Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kampeni zinaendelea nchini. Wagombea wanajitambulisha kwa wananchi huku wakiahidi kuwaletea wananchi maendeleo ya dhati sambamba na kuboresha hali zao za kimaisha. Hili ni tukio muhimu sana katika...
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Kiukweli nafuatilia kwa makini kampeni za chama tawala CCM mgombea urais na wagombea ubunge wameonyesha umahiri mkubwa. Ni dhahiri mwezi November tunaweza kupata Baraza la Mawaziri jipya kabisa...
0 Reactions
3 Replies
988 Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu. Siku ya 9 leo tangu kampeni zianze, hali ya upepo nchini kwa ujumla tayari inatoa picha kuhusiana na uchaguzi mkuu ujao. Magufuli alidhani anakubalika kwa 100%...
20 Reactions
67 Replies
7K Views
Wakubwa kwa wadogo, itifaki imezingatiwa Nianze kwa kurudia kusema kuwa, mimi ni non aligned kwa maana ya kwamba "sifungamani na chama chochote cha kisiasa nchini. Hata kama sifungamani na upande...
10 Reactions
123 Replies
8K Views
Msema kweli wahenga walisema ni mpenzi wa Mungu. Chadema imekuwa na kasumba mbaya sana ya kuendesha siasa. Imekuwa na tabia ya kuendekeza vurugu na na hili sio jambo jema. Ikumbukwe kuwa...
5 Reactions
48 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana heshima kwenu. Tunapoendelea kusonga mbele na jitihada za kuleta mabadiliko ambayo kila aliye mzalendo angeyapenda, wenye mawazo mgando wanazidi kuingiwa mchecheto. Hofu...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, Magufuli alisikika akiwa Singida akisema kuwa yeye ndie aliewapanga Mwigulu Nchemba agombee wapi na Kitila Mkumbo agombee wapi. Swali langu inamaaana Siku hizi kuombea ubunge ni kama...
10 Reactions
6 Replies
2K Views
Muda huu mgombea wa urais wa JMT kupitia CCM Dr Magufuli anaendelea na kampeni mkoani Simiyu na tukio liko mubashara TBC na Channel ten karibu. Up dates; Dr Magufuli yuko uwanjani na sasa...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Musa alikwenda na Meseji Moja tu kwa Farao, nayo ni "Let my people Go". Farao akashupaza shingo, akaangalia majeshi yake akaona hakuna mfalme kama yeye duniani. Akaangalia wachawi wake, akasema...
9 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni jambo la wazi kabisa kwamba heshima ya Tanzania kimataifa imepotea ktk kipindi hiki cha awamu ya 5. Rais wa Nchi ndiye mwanadiplomasia nambari one wa nchi yake, na ktk hili tuwe wakweli kwamba...
12 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu habarini za jioni, Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu yenu. Nimeona niulete huu uzi wa mheshemiwa Tundu Lisu hapa tuujadili ili tuone kama kweli hoja hii ina mashiko ...
7 Reactions
170 Replies
9K Views
Leo mgombea ubunge wa Jimbo la ubungo kwa tiketi ya CCM, ndugu Prof. Kitila Mkumbo amefanya Mkutano wake wa kwanza wa uzinduzi katika viwanja vya #EPZA na haya ndio yaliyojiri
2 Reactions
45 Replies
7K Views
Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba kupitia ACT-Wazalendo, bwana Mwesigwa Zaidi amejiengua, kutogombea ubunge kwenye jimbo la Kibamba kwa kile alichoeleza ni ushauri wa madaktari wake ya kwamba...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Naomba nikiri nimefurahi sana kusikia umeeleza ni namna gani wabunge wa CCM wamepitisha sheria zinazotuumiza wananchi. Kwanini nimefurahi sana? Sababu kubwa ni hii,baadhi ya watanzania wenzetu...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanabodi, sisi kama wana CCM tunaoshauri hapa mambo mengi sasa JPM anayajibu. Leo Rais ametangaza ataajiri walimu wa msingi na sekondari zaidi ya 13,000 Hakika sasa hoja zinajibiwa kwa hoja...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
8 Reactions
120 Replies
11K Views
Nawaomba sana NEC na Vyombo vyote vya Dola, chondechonde kwa idadi ya Watanzania wanaojitokeza kumpokea na kumsikiliza Lissu kwa furaha na mapenzi yao ya dhati kwake na kwa chama chake nawaomba...
69 Reactions
211 Replies
13K Views
Sina hakika kama unafiki na upotoshaji wa ukweli kwa wanasiasa ni kitu cha kawaida, lakini inakera zaidi wakati upotoshaji na unafiki huo unapo kithiri na kuvuka mpaka. Iko on record kwamba huko...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tundu Lisu popote ulipo heshima kwako mkuu, Waeleze watanzania kwamba wanachosema elimu bure siyo kweli watoto wa masikini bado wanalipia ELIMU TENA SANA mf 1. Nauli 2. Madaftari 3. Uniforms 4...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Back
Top Bottom