Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na Kampeni katika mkoa wa Geita mabapo mbali na kuomba kura ameeleza mafanikio kadhaa yaliyopatikana katika mkoa huo...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
My take: Zile mbwembwe zote kumbe ni danganya toto
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampeni za Uchaguzi mkuu kwa madiwani, Wabunge na Urais unaendelea nchini, kwa kila chama kunadi sera Zake kutafuta kuamininiwa na wenye mamlaka ya kutoa madaraka kwa serikali kwa mujibu wa Katiba...
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Ni dhahiri shahiri kwamba kutokana na mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 zinazoendelea Upinzani unakwenda kuendeleza kushindwa vibaya kwa mara nyingine. Sababu za kushindwa vibaya uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
MKINICHAGUA KUWA RAIS WA NCHI HII NITAFUTA UMASIKINI KATIKA NYANJA ZOTE "PROF.LIPUMBA" AKIWA BAGAMOYO Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Jumatatu niliamua nipite daraja la Kigamboni kuelekea mjini. Nilipofika pale sehemu ya kulipia (Toll Centre) nikaona kuna picha za wanasiasa wawili zimebandikwa kwenye nguzo. Hizi ni picha za...
9 Reactions
31 Replies
4K Views
Ndugu watanzania wenzangu, Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo. Kwa kifupi sana, nadhani baada ya Tundu Lissukuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma...
15 Reactions
45 Replies
6K Views
Mgombea Ubunge Jimbo la mchinga kupitia CUF, Mhe. Hamidu Bobali amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo mchinga
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mlezi wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Manyara, Waziri mkuu mstaafu wa awamu ya nne Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda amewataka watanzania waendelee kukiamini chama hicho kwa kuwapigia kura...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Na: Giantist McWenceslaus 09/09/2020. Dodoma. Habari za leo, ndugu wanabodi wenzangu... Tangu uhuru hata sasa, Tanzania imeendelea kuwa salama, kwa sababu ya kuwepo kwa viongozi wazalendo na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU SHAMBULIO KWA MGOMBEA WA UDIWANI KATA YA TUNGI JIMBO LA KIGAMBONI Ndugu Wananchi; Uongozi wa Chama Cha Wafanyakazi Tanzania (Tanzania Labour Party-TLP) Wilaya ya...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habarini wadau. Kuna kitu kimekuwa kikinichanganya kidogo kuhusu kampeni za uchaguzi pamoja na sheria za upigaji kura. Ningeomba wadau wa siasa na pamoja na tume ya taifa ya uchaguzi kutupatia...
0 Reactions
1 Replies
760 Views
Ulikuwa mshindi halali kura za maoni lakini watawala wa juu wakakukata jina lako na kumuweka mtu wanayemtaka. Kisha mliokatwa mkaambiwa muwapigie kampeni hawa mahasimu wenu kwa ahadi kwamba...
21 Reactions
120 Replies
9K Views
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan, amewataka wanachama waliojitokeza kuwania nafasi za Ubunge na Udiwani wasikisuse chama baada ya kushindwa katika kura...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kutoka Jarida la Kwanza: Mgombea wa Chama cha Mapinduzi(CCM) nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais, Dkt John Pombe Magufuli amesema kuwa atazalisha ajira milioni nane katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SISI SIO WAJINGA Ulipochukua tu madaraka ukaanza na kubomoa nyumba zetu katika bonde la Msimbazi. Bila huruma ukatuacha tumelala nje na watoto wetu. Ulidhani tutahama mjini lakini sisi bado tupo...
133 Reactions
167 Replies
14K Views
Ikiwa ni kipindi cha wagombea kunadi sera zao kwa wapiga kura kabla ya zoezi zima la mchakato wa kuwapata viongozi Wakuu wa kitaifa hapo Oktoba 28, Mgombea Urais kupitia Chama cha Civic United...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wagombea wote (100%) walioenguliwa kwenye uchaguzi ni wa kutoka vyama vya upinzani tu. Maswali ya wananchi kwa tume yao ya uchaguzi ni: 1. Wagombea wote bila kujali vyama vyao ni watu...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa CCM katika mwaka huu wa uchaguzi imewashinda Chadema katika nyanja zote. Mitandao ya kijamii Hapa utaona ndani ya Jf Pro Chadema wamebakia na matusi na propaganda za...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
Wanaforum, Amani kwenu! Ilani ya uchaguzi ni mwongozo unaobeba mambo yote yatakayotekelezwa na Chama husika kwa faida ya wananchi kwa kipindi cha miaka mitano (Tanzania). Kwa maneno mengine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom