Mada inahusika.
Wakati akitaja majina ya wateule wa nafasi ya kugombea uwakilishi kwa Zanzibar, Katibu wa itikadi na Uenezi wa CCM ndugu Polepole alisikika akitumia neno Mzee yule akimlenga...
*WASIFU WA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KWELA -RUKWA 2020*
Jina Deus Clement Sangu
mzaliwa wa kijiji cha Laela wilaya ya Sumbawanga (V) mkoa wa Rukwa.
*SIFA ZA KITAALUMA*
1. Shahada ya...
ILANI YA CCM INATOA SULUHU YA MASWALI, ACT NA CHADEMA ZINALALAMIKA
Na Elius Ndabila
Nimefanikiwa kuzisoma Ilani za vyama vitatu, yaani Ilani ya CCM, ACT Wazalendo na CHADEMA. Nikiwa ninazipitia...
Najua ni ujinga na upuuzi kwa NEC kuwaengua wagombea wa vyama vya upinzani kwa makosa madogo madogo katika ujazaji wa form.
Lakini pamoja na hilo, vyama vyote vya upinzani vinalo la kujifunza...
Wanabodi salam!
Ninaomba kwenye huu uzi tujadili kuhusu ilani za vyama vya upinzani hasa vile ambavyo tayari vimeshatoa ilani zao.
CDM wao tayari wameshatoa ilani yao na sera yao kubwa ni...
Habari za muda huu ndugu wana JF, napenda kuwashirikisha jambo moja ambalo kwa undani wake naona linatatiza watu wengi.
CHADEMA kupitia mgombea wetu uraisi imeweka wazi kuwa pesa hakuna na hivyo...
Mimi huwa mara zote napenda kusema ukweli. Niwe kazini, barabarani au nyumbani ukweli ndio ngao yangu.
Kwa hakika Mimi sitamchagua Magufuli wala mwana CCM yeyote kwa ngazi yoyote ile katika...
Ingawa mgombea wao Ameanza kunadi Sera zao, lakini hayapo uzito Mambo yanayowagusa wengi. NI Kama anasema tu juu juu na kukazia maswala binafsi yanayomuhusu yeye na watu wa chama chake.
Ajira...
Hakuna mashaka yoyote kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, mchuano mkali sana wa kinyang'anyiro hicho cha urais utakuwa baina ya vyama viwili ambavyo ni CCM na CHADEMA.
Kwa maana hiyo ni...
Salaaam wanajamvi,
#Swali fikirishi:
Kuna haja gani mikutano ya kampeni ya CCM kuoneshwa live kupitia vyombo vya habari ili hali washindani wake hawaoneshwi? Je, tutasemaje tunaomba kura ikiwa...
Scenario 1: Lissu ameshinda Urais wa Tanzania. Anaunda Serikali. CCM ina wingi wa Wabunge. Inatoa Waziri Mkuu na Mawaziri wengi. Serikali ya Lissu itapelekeshwa na chama chetu tutakavyo na...
Utakuwa upumbavu wa hali ya juu kufanya vurugu za kisiasa, kupigana na kupoteza maisha kwa ajili ya mtu mmoja au wachache wapate wadhifa wa kula na kuishi vizuri zaidi.
Upumbavu huu umefanyika...
Bwana Hamsini amefuta mapingamizi yote hapa Serengeti na kumtaka kila mgombea apigane na hali yake, amesema yeye hana na hataki kujijengea chuki kwa kufuata maelekezo ktoka juu, kuenguana...
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.
Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila...
Tunaelewa JKT Wana miradi wanayosimamia na yawezekana wanalipwa kujenga majukwaa ya CCM kwa ajili ya kampeni. Ila huu ni uchaguzi na jeshi ni chombo neutral katika issue kama hizi, tuliona Dodoma...
Wanajamvi,
Nimeona malalamiko mengi kutoka kwa wana CCM, eti hawajasikia Lissu akizungumza atakayoyafanya! Na leo kwenye uzinduzi wa kampeni yao, mwenyekiti wao eti anajidai kufuata ushauri wa...
Habari wadau naomba kujua kazi ya NEC ni nini?
Je, ni kukata wagombea? Je, ni kuelimisha wagombea jinsi ya kujaza form na kuwapa muongozo? Je, ni kupiga kampeni kichama? Je, ni kudidimiza siasa...
Leo Tarehe Mosi September tumebakiwa na siku 56 ili tukawachague viongozi watakaotufaa kwa miaka mitano ijayo, kutokana na sera na ahadi ambazo tumezisikia hadi sasa kutoka kwa wagombea mbalimbali...
TOFAUTI YA ILANI YA CCM NA ILANI YA CHADEMA UCHAGUZI WA 2020.
1. Ilani ya CCM haizungumzii kupunguza Kodi wakati ilani ya CHADEMA inalenga kupunguza Kodi ya ongezeko la thamani ili iendane na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.