Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16, Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa...
106 Reactions
340 Replies
29K Views
Kama kuna Wapiga Kura ambao aina yao ya 'Maamuzi' wakati wa Kupiga Kura huwa naipenda mno ni wa Jimbo la Kawe. Yaani ukiwaona ni kama vile 'Malofa' fulani na unaweza ukadhani kuwa wapo na Wewe...
29 Reactions
97 Replies
9K Views
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba Leo septemba 12, 2020 atafanya mkutano wa kampeni Leo Morogoro mjini. CHAGUE CUF, MCHAGUE PROF. LIPUMBA KUWA RAIS.
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Salaam wana JF... Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara. Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita...
130 Reactions
277 Replies
27K Views
Tuweke rekodi sawa, Deo Mwanyika alihukumiwa kwa kukwepa kodi. Michango ya NSSF ya Deogratius Mwanyika, aliyekuwa Rais wa migodi ya Pangea, North Mara Exploration na Bulyanhulu, imelazimika...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Maalimu ni mjanja sana. Aligundua uchu wa CHADEMA wa kupata urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) kupitia mgombea wao Tundu Lissu. Deal likapigwa kati ya Maalimu na Mwamba la...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wapendwa watanzania wenzangu, Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali...
8 Reactions
103 Replies
5K Views
Leo kwenye taarifa ya habari mmeonesha mkutano wa CHADEMA kwa muda usiozidi dakika moja! Mlitumia zaidi ya dakika tano kwa kuonesha mikakati ya Polepole na kumsaidia kuweka picha za mikutano...
10 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Kuna mambo kadhaa ambayo yanaendelea katika uchaguzi huu ambayo naona ni hatari sana kwa mustakabali wa demokrasia yetu. Wagombea wengi sana wameenguliwa na tume kwa vigezo...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Pamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake...
88 Reactions
186 Replies
15K Views
Sina mengi ya kuzungumza lakini naomba TBC wapigwe marufuku kukanyaga tena kwenye mikutano ya CHADEMA. TBC wapo hapo kwaajili ya kuhujumu mikutano, kwa wanaoangalia taarifa za TBC mtanielewa...
13 Reactions
17 Replies
2K Views
CHADEMA, mnapotumia msemo wa "sasa basi", ni vizuri msemo au kauli mbiu hii mkaichagiza kwa kusema,"enough is enough". Anzeni na msemo huo wa kiswahili kisha ufuatiwe na huu wa kingereza kwani...
8 Reactions
5 Replies
1K Views
Zitto aifuta CCM Kigoma
18 Reactions
32 Replies
4K Views
Watoto hasa wa shule ya msingi, vijana na wasichana wa shule za sekondari, wafanyakazi wa umma waajiriwa wa serikali wanalazimishwa kujaza vichwa kwenye mikutano ya CCM kampeni za urais uchaguzi...
2 Reactions
1 Replies
476 Views
Wakuu, 1) What a match [emoji119]!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko...
59 Reactions
203 Replies
14K Views
Awamu hii inaweza kuwashangaza watu wengi, Mnaweza mkaona watu wanafurika kwenye mikutano ya CCM, ila hakika mtashangaa na kubaki midomo wazi pale kura zitakapo anza kuhesabiwa, na matokeo...
26 Reactions
53 Replies
4K Views
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa Vijijini hana chake hata...
9 Reactions
90 Replies
7K Views
Nikianza na Kikwete, huyu mambo yote yalimvurugikia mwaka 2015 kutokana na kutokujiamini na uoga wake dhidi ya Lowassa, akaboronga na kupeleka nchi kushoto kwa kucheza kamari ya hatari sana na...
29 Reactions
98 Replies
10K Views
Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa? Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine. Najua...
25 Reactions
120 Replies
8K Views
Mnyonge mnyogeni haki yake apewe, Lissu leo amenigusa kwenye swala la lugha ya kufundishia. Jambo hili limekuwa mwiba kwenye elimu na maisha ya Watanzania miaka na miaka. Ni ukweli usiofichika...
41 Reactions
114 Replies
9K Views
Back
Top Bottom