Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

WanaJF Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuzindua kampeni katika Kanda ya Kati mkoani Dodoma. Rais huyo mtarajiwa wa Tanzania ataambatana na mgombea Mwenza Salum Mwalimu...
68 Reactions
315 Replies
36K Views
Leo Bariadi wameonesha njia na wametuma salamu za moja kwa moja kwa CCM na mgombea wake. Mahudhurio hafifu kama ya mgombea udiwani na angalia hapa chini jinsi mabasi na malori yalivyotumika...
14 Reactions
88 Replies
12K Views
Ukifuatilia kauli za mgombea wa CCM ndugu Magufuli kwa muda mrefu tangu aingie madarakani amekua ana makosa mengi sana kwenye namna ya kuongea na kuwasilisha hotuba zake,amekua na kauli nyingi...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Wagombea wawili wa Ubunge katika Jimbo la Serengeti mkoani Mara wameacha kuendelea na kinyang’anyiro cha kupambania kupata ubunge wa Jimbo hilo na kuhamia CCM. Mmoja wa wagombea hao ni Daniel...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Kampeni zinazidi kushika kasi ambapo kila chama kinachanja mbuga kusaka kura kwa kila namna. Gumzo kubwa lililojili leo ni kauli ya Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Nipo kwenye makundi mengi ya WhatsApp ya CCM mikoa mitano. Ni dhahiri kwa hoja za Lissu ni hakika kuna miguno ya kuvumilia maumivu. Tofauti na matarajio ya wanaCCM wengi waliodhani hoja za...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Mgombea urais kupitia CHADEMA nakumbuka hakuwepo hapa nchini toka 2017 baada ya kupigwa na wenzake wasiojulikana, amepona akabaki huko kama 2yrs hivi. Mwaka huu uchaguzi umekaribia tunamwona...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Leo, Septemba 6, 2020, Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Joseph Pombe Magufuli yupo safarini kuelekea jijini Mwanza kwa uzinduzi rasmi wa Kampeni za CCM mkoani humo. Fuatana nasi kwa...
10 Reactions
102 Replies
11K Views
Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli Wananchi hao wa kata ya...
47 Reactions
71 Replies
9K Views
Tumeshuhudia kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wabunge na madiwani wengi kutoka chadema wakijivua ubunge au udiwani. CHADEMA haijawahi kuwaambia wananchi sababu ya msingi iliyopelekea hayo...
1 Reactions
3 Replies
624 Views
Kichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma. Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekia Dibogo Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio...
37 Reactions
106 Replies
20K Views
Ukiacha mafanikio mengi tunayoweza kuyaelezea ya Mheshimiewa Rais Magufuli nimewiwa kuelezea moja ya mafanikio makubwa ambayo yatabaki kwenye mioyo ya Watanzania. Fanikio hilo muhimu ni ari ya...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa...
46 Reactions
298 Replies
29K Views
Tarehe 5 September 2020 ndugu Gelasius Byakanwa aliwaita watumishi wanaofanyia kazi kwenye taasisi zinazomilikiwa na watawa wa shirika la kikatoliki la Mt. Benedicto Ndanda kwenye kikao kifupi Cha...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Tukielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, tayari kumejitokeza viashiria vya kuvuruga na kuhujumu uchaguzi kunakofanywa na vyombo vyenye dhamana ya kusimamia uchaguzi na amani ya...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Mgombea John Magufuli akiwa amesimama pale nyashimo jimboni Busega asubuhi hii, Kuna kawimbo kalikuwa kanasikika kutoka kwenye gari la matangazo la mgombea, kanyimbo hako ni ka kisukuma...
8 Reactions
105 Replies
8K Views
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..! Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata...
10 Reactions
94 Replies
6K Views
Kwa sasa kama ni kwenye mpira unaweza kusema CHADEMA wamepoteana. Maana hawajui mpira waanzie wapi! Waanzie pembeni nyuma au waanzie mbele. Maana kila hoja wanayoibua imeonekana ni hoja mfu na...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Kwa ufupi mbeya sio wanafiki sio watu wa kujipendekeza hawaendeshi kiboya na hawaogopi mtu. Hii inasababishwa na hulka ya wale watu ni wachapakazi hivyo Wana financial muscles mtu mwenye uchumi...
16 Reactions
32 Replies
3K Views
Back
Top Bottom