufaa 55 kama...
3 Reactions
168 Replies
26K Views
Kauli muhimu niliyosikia kutoka katika Msafara wa Gwajima ni hii nainukuu hapa chini: "Yaani CCM na Mwenyekiti wetu hawajajifunza kutoka kwa Wagombea wa huko nyuma na bado tu wameendelea na Upuuzi...
68 Reactions
134 Replies
16K Views
Amani iwe juu yenu. Uchaguzi ni ushawishi, Sera na misimamo ya mtu. Ili uchaguliwe inabidi uwe unauwezo wa kumshawishi mtu kupitia Sera zako na vipaumbele vyako. Waambie wananchi umefanya nini...
10 Reactions
37 Replies
2K Views
Sio siri tulio wengi tumejawa mate mdomoni na hatuamini hiki kinachoendelea kwenye mikutano ya chama cha CHADEMA. Kutokana na Sekeseke kilichopata, Kazi kubwa ya kimaendeleo iliyofanya na CCM...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Ni kama game ni ya upande mmoja tu, kampa kampa tena na hakuna namna CCM inaweza kuambulia chochote bali kuna tetesi kwamba mgombea wao wa ubunge anafikiria kujitoa. Hata ungekuwa wewe kwa hali...
15 Reactions
18 Replies
4K Views
Kabla kampeni hazijaanza tuliaminishwa na mimi nikaamini kuwa upinzani Tanzania umefutika kabisa. Habari ya mjini ilikuwa CCM au Magu, kila ukigeuka kushoto, kulia, nyuma au mbele ni CCM au Magu...
16 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi...
14 Reactions
103 Replies
7K Views
Mgombea Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki kupitia chama cha Nccr Mageuzi Evva kaaya amezindua kampeni zake kwa kishindo huku akimwaga Sera ya kusaidia wanawake watoto kupata haki sawa na...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
TUNAHITAJI KUBORESHA SEKTA MUHIMU ZA UCHUMI NA KILIMO."PROF.LIPUMBA" MOROGORO  Historia ya maendeleo ya uchumi duniani inaonesha kuwa maendeleo ya viwanda hutanguliwa au kuambatana na mapinduzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Baraka Mina. Waingereza wanasema “Seeing is believing” yaani “kuona ni kuamini”. Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Daktari John...
6 Reactions
60 Replies
5K Views
ILEJE NA SONGWE TUMESHASHINDA KWA TECHNICALITIES, SASA TUNAENDA MOMBA........ Na Elius Ndabila Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, macho na masikio ya watanzania wote ni kuelekea OCTOBER 28 ni nani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona. Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita. Tuambie utafanya nini endapo...
92 Reactions
361 Replies
22K Views
Chama cha sauti ya umma (SAU) Kinatarajia kuzindua ilani ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kampeni zake siku ya tarehe 13/09/2020 Uzinduzi wa ilani utafanyika kizitendo katika eneo la KWAZOO kata ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Alichokifanya Polepole leo, ni kitendo cha aibu na kudhalilisha watanzania wenye maono ya kuona nchi yao inavuka kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine. Dunia isingeweza kufanya mapinduzi...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Uchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila...
20 Reactions
167 Replies
13K Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Malengo ya kampeni ni kuonyesha kwa nini mgombea mmoja anafaa kuliko mwingine. Kujinadi kwa wapiga kura na hata kupigana madongo kwa...
1 Reactions
6 Replies
788 Views
Jinsi kampeni zinavyoendelea mpaka sasa ninaamini kuwa asilimia 50 ya Wabunge wote wanaotoka Mkoa wa Mara watatoka upinzani. Nianze na Tarime Mjini, Rorya, Bunda Mjini na Tarime vijijini hali siyo...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimemsikia Tundu Lisu akiahidi mjini Morogoro kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atafufua viwanda vyote vilivyokufa. Ndio namuuliza hivyo viwanda vilivyokufa viko wapi? Atoe hata...
10 Reactions
75 Replies
6K Views
Leo hii mtu aliyedhania hana madhara anatusumbua kila kona, Mgombea wetu anashindwa kulala Kwa amani kutwa anatafuta point za kumjibu Lissu, Leo hii kila kona ukipita Lissu ,Lissu. Tunakuambia...
18 Reactions
42 Replies
3K Views
Back
Top Bottom