Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wapendwa, Kesho tarehe 11.09.2020 saa 5 asubuhi, katibu wa NEC - Itikadi na Uenezi ndugu Hamphrey Polepole ataongea na waandishi wa habari. Tafadhali usipange kupitwa.
1 Reactions
86 Replies
5K Views
Wasalaam wana jamvi! Maaskofu Niwemugizi na Bagonza wamekuwa wakifanya siasa na wakisema wakiwa pembeni na wakijificha kwenye kofia ya dini lakini ni ukweli ulio wazi kabisa ni wafuasi wa CHADEMA...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Haya haya haya Mwana FA usiyempenda yupo mlangoni anakugongea. Kazi unayo Mwanaccm uliyetaka kubebwa. === Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jana siku ya Tarehe 10 September 2020 ilitoa ilitoa...
19 Reactions
66 Replies
11K Views
Tundu Lissu amesema haya kuhusu lugha ya kufundishia: Ukiniuliza mimi, honest opinion Nchi yetu haiwezi kuzungumza Kiingereza, hivyo tunahitaji kuwa na mjadala juu ya sera ya lugha, tusipokuwa na...
62 Reactions
325 Replies
21K Views
Habari ya asubuhi wanachama wa JamiiForums, Ukiwafuatilia kwa makini wagombea wawili wenye ushindani mkali Tundu Lissu dhidi ya John Magufuli kwenye uchaguzi wa Tanzania wa mwaka 2020 utagundua...
18 Reactions
27 Replies
2K Views
Natumaini mko wazima. Nimeona nitumie haki yangu kikatiba kutoa maoni kuhusu kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea. Niseme kwamba iko wazi CCM wako kimkakati zaidi kwenye kampeni zao. Hawafanyi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Ndugu zangu wapendwa naomba tutafakari kwa kina kuhusu kauli zilizotolewa na Magufuli kwamba hayupo tayari kuacha taifa likaangamia, liingie mikononi mwa matapeli na waongo. Kwa kauli hizi...
33 Reactions
104 Replies
8K Views
UTEKELEZAJI WA HII ILANI NA SIFA ZA KIONGOZI Serikali itakayoongozwa na NCCR-Mageuzi itaweka mkazo katika kuimarisha mifumo ya kiutendaji ya serikali kuu na serikali za mitaa ili ufuatiliaji wa...
0 Reactions
0 Replies
892 Views
*Lwakalinda Kalikawe Bagonza kaandika hivi:* NEC WAHURUMIENI WANANCHI NEC WAHURUMIENI VIONGOZI. Kuna jambo haliko sawa. Kama liko sawa, basi kuna jambo haliko sawa ndani yangu. 1. Ni mzigo na...
35 Reactions
78 Replies
7K Views
Mwalimu Mwakasege leo ameendesha maombi rasmi ya kuibariki siku ya uchaguzi ( 28/10/2020) na kuwataka watanzania wote waibariki siku hiyo ili pasiwepo hila na udanganyifu wowote. Mwakasege...
6 Reactions
16 Replies
3K Views
Akiwa katika mkutano ulioongozwa na Makamu wa Rais mama Samia Suluhu huko Mchinga Lindi, Rais mstaafu ameongea kiutani kuwa "Watu walikuwa wanasema mama huyu [Salma Kikwete] kaachwa ndiyo maana...
16 Reactions
146 Replies
14K Views
Pamoja na kufunguliwa kwa dirisha la kampeni, lakini dalili zote zinaonyesha Wananchi hawana hamu na kampeni, wanaofuatilia kampeni ni wachache ukilinganisha na mwaka 2015. Nimejaribu kuangalia...
9 Reactions
71 Replies
6K Views
Ndugu zangu, Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi...
30 Reactions
145 Replies
8K Views
Tofauti na Nchi nyingine Duniani zenye siasa ya Vyama vingi, Tanzania ndo Nchi pekee ambayo Vyama vikuu vya Upinzani havijui dhana halisi ya Upinzani. Vyama hivi Vikuu Kama CHADEMA, CUF, ACT, na...
3 Reactions
54 Replies
4K Views
Hii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege. Kwanza ina engine moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga...
26 Reactions
82 Replies
10K Views
Lissu yupo Zanzibar kusaka kura za urais wa Jamhuri. Nimeanza na dibaji hiyo kwa minajili ya kusema yafuatayo: 1. Katika kunadi sera zake na ahadi za mgombea wa Urais hajawahi kuzungumzia namna...
11 Reactions
89 Replies
7K Views
Mfumuko wa bidhaa muhimu kama sukari umechangia ugumu wa maisha kwa watanzania wa kipato cha chini. Serikali ilijitahidi kupambana kuzuia bei ya sukari kupanda bila mafanikio. Nadhani sasa ni...
2 Reactions
6 Replies
742 Views
TAHADHARI KWA NEC UCHAGUZI MKUU 2020 Siku za karibuni pameibuka mjadala Mkubwa Juu ya kuenguliwa kwa Wagombea wa vyama mbalimbali. Pamoja na Ukweli kwamba Kuenguliwa huko kumezingatia ufuataji...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Rais mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema wanasiasa na wagombea wanaosema mikoa ya Lindi na Mtwara imesahauliwa na imeachwa nyuma kimaendeleo...
13 Reactions
60 Replies
8K Views
Back
Top Bottom