Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Salaam, Wakuu, Huu mwenendo wa hiii CCM na Mgombea wake kutaka kumuangushia jumba bovu Kikwete, haikubariki. Na kwenye Kampeni za 2020, Msipomshirikisha, CCM itapata kura za aibu. Mtaishia kuiba...
25 Reactions
94 Replies
9K Views
Huyu ni Mgombea Ubunge wa jimbo la Makambako kwa tiketi ya CHADEMA akitumia njia mpya ya kujitangaza . Mytake : Tunaomba radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu nyingi za kampeni , hii ni kwa vile...
34 Reactions
72 Replies
7K Views
Hapa Mwanza Jimbo la Nyamagana gari ya matangazo iliyosheheni bendera za CCM na mziki mkubwa inapita jimboni ikitangaza mkutano wa mgombea Ubunge wa TLP Jimbo la Nyamagana. Ama kweli Tanzania ya...
16 Reactions
51 Replies
5K Views
Chama kikongwe Nchini na maarufu kwa mchakato wa Katiba kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumamosi hii jijini Dar es salaam kwa Kishindo kikubwa Sana. Wadau wote mnakaribishwa. Mimi sio msemaji wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Hili la CHADEMA kumnyooshea kidole Makene si sawa. Ieleweke kuwa kuna picha na video zingine anazuia zisiende kwa umma kimkakati kwani hali ya mahudhurio huwa ni mbaya. Akiweka kila...
15 Reactions
42 Replies
4K Views
30 Agosti 2020 Mlowo, Mbozi Songwe. Mgombea Mbunge kupitia Chama cha CHADEMA azindua kampeni ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 mbele ya mkutano wake mkubwa wa kwanza jimboni Mbozi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mhe. Cecilia Pareso leo amezindua kampeni za Ubunge wa jimbo la Karatu , hali ndio kama mnavyoona
15 Reactions
29 Replies
6K Views
Nimeangalia mkutano wa Membe kule Kusini. Amewaambia wananchi wa Lindi wamuulize Magufuli maswali 4. 1. Wapo wapi watu wetu waliopotea? Yaani wale waliotekwa na hatuwaoni tena. 2. Wamuulize...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Habari wana JF, leo nipo kushangaa jambo ambalo sijui imekuwaje linatokea tena kwa viongozi wa chama. CHADEMA imefeli kwenye suala zima la habari kipindi hiki cha kampeni, imefeli sana. Binafsi...
19 Reactions
91 Replies
9K Views
Hayo ndiyo maneno ya Tundu Lissu leo. Amewaasa watanzania wawe makini kwani kwa lundo la kodi alilotoza Rais Magufuli basi upo uwezekano ikiwa atarudi madarakani akatoza mpaka kodi ya kujifungua...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Prof. Kitila Mkumbo, ambaye ni mwanazuoni mbobevu na mkazi wa Ubungo kwa zaidi ya miaka 20, kesho atazindua rasmi kampeni zake...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Unaweza kusikiliza video clip yote. Lakini Chaurembo yuko kuanzia dk 10:44. CCM watafute watu wa kuzima hoja za Chaurembo. Wakichelewa watajikuta wamefutika mikoa ya kusini.
12 Reactions
42 Replies
5K Views
Mgombea wa CCM kwa kiti cha Urais hajapata kuwepo duniani..ni kama Masihi Lakini tatizo kubwa la huyu mgombea ni mwoga mno...yeye hata lugha tu ya Kiingereza anaogopa.. Lkn pamoja na Woga wake...
17 Reactions
23 Replies
2K Views
1. Watumishi wa Umma, kwa sababu hawajapewa mishahara na posho zinazostahili kwa miaka zaidi ya 6 iliyopita ukiacha wale wachache wateule. 2. Wanafunzi wa Vyuo vya elimu ya juu kwa mateso...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
CHADEMA Urais Zanzibar ambako kule vyama vikuu ni CCM na ACT-Wazalendo Lakini pia CHADEMA wameonyesha kutokuwa na fedha za kutosha hadi kufikia kupitisha bakuli kwenye mikutano yao Sasa kulikuwa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
USHAURI KWA KAMPENI YA URAISI YA CHADEMA NDUGU wanachadema wenzangu, Ni siku sita sasa zimeisha tangu kampeni ya uraisi ianze, Na kwa kweli niseme wazi kabisa CDM tumeanza vizuri sana katika...
1 Reactions
1 Replies
665 Views
Wasalaam wakuu, Poleni sana na shughuli mbalimbali za kujenga taifa. Sote katika jukwaa la siasa tumekwisha shuhudia la mgambo likilia kwa vyama mbalimbali kuanza kampeni za uchaguzi wa tarehe...
14 Reactions
62 Replies
6K Views
Wajumbe Nasoma hapa ukurasa wa 5 mwanzoni kabisa, kwamba CCM imezamiria kustawisha maisha ya kila Mtanzania kwa kutokomeza umaskini na kuhakikisha taifa linafikia uchumi wa kati ( Kumbe bado...
14 Reactions
241 Replies
17K Views
Haya ni maoni binafsi. Endapo CCM itashinda na ikaendelea na moto ule ule, basi ihakikishe CHADEMA imefutika kabisa. Mwaka 2025 hakutakuwa na kusikiliza sera, bali kutakuwa na siasa za ushabiki...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu, Sote tumeshuhudia uzinduzi wa kampeni za uchaguzi za chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA, uliofanyika katika viwanja vya Mbagala. Kwa uzinduzi huo uliofanyika leo na...
8 Reactions
108 Replies
11K Views
Back
Top Bottom