Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea uraisi kwa tiketi ya Chadem ndg.Tundu A.Lisu anahitaji kuiachilia nafsi yake kwa kusamehe mabaya yaliyomkuta miaka mitatu iliyopita.Kuyaongelea kila mahali ampatapo wa kumsimulia,hasa...
4 Reactions
96 Replies
6K Views
Habari Tanzania Nakuomba ewe mpiga kura ambaye uliyejiandikisha mwaka 2015 baada ya uchaguzi; kutokana na harakati za maisha ulihama eneo lako la kujiandikishia kupiga kura. Mwaka 2019 na 2020...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
USHINDI WA CCM OKTOBA 2020 ITAKUWA FEDHEHA KWA UPINZANI HASA CHADEMA NA ACT. Niliwaambia wapinzani waungane waunde Umoja utakaoitwa MUMAFI (MUUNGANO WA MABADILIKO YA FIKIRA) lakini wamekubali...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanabodi, Ninafurahi kuona kampeni za Uchaguzi mkuu wa 2020 zimeanza huku amani ikitamalaki licha ya changamoto za hapa na pale. Nimefuatilia uzinduzi wa kampeni wa vyama vya CCM, CDM na ACT-...
11 Reactions
87 Replies
4K Views
Mpaka tarehe ya uchaguzi watakuwa wameisha wote.
11 Reactions
327 Replies
26K Views
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa (hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais. Sina shaka baada ya uchaguzi, Tundu...
13 Reactions
115 Replies
7K Views
Vyama vya upinzani vimeegemea kuamini kuwa wananchi wanaichukia sana serikali ya CCM kutokana na mambo mawili: mzunguko wa pesa kupungua mitaani, na serikali ya CCM kuwabana sana watu wafuate...
3 Reactions
10 Replies
858 Views
Najitokeza kuchangia japo kidogo juu ya mgombea wa CCM anayeomba Watanzania tumpe miaka mitano ili aoneshe maajabu. HAYA MAAJABU ALIYOONESHA KWA MIAKA MITANO YANATOSHA! Hata hivyo, Tanzania ni ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Si wananchi, si Polisi, si Wanajeshi si Vyombo vya Usalama si wafanyakazi serikalini,wote wameshaichoka CCM kwa jinsi inavyowahangaisha, njooni huku twendeni kule watu hawana raha na maisha wapo...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Baada ya kuahidi kuwa akipata nafasi ataigeuza misikiti kuwa Sunday school mpaka hatimae akateuliwa ili atimilize jambo lake. Ameanza kupita kwa Waislam kuwahadaa ili wasimkate kwe kura. Aidha...
12 Reactions
47 Replies
7K Views
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi. Katika matamshi...
7 Reactions
89 Replies
8K Views
Nilichokiona Juzi Jumapili katika Nyumba Kubwa mbili zenye Kuwaunganisha wenye 'Dhambi' na aliye juu 'Mbinguni' hasa za Mwenge na Tanganyika Packers hakika sasa nimeamini ule Msemo wa Wahenga wetu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hakika Tanzania kumekucha, tusio wanasiasa tunaanza kupokea CV za walio tutaka tujiajiri rejeeni kauli zao walipo kuwa Bungeni. Sina haja ya kurejea kauli zao,nimeisoma Ilani ya chama cha...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Utamu wa kampeni za mwaka huu mawe yanarushwa upande mmoja tu tofauti na 2015. Mfano leo kalipua liinternational airpot la chotola. Tofauti na 2015, EL alitupa kigugumizi lilipokuja suala la...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimesoma ilani ya CCM aka Thesis, ya CHADEMA, na ACT-Wazalendo. Kusema ukweli ACT-Wazalendo wamedhihirisha wana wasomi vichwa. Kwanza wamechambua mapungufu katika utekelezaji wa ilani ya chama...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Vunjo Kukosekana kwa elimu shirikishi juu ya wadau wa Sekta za kifedha katika Jimbo la Vunjo kumepelekea wananchi walio wengi kushindwa kunufail na mikopo hususan inayotolewa na Serikali. Dkt...
0 Reactions
3 Replies
840 Views
Huu ndio mkutano wa mgombea CCM wa jImbo la Vunjo Charles Kimei, Njia Panda, Himo.
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Moshi. Miundombinu kwenye masoko yaliyo mengi katika jimbo la Vunjo imetajwa kutokwa rafiki hivyo kufanya biashara kufanyika kwenye mazingira magumu na hatarishi ikilinganishwa na maeneo mengine...
0 Reactions
1 Replies
548 Views
Huyu mgombea ambaye ndiye Rais amalizaye muda wake na anaomba tena watanzania wampe tena miaka mingine 5 ili aendeleze kipaumbele chake kwenye kununua ndege, kujenga madaraja, kujenga reli...
27 Reactions
120 Replies
7K Views
Back
Top Bottom