Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Vituko na Makosa kwenye kampeini za Uchaguzi jana Jumatatu 7/9/2020 Kituko: Jana Jumatatu, Septemba 7, maofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), walikuwa wanatembelea baadhi ya NGOs ambazo NEC...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Huyu mzee wa kazi na bata ambaye alijitokeza kuchukua fomu kugombea Urais wa Tanzania ameonyesha dalili zote za kutokuwa na maandilizi na mikakati ya kutosha. Tangu amezindua kampeni zake amekuwa...
2 Reactions
74 Replies
7K Views
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa...
63 Reactions
74 Replies
8K Views
Miaka mitano ya CCM imejaa vilio kwa Watanzania kila Kona ya nchi, iwe ni kwa mwana CCM mwenyewe au hata asiye mwana CCM. Unamtumia muda mwingi kuhubiri flyover, SGR, ndege, Mabwawa ya umeme...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Baada ya kufuatilia hotuba nyingi za Vyama vya Upinzani ninapenda kuwasihi vijana kuwa na tahadhari kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka. Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani...
4 Reactions
95 Replies
4K Views
Nimesikiliza kwa makini hotuba ya mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha NCCR-Mageuzi Bw. Jeremia Mganja akinadi sera zake kwa Wananchi. Hotuba yake inatoa taswira ya tabia za wagombea wa vyama vya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana bodi, Kwanza kabisa ninapenda kuwatakia wagombea wote wa Udiwani, Ubunge na Urais kila la heri kwenye uchaguzi utakao fanyika tarehe 28 mwezi wa 10 mwaka huu. Ila katika kampeni ni vyema...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Nakumbuka 2015 nilihudhuria mikutano mitatu mikubwa ya Lowassa lakini niliishia kufedheheka sana, Huyu ni Kiongozi ambaye nilimpenda tangu nilipomwona mwaka 1994 akiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya...
18 Reactions
33 Replies
3K Views
Yaani kila mahali wimbo wao Ndege, SGR na STIGLERS kila mahali kwenye mabrasha yao wanatembea na hayo mambo 3. Yaani huwezi kumkuta mtu anaimba nje ya hayo. Hivi hayo mmefanya kwa pesa zenu? Hawa...
9 Reactions
67 Replies
4K Views
Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu Poleni wafanyakazi ,twende na...
35 Reactions
150 Replies
14K Views
Leo kampeni zinaendelea na mwenyekiti na mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, John Magufuli yupo Nzega mkoani Tabora akinadi sera na ahadi ya nini atafanya katika kipindi chake cha pili...
7 Reactions
64 Replies
7K Views
Mambo yanazidi kuwaendea kombo CCM, CHADEMA wanakuja kwa kasi ya ajabu na kuwafunika CCM kila uchao. Mikutano ya CHADEMA imejaa vijana ambao huenda peke yao kwa mapenzi yao kwa chama tofauti na...
30 Reactions
87 Replies
11K Views
Inasikitisha katika nyakati kama hizi za Demokrasia komavu kukutana na hoja dhaifu au za ajabu Akiwa Lindi mgombea wa chama cha mapinduzi kwa nafasi ya Urais ndugu John Magufuli ambae kwa mujibu...
30 Reactions
60 Replies
5K Views
Wakuu nina imani mko powa, leo kuna jambo limenistaajabisha sana. Moja ya ngome zetu kuu kama chama ni nyanda za juu kusini, ikiwemo mikoa ya Mbeya, Iringa na Njombe. Kama tunavyofahamu sasa hivi...
4 Reactions
45 Replies
7K Views
Kutokuwasiliana kwa viongozi wakuu wa ACT Wazalendo na CHADEMA kumewapa mwanya CCM kufanya watakavyo. Suala la mapingamizi ni suala nyeti hivyo linahitaji nguvu kubwa. Kipindi Cha Korona mbowe...
7 Reactions
47 Replies
5K Views
Wakati Taifa limeilungana kupambana na shambulio la COVID-19, vyama vya upinzani nchini wakiongozwa na CHADEMA na ACT walisusia Bunge la Bajeti kwa kisingizio wanajiweka karantini dhidi ya CORONA...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
CHADEMA kupitia Mgombea Urais wao ametamka kujenga masoko yatakayofanya kazi nyakati za usiku. Namnukuu Lissu “Tutajenga majengo makubwa kwa ajili ya Wamachinga ili wafanye biashara kwa uhuru na...
16 Reactions
51 Replies
5K Views
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe...
10 Reactions
78 Replies
9K Views
Juzi CCM walioonekana kukaa meza moja na familia ya Baba wa Taifa, Mama Maria pamoja watoto wake Makongoro na Madaraka. Dhumuni bado sijaelewa, ila tu kwa sababu ya kampeni nilijua ni kupata...
10 Reactions
18 Replies
2K Views
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Livingstone Lusinde amewaonya wagombea wa vyama vya upinzani waache kutumia muda mwingi kueneza uongo na kumshambulia mgombea wa CCM, John...
7 Reactions
43 Replies
5K Views
Back
Top Bottom