Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Siku chache za nyuma nilimsikia mgombea wa urais wa CCM akiwaonya wapiga kura. Aliwaambia kwamba wasipomchagua mgombea wa CCM watakosa maendeleo. Pia alisema kwamba sababu iliyofanya eneo lao...
18 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu mama Nyerere alipoamushwa kuja kuzungumza kwenye mkutano wa Ccm, katoa Kari ya Mwaka, kasema kuwa yeye hana LA kuongea Kwa sababu amelazimishwa kuja kwenye mkutano huu. "Mimi kwa bahati...
53 Reactions
288 Replies
31K Views
Naona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
9 Reactions
132 Replies
10K Views
Moja ya njia zinazotumiwa na Serikali ya CCM kuwatumia wachungaji, masheikh nk kufanya kampeni kwenye vizimba vya siasa kwa kigezo cha kufanya sara na dua hakikubariki kwenye medani ya siasa...
11 Reactions
53 Replies
5K Views
Bora kipengele cha rushwa wakati wa uchaguzi kiondolewe tu yani iwe free mtu kufanya atakalo kushawishi watu wamchague. Kwa sababu lengo la rushwa ni kushawishi jambo huyu mtoa rushwa alipate...
0 Reactions
0 Replies
445 Views
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile. Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna...
19 Reactions
243 Replies
23K Views
Kuna wakati hua nafuatilia mijadala hasa kwa jamaa zangu wa CCM wanavyojigamba kwa sababu tu hawafikirii sawa sawa. Matumaini makubwa kwao kua CCM inaendelea kutawala kwa sababu wapiga kura wengi...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Hatari Wana JF, Baada ya takribani siku kumi za amshaamsha ya mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema ndugu Tundu Lissu kuigongesha CCM na mgombea wake kwenye majukukwa ya kampeni, ni dhahiri...
21 Reactions
42 Replies
4K Views
Hii nchi toka imepata Uhuru hakujawahi kuwepo na ubaguzi wa maendeleo kisa tu upande ule unakaa ukoo Fulani, au upande ule kuna kabila Fulani au kuna upinzani. Enzi za Nyerere aliwai pata mbunge...
6 Reactions
3 Replies
964 Views
Mgombea urais kupitia Chama cha Democratic (DP), Philipo Fumbo, amesema wananchi wakikipa chama hicho ridhaa kushika madaraka, serikali yake itatoa ruzuku kwa vyama vyote vya siasa vyenye usajili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela amesitisha kufunguliwa kwa shule zote hapo kesho ili waalimu na wanafunzi washiriki kampeni za chama Cha CCM. Hali hiyo...
30 Reactions
101 Replies
9K Views
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi...
61 Reactions
323 Replies
33K Views
Sijaelewa ni kuwa ACT Wazalendo hawampi support ya kutosha? Yaani hili ndio liwe jukwaa la mgombea Urais kweli? Tena aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje? Haya maisha yanaweza kumshinda kabla...
38 Reactions
163 Replies
18K Views
Popote mlipo, huu Ni ushauri wangu kwenu, mikutano yenu haiwezi kutegemea matangazo ya gari za matangazo na social media, katika pesa mliyonayo, ongeeni na ITV/ AZAM wawe wanarusha matangazo na...
20 Reactions
90 Replies
7K Views
1. Kwa kuelezea tu aliyoyafanya ndani ya miaka 5 ya utawala wake bila kuelezea faida zake za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja kwa Wapiga kura, haitapatikana impact ya kutosha kuwashawishi...
0 Reactions
11 Replies
898 Views
NCCR Mageuzi Jimbo la Hai hawajasimamisha mgombea ili kumpisha Mwenyekiti wa CHADEMA na hivyo hivyo tunategemea CHADEMA wote wataelekeza nguvu zao zote kumpigia kura Mbunge James MBATIA kupitia...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Leo Lissu yupo Tabora Mjini, wakati huohuo kuna mtufuano unaendelea kati ya wana CCM wenyewe kwa wenyewe. Upande mmoja ni CCM uongozi ambao umejiratibu kuanzia ngazi ya tawi hadi Mkoa, upande wa...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwa sasa muelekeo wa kampeni kwa CHADEMA japo ni mzuri sana lakini hicho chama lazima kiwe makini mno na strategy yao ya sasa ya kukamata Miji. Ndiyo maana unaona wanaruka kwa ndege kutoka mji...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa Mujibu wa ratiba ya kampeni iliyotolewa na Chadema inaonyesha kwamba Mh Tundu Lissu leo atakuwa Tabora ===== Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA TUNDU LISSU leo...
37 Reactions
257 Replies
29K Views
Charisma - compelling attractiveness or charm that can inspire devotion in others. Kwa tafsiri ya kiswahili, Charisma ni ule mvuto mtu anaokuwa nao mpaka unatamani kama anaongea aendelee...
95 Reactions
156 Replies
13K Views
Back
Top Bottom