Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wagombea wa CCM hakika hawaishi vituko, leo huko kwenye kampeini kuna mgombea Ubunge katoa ya mwaka. Ebu msikikize jamani, huyu ndiyo aingie bungeni achambue mikataba ya wawekezaji kweli? Au...
9 Reactions
74 Replies
6K Views
*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona* yonapavea@gmail.com 0713802226 1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
"TUTASIMAMIA KWA MAKINI KATIKA SEKTA YA KILIMO NA MAENDELEO YA VIWANDA", PROF. LIPUMBA Dira ya Mabadiliko ya CUF inakipa kilimo nafasi ya pekee katika mikakati ya kukuza uchumi na hivyo...
1 Reactions
7 Replies
990 Views
Hili ni moja ya jimbo gumu sana upande wa CCM baada ya kinachosemekana kuwa ni makosa ya kamati kuu ya CCM kuwawekea mtu ambaye hafahamiki kabisa kushindanisha na Lazaro Nyalandu ambaye amekua...
3 Reactions
66 Replies
10K Views
Wanajamvi wasalaam, Kwanza kabisa ni ukweli ulio wazi hadi sasa CCM wana mtaji wa wabunge 20 na kwa takwimu za jana hadi mwisho wa kutoa majibu ya Rufani nina uhakika CCM itapita bila kupingwa...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
ASKOFU NIWEMUGIZI ATAKA WALIOENGULIWA WARUDISHWE WOTE, UCHAGUZI UWE WA HAKI Mimi naamini kwamba amani msingi wake ni haki. Pale ambapo kuna haki, amani itatawala." Askofu Niwemugizi aiomba Tume...
22 Reactions
94 Replies
7K Views
Nimefuatilia kwa umakini kuhusu kampeni zinazoendelea hadi sasa. Kimsingi CCM inaongoza kwa mikakati na mbinu bora zaidi kuliko vyama vingine vya Chadema,ACT nk na hivyo kuwa na nafasi nzuri ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wataulinda utawala wao kwa nguvu za dola. Je, hawajiamini ushindani wa hoja? Je, wamefanya makosa mengi? Je, wamenyang'anya na kudhulumu sana? Je, wanaogopa kupandishwa vizimbani? Je, wanataka...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Leo Jumatano, Dkt. John Magufuli yupo mkoani Geita baada ya jana kutoka jijini Mwanza kuendelea na kampeni ya Urais kuomba ridhaa ya kusalia madarakani kwa muhula wa pili. Tuwe sote kujuzana...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
As it stand wanachofanya Tume ni comedy. Katiba yetu inaainisha vyema Wabunge na Madiwani wachaguliwe vipi au wateuliwe vipi. Mfano kwenye Ubunge Katiba inaainisha kwamba; 1. Kuna wabunge wa...
1 Reactions
2 Replies
609 Views
Mgombea urais wa chama cha Chadema na Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo wanaposema kwamba iwapo Tume ya Uchaguzi itapindisha haki kama inavyo fanyaga miaka yote, basi wataingiza watu...
11 Reactions
13 Replies
1K Views
Wananchi wa kata ya Mbwambo Wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro wameungana na viongozi wao kupinga jina mgombea Udiwani lililorudishwa na Chama Cha Mapinduzi Wananchi hao wakiwa na mabango mbali...
9 Reactions
35 Replies
4K Views
Mwaka 2015 mgombea wa CHADEMA kwa nafasi ya urais aliapa na kwa kiwango kikubwa kuendesha kampeni za kistaarabu. Mgombea wa CCM kwa wakati ule nae aliahidi kuendesha kampeni za kistaarabu...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Mwaka 2015 kulikuwa na wapiga kura milioni 16. Leo tunaabiwa Kuna wapiga kura milioni 29, yaani nyongeza ya wapiga kura milioni 13 ndani ya kipindi cha miaka mitano. IDADI YA WAPIGA KURA: Toka...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) IWEKE HADHARANI MAJINA YA WAGOMBEA WETU WALIOKATA RUFAA Chama cha ACT-Wazalendo kinaitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) iweke hadharani orodha ya majina ya...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Na Markus Mpangala Wagombea 15 wa vyama vya siasa nchini Tanzania wanashiriki kampeni za kuwania urais zilizozinduliwa Agosti 26 na kunadi sera na vipaumbele vyao kwa wapigakura kuelekea siku ya...
2 Reactions
1 Replies
904 Views
Habari wadau wa JF, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya mwenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni. Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui...
2 Reactions
90 Replies
5K Views
1. Sera zao ni za ushari, hila, fujo ghiliba za kubomoa na kutengeneza Tanzania ya machafuko kwani kwao amani tuliyonayo si kitu kwao isipokuwa tamaa za madaraka. 2. Wakati Wabunge wa Chama cha...
0 Reactions
2 Replies
606 Views
Salaam wakuu. Baada ya kutazama vipaumbile vya vyama 7 katika Uchaguzi huu. Ambavyo nimeweza kutazama na kusikia. Bila ajizi naomba niweke wazi. Kipaumbele cha kuwa na Muafaka wa Kitaifa kama...
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Emmanuel Mathias (MC PiliPili) naye ajitokeza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge BAHI kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Back
Top Bottom