Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hodi wana jukwaa. Katika kipindi hiki cha harakati za wagombea na vyama vyao kuendelea kunadi kampeni zao ili kupata uhalali wa kuunda serikali zikiendelea bado najikuta nina maswali mengi ya...
6 Reactions
11 Replies
945 Views
Tundu Lissu alipohojiwa kwenye Hardtalk watazamaji zaidi ya milioni 80 duniani kote walimfuatilia na kutazama kipindi. Kipindi cha dakika 45, kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV superbrand...
16 Reactions
51 Replies
3K Views
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha CHAUMA, Hashimu Rungwe amejikita katika ahadi ya kuhakikisha watanzania wanapata lishe bora kwanza, wali-kuku imekuwa ndio kibwagizo chake, na amekuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanini ni Prof Lipumba 1. Ni kwa sababu ana majibu ya kitaalam ya kutatua matatizo yanayo ikabili nchi na wananchi kwa ujumla 2. (i)Ana deni kwa watanzania linalotokana na kodi zao...
-1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mvomero sio Wilaya kongwe,na kwa hiyo kimaendeleo iko nyuma sana.Wilaya hii ina matatizo mengi, ya msingi yakiwa upatikanaji wa maji,migogoro ya wakulima na wafugaji ambayo imedumu kwa miaka mingi...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu wanaoelekeza mashambulizi kwa upinzani, hasa mgombea wa CHADEMA, T. A. Lissu. Katika mazingira ya uchaguzi ambapo chama kimoja kinaomba kura kurejea madarakani...
2 Reactions
5 Replies
830 Views
Mpaka hivi leo nawaza na ninamtafuta huyu Mtu (Mtanzania) aliyemdanganya kabisa wazi wazi Bernard Membe kuwa ana 'Mvuto' wa 'Kisiasa' na kwamba 'akigombea' Urais nchini Tanzania kwa Kushindana na...
22 Reactions
163 Replies
13K Views
Miradi hii mikubwa ya barabara, maji kumpa kura za ndiyo Mbunge anayetetea Jimbo la Ilemela, Angeline Mabula MGOMBEA ubunge jimbo la Ilemela kupitia CCM, DK. Angeline Mabula amesema katika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo...
7 Reactions
104 Replies
6K Views
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge. Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha...
27 Reactions
168 Replies
13K Views
Kwa miaka mitano tangia uingie madarakani wapo wananchi wengi waliokuunga mkono wakakubali kufunga mikanda wakasahau yale yote uliyowaahidi ili mambo ya msingi yafanyike wakitegemea mambo yatakuwa...
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Pombe Magufuli nakushauri usisahau kuwaeleza wananchi kuwa Tanzania ya viwanda kama umeifanikisha, maana 2015 ulipigiwa kura na watu wengi kwa namna ulivyonadi sera zako, hasa iliyonivutia mimi...
9 Reactions
111 Replies
6K Views
KWA UBABAISHAJI HUU WA CHADEMA HAWAPASWI KUPEWA MADARAKA Ndani ya CHADEMA kumekuwa na malalamiko na madukuduku ya muda mrefu sana ya wanachama na viongozi mbalimbali kuhusu namna mambo mbalimbali...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
Kimsingi jiji la Mwanza linapanuka kila siku na ni kitovu cha biashara Afrika Mashariki na Kati na hususani kusini ya Jangwa la Sahara. Jiji hili ni la pili kwa Dar na pia linachangia asilimia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kesho Jumamosi Sept 5 katika jiji letu la Arusha tulikuwa tuwe na kongamano la kiimani linaloendeshwa na redio Safina Vile vile siku hiyo ya kesho CCM wanatarajia kuzindua kampeni za Ubunge...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanajamvi, Takribani wiki moja sasa tangu kipyenga cha kuanza Kampeni kilipopulizwa.Vyama vya siasa vipo "field" kuomba kura. Japo ni mapema mno kutoa tathmini ila so far tunaomba mambo yanaenda...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo nini kaka? Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni...
5 Reactions
132 Replies
8K Views
Hakika hii ni aibu kwa taifa, kwanini washauri wa mgombea Urais wa CCM ambaye bado ni Rais wa JMT wanashindwa kumuelekeza mambo ya kufanya? Haiwezekani Rais mzima apigishwe magoti uwanjani kwa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Nasikitika na kushangaa sana ninaposikiliza hoja za wanasiasa wa upinzani. Nafikiri wanaona aibu kunyoosha mikono na kukubali tu kuwa CCM inafanya mazuri na kuwa wanalazimika kupinga tu ili...
4 Reactions
48 Replies
2K Views
Mafukara (95%) ya Watanzania wana mengi ya kusema kwa hawa wagombea kupitia mabango. Mabango ni Direct messages ambapo wasio na uwezo wa kumuona Rais Wa Wanyonge ana kwa ana wanamrushia live...
1 Reactions
1 Replies
517 Views
Back
Top Bottom