Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea Urais kupitia CHADEMA jana Jumatano alifanya "Press conference" na Vyombo vya Habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha...
11 Reactions
97 Replies
8K Views
Tumeshuhudia wanasiasa wakituahidi mambo mengi sana kipindi cha kampeni, laiti kama kwa miaka 15 iliyopita, ahadi za wanasiasa (Rais, Wabunge, na Madiwani) zingetekelezwa walau kwa asilimia 50 tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao CHADEMA kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu...
17 Reactions
159 Replies
10K Views
Na Bwanku M Bwanku Fursa za ajira ni eneo muhimu sana katika kukuza maendeleo ya kiuchumi na kijamii ambapo jamii hususan vijana hupewa nafasi ya kuchangia utaalam wao katika kufanya kazi ili...
2 Reactions
9 Replies
879 Views
Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika. Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani...
8 Reactions
194 Replies
20K Views
Mapingamizi ya Wasimamizi wa Uchaguzi wa Kata yameitikisa Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera, inayoongozwa na Mkuu wa Wilaya aitwaye Godfrey Mheruka. Kati ya wagombea 23, kuna wagombea udiwani 12...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CHADEMA leo amerejesha fomu za kugombea ZEC na kuahidi kuwa ataendelea na kinyang'anyiro hicho hadi siku ya Uchaguzi October 28, 2020.
7 Reactions
85 Replies
7K Views
NA MWANDISHI WETU JUMUIYA ya Watendaji Wakuu Vijana (The Young CEO Forum) wamemtaka Mgombea wa nafasi ya Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, kuacha mara moja...
2 Reactions
102 Replies
10K Views
Baada ya kusikiliza hotuba ya Magufuli akiwa Geita inasikitisha kuona anazidi kupotosha watu. Anasema kwamba huu si wakati wa kufanya majaribio kwa kukichagua chama kingine, mimi napingana nae...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Na Debora C. Kiyuga✍🏽 Katika Sekta ya Madini, Serikali imeweza kudhibiti utoroshwaji wa Madini kwa kutunga Sheria ya kuyalinda na kuanzisha Soko kubwa la Madini. Kabla ya hapo Madini mengi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kinakutana leo chini ya Mwenyekiti wake Rais Magufuli. Miongoni mwa agenda ni kupitisha majina ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Uwakilishi. Mkutano utarushwa...
22 Reactions
1K Replies
163K Views
Katibu mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa Oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Huyu jamaa sijui atapitaje sioni njia ya kupita. Natamani sana huyu mzee apite hana maneno mengi siyo kama yule Mbatia hajaleta kitu chochote.
2 Reactions
75 Replies
8K Views
Ule msisimko wa kampeni nzima za uchaguzi kwa kinyang'anyiro cha nafasi nyeti ya ofisi ya Rais leo haukuwepo kabisa, si tu katika mitandao maarufu ya kijamii, bali pia kutoka katika vyombo makini...
28 Reactions
70 Replies
7K Views
1. Sera zao ni za ushari, hila, fujo ghiliba za kubomoa na kutengeneza Tanzania ya machafuko kwani kwao amani tuliyonayo si kitu kwao isipokuwa tamaa za madaraka. 2. Wakati Wabunge wa Chama Cha...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Pia, soma Uchaguzi 2020 - Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020
3 Reactions
103 Replies
14K Views
UVUNJIFU NA UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU NI TATIZO KUBWA HAPA TANZANIA AZORY GWANDA ALIPOTEA HAPA KIBITI HADI LEO HAJULIKANI ALIPO"PROF.LIPUMBA KIBITI" Uvunjifu na ukiukwaji wa Haki za binadamu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanabodi, tulileta ushauri hapa JF sisi wana CCM tunaojitambua ni hatua gani za kufanya mikoa ya Kusini mwa Tanzania hasa Lindi na Mtwara. Tulishauri mikoa hiyo atumike Mama Salma Kikwete kuweka...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Katibu mkuu wa CCM amesema kama Membe anasema kilichomfukuzisha CCM ni nia yake ya kugombea urais basi agombee kupitia chama kingine na wakutane kwa debe. VIDEO: Dk Bashiru asema kama tatizo...
17 Reactions
188 Replies
52K Views
HATOKI MTU HAPA! Wale wote wanaodhani kuwa Nitajiondoa katika kinyang'anyiro cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, wanaota ndoto za Mchana. Kimbunga kitakachoanza...
11 Reactions
102 Replies
12K Views
Back
Top Bottom