Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na pia nisaidieni kufahamu ni nani kazuia Lissu kutosemwa popote!? Nimefuatilia magazeti kote kimya. BBC wakianza report habari zake sauti inakuwa muted. Hii ni hatari kubwa.
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Nadhani kama kuna Jambo limekosewa ni kuwa na tume inayowapa uhakika Wagombea kwamba wafanye kampeni au wasifanye watapitishwa tu. Mmoja wa wagombea katika majimbo ya Mwanza amediriki kujinadi kwa...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, Kwa mawazo yangu, upinzani ni upande wenye fikra, sera, mawazo na maoni mbadala wa chama kilichopo madarakani. Hivyo basi, katika nchi nyingine watu hufikiri kwenda na upinzani kwa...
0 Reactions
10 Replies
838 Views
Jamhuri ya muungano wa Tanzania Tume ya taifa ya uchaguzi Ratiba ya kampeni za wagombea wa kiti cha rais na makamu wa rais
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo imewapitisha Tundu Antipas Lissu Lazaro Nyalandu na Dr Mayrose Majige kusaka nafasi ya kuwania Urais Tanzania. Katika kikao chake cha Kamati Kuu...
75 Reactions
947 Replies
79K Views
Siku 3 zilizopita chama cha CHADEMA kimefanya Uzinduzi wa Kampeni zake Mkoa wa Dar es Salaam, Katika hali isiyotarajiwa mwitikio wa watu umekuwa Mdogo kuliko Kawaida sana naweza...
12 Reactions
71 Replies
6K Views
Please uongozi wa CHADEMA Media fanyeni hima hotuba zote za Lissu kila anakofanya mkutano zitengenewe clips za peke yake kuwezesha wadau mbali mbali kuweza kufuatilia kwa mtiririko hotuba hizo...
9 Reactions
8 Replies
1K Views
Mfumo wa Uchaguzi Tanzania ni kuwa anayepata Kura nyingi ndiye mshindi. Hii inamaanisha kuwa Rais, Mbunge au Diwani atakayepata kura nyingi ndie atakayetangazwa mshindi. Aidha kuna uwakilishiwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
HABARI, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC mapema tarehe 25 Agosti 2020 ilimteua Ndugu MWAKASAKA BOAZ DONARD kuwa mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Sauti ya Umma (SAU). Mwakasaka ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini 2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini 3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe 4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini Hizi ni mechi...
57 Reactions
333 Replies
32K Views
Habari za saa hizi wanaJF, poleni kwa majukumu. Kuna jambo moja ambalo kwa uhalisia wake limenifedhehesha sana. Mimi binafsi na wenzangu ni mhudhuriaji mkubwa wa mikutano ya kisiasa, hivyo...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
CCM WANAORODHESHA VITU BADALA YA KUTUPA MIPANGO. Mwenyekiti wa CCM ambae pia ndie mgombea urais wa Chama hicho pamoja na timu yake wameanza kampeni zao pale Dodoma na kwenye vyombo vya habari vya...
2 Reactions
0 Replies
725 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amesema chama chao kinafanya kampeni za kimkakati na kitovu cha kampeni zao ni jiji la DSM. Mbowe amesema mgombea urais wa CHADEMA kesho atakuwa jijini...
8 Reactions
37 Replies
5K Views
Leo katika uzidunzi wa ilani ya ACT-Wazalendo nimemsikia Zitto akitaja mambo zaidi ya kumi ambayo CCM waliahidi kwenye ilani yao na hawakutekeleza hata kidogo, na sio tu kutekeleza bali hata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa, ni rasmi sasa chama cha NCCR-Mageuzi kimejipanga kufanya uzinduzi mkubwa wa kampeni zake za uchaguzi Septemba 05, 2020 kwenye viwanja vya Zhakeim, Mbagala Jijini Dar...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nakumbuka wakati wa kutafuta wadhamini chama cha demokrasia na maendeleo kilikuwa kikitafuta wadhamini wake kwa uwazi na mikutano ya hadhara japo hawakupewa air time na vyombo vya habari lakini...
0 Reactions
7 Replies
698 Views
Naona wote wanapiga tu chenga watuambie sisi vijana tunapataje ajira au tunajiajirije wakati mikopo kwa ujasiriamali kupata vigezo ni vingi pia riba kubwa Watuambie wananchi wa kipato cha chini...
1 Reactions
5 Replies
875 Views
Natoa ushauri kwa kuwa siipendi CCM na Mimi Sina chama ila napenda haki kwani haki huinua taifa. CHADEMA kufanya uzinduzi sehemu tatu kwa siku tatu sehemu moja inachosha. Watu waliokuepo leo...
12 Reactions
103 Replies
7K Views
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia kampeni za vyama hivi viwili ili kujua nini hasa sera zao. Nini hasa watakwenda kutufanyia Watanzania katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Ni kwa namna gani...
8 Reactions
24 Replies
3K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema inaendelea kushughulikia rufani na pingamizi ziliyowekewa na wagombea wa vyama mbalimbali vya siasa. Mkurugenzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera, alisema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom