Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Salaam Wakuu, Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limemaliza Mgogoro kati ya Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA. Hivi Karibuni CHADEMA iliwafukuza TBC...
41 Reactions
281 Replies
21K Views
NGUVU YA CHADEMA HAIPO TENA MBEYA, WATAPIGWA OCTOBER 28 Na Elius Ndabila Kuna watu jana baada ya Mh Tundu Lissu kufanya mkutano wake jijini Mbeya wamekuja na kauli kuwa Mbeya mjini ni ya...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
CCM walijiamisha kuwa wameua upinzani kwa manunuzi ya waunga juhudi, walifikiri kwa kufanya hivyo wananchi watachukia vyama vya upinzani. CCM walijiaminisha kuwa kampeni zitakuwa mteremko kwa...
11 Reactions
10 Replies
2K Views
Hayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo. Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi...
8 Reactions
56 Replies
7K Views
Nimeshangaa kumsikia mgombea u Rais wa chama cha mapinduzi akitumia vibaya kauli ya Mh Lissu-Rais mtarajiwa wa awamu ya sita na kipenzi cha watu,aliyoitoa akiwa Mwanza kwamba yeye Lissu hayuko...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote. Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini. Kuthibitisha kuwa sera hiyo...
5 Reactions
62 Replies
5K Views
Washauri wa chama tawala na serikali mna majibu ya swali hili? Nimemsikia mgombea wa CCM akisema angeongeza mshahara nauli, unga, mchele, mafuta na sukari vingepanda. Lakini sukari mwaka 2015...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
TUSIMWACHE LISU ATUAHIDI YASIYOWEZEKANA. Na Thadei Ole Mushi. Kwenye kampeni za Lisu ana Mambo makubwa mawili anayowaomba watanzania wamchague nayo. Moja ni malalamiko yake ya kupigwa risasi hii...
13 Reactions
144 Replies
9K Views
5 September 2020 Tundu Lissu na Magufuli, Viongozi wa Jamii Marekani wajadili Amani, Haki, Upendo Na Ushirikiano Kutoka Washington DC pamoja na Studio zetu za South Carolina, leo hii tumepata...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kingereza ungeweza kusema how CCM underdeveloped Tanzanians for 60 years. Kwa miaka 60 chini ya CCM bado huduma za afya sio za uhakika Tanzania. Wamama wajawazito wanafariki kila siku kwa...
2 Reactions
5 Replies
617 Views
Wasalaam, Nachukua fursa hii kuwapongeza sana ITV kwa taarifa ya habari ya SAA mbili kwa kujali na kutoa muda sawa kwa wagombea wa nafasi ya urais was JMT. Hakika ITV ni super brand Afrika...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
CCM bila kulazimisha watu na kuwasomba, kampeni zao zitakuwa na watu kiduchu. Mwacheni mama yetu wa Taifa alee wajukuu
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii hoja ya kufuta sheria kandamizi zinazonyima watu dhamana Ni yakuungwa mkono na kila MTANZANIA, wapo Wana CCM inawaumiza na kuwanyamazisha, wapo wapinzani na wapo wafanyabiashara ambao leo CCM...
2 Reactions
1 Replies
899 Views
Wanabodi, Mahudhurio ya wananchi kwenye Mikutano ya Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu (2020) haiwezi kuwa sababu ya moja kwa moja ya ushindi Ila angalau yanatoa picha ya mambo yatakavyokuwa...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Ukifungua television bila kujua kama kuna kampeni unaweza kudhani ni hotuba za kawaida za JPM na sio kujinadi ili kuomba kura. Ulituahidi tukakupa miaka 5 ambayo tumeyaona hatuhitaji kuambiwa...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Wasalaamu wanaJF tunaposema tufanye siasa za kistarabu na siasa za kweli tunamaanisha. Ni jambo baya sana kuona baadhi ya wanasiasa wanabakia katika mirengo ile ile ya siasa za ulaghai za miaka...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana. Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani...
10 Reactions
108 Replies
6K Views
Miaka mitano CCM iliangaika na wagombea na viongoz wa upinzani nakusau kwamba uchaguzi unategemea kura za wananchi kuliko kura za viongozi. Baada ya miaka mitano Leo majimboni kumedoda hakuna...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake. Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye...
23 Reactions
118 Replies
8K Views
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda...
54 Reactions
134 Replies
14K Views
Back
Top Bottom