Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha. Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa...
58 Reactions
609 Replies
59K Views
Pamoja na jeshi la polisi kujitwalia taswira mbaya machoni pa wapenda haki kwa kuonesha upendeleo wa wazi nyakati za nyuma, angalau tokea kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuuwa mwaka huu wameonesha...
0 Reactions
5 Replies
828 Views
Habari wana JF, baada ya CHADEMA kupitia kipindi kigumu cha kampeni pasipo media na hivyo habari zao kutowafikia watu wengi na kwa wakati, nimekuja na ushauri ambao wakiutumia lazima kwa sehemu...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Tangu kuanza kwa Kampeni nimekuwa nikifuatilia timu za Kampeni za Chama Cha Mapinduzi na zile za Upinzani, ukifuatilia utaona tofauti kubwa zinazodhihirisha uwezo mkubwa na maarifa ya kupanga na...
13 Reactions
61 Replies
5K Views
Kuna Watu naona wamehoji sana 'posts' zangu nyingi za Kuanzia Jumamosi iliyopita tu hapa Jamvini ( JamiiForums ) huku wakisema kuwa imekuwaje GENTAMYCINE 'nimebadilika' ghafla. Natoa Jibu la jumla...
7 Reactions
13 Replies
898 Views
Nafuatilia sana kampeni haswa za mgombea uraisi kwa CCM, nimeona ukweli was utafuti uliotoka na hitimisho kuwa Tanzania ni moja ya mataifa ambayo watu wake hawana furaha. Angalia:- - Utaona watu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa 2015 Lowassa alipunguza kura za CCM na hivyo CHADEMA kufaidika. Mwaka huu ACT wazalendo ina mgombea urais mwenye nguvu zaidi ya yule wa 2015 naye akitokea CCM...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Godbless Lema ni mmoja wa wawekezaji ambaye alinunua hadi mitambo ya kujenga kiwanda cha kutengeneza toothpick na leseni ili nchi isiendelee kuagiza toka nje kipindi hiki cha serikali ya Awamu ya...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeona CHADEMA ikijinadi kuwa ndani ya siku mia moja watahakikisha huduma za afya inatolewa bure kwa kushirikiana na taasisi binafsi. Kwangu hili itakuwa jambo jema kwa watu zaidi ya watu...
11 Reactions
74 Replies
5K Views
Ukweli Lissu hakujiandaa au kuandaliwa kuwa mgombea urais. Anapata shida mno kueleza sera za CHADEMA na hasikii raha na ujasiri wa kuzielezea na hawi na flow nzuri. Na Hakawii kuacha kueleza...
8 Reactions
75 Replies
5K Views
Ndugu WANA FORUM, Kampeni za chadema mwaka huu hazina ile amsha amsha tulioyozoea miaka ya nyuma. Naona viongozi wote wa kitaifa na wagombea wote wa kitaifa wanafuatana kwa pamoja mfano pale...
-1 Reactions
24 Replies
3K Views
..Membe ameuliza maswali mazito ambayo sidhani kama Magufuli ataweza kuyajibu.
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Yapo pia mambo ambayo wapinzani inabidi wayaweke wazi kwenye majukwaa. Tunapozungumzia wapinzani naamanisha CHADEMA na ACT-Wazalendo. Wasipoyasema sasa hawatapata tena muda wa kuyaongea baada ya...
1 Reactions
4 Replies
868 Views
Habari wenye chama chenu, naamini mnafuatilia mikutano ya Mgombea wenu wa Urais kama mimi nifanyavyo kwa wagombea wa vyama vitatu maarufu. Nilitamani kuongea na kiongozi wa Chama mara baada ya...
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Habari za mihangaiko watanzania wenzangu! Binafsi mimi siyo mfuasi wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania. Mimi ni mtanzania ambaye kura yangu ninaitoa kwa mgombea kulingana na sera zake na...
1 Reactions
11 Replies
950 Views
Tangu uzinduzi wa kampain ya uchaguzi mkuu chama kikuu cha upinzania kinachomalizia muda wake kimeonekana kupoteza mvuto na mahudhurio hafifu mbagala, kawe na leo segerea kimepata watoto na...
17 Reactions
91 Replies
7K Views
Ukiona umati mkubwa wa vijana wanataka mabadikiko kweki kweli, hali ni ngumu mtaani, ajira ni ngumu sana, biashara ni ngumu, kazini mishahara haikidhi mahitaji ya soko, wanaonufaika na uchumi wa...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Unataka kuwa Rais ili tu ujenge Barabra ya Lindi? Mtu akitaka kuleta mabadiliko kwao lazima awe rais? Wakati ukiwa kwenye serikali ya brother, mlifanya nini cha maendeleo zaidi ya kuharibu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kimeamua kuwasilisha rufaa za wagombea wake walioenguliwa katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) bila kupitia kwa...
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Wapwa, Ni ukweli usiopingika kuwa wanawake wamekuwa ndio kimbilio la CCM kujichotea kura lukuki tangu kupatikana kwa uhuru. Wenzenu wanatumia wasanii kushawishi wakina mama kupigia kura chama...
12 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom