Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mwibara kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 Mheshimiwa MUTAMWEGA MGAYWA amepitishwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Asalaam wajumbe wa jukwaa hili! Nataka niwape taarifa kwa wanaccm wote ambao ni wagumu kuelewa, hili nalisema kabisa kutokana na hali ilivyo ambayo inaambatana na matukio ya kura za maoni CCM...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Najaribu kufikiria itakuwaje maana CCM walionyesha kumpitisha kwa 100% hili wanalijua wenyewe walicho kifanya mpaka apite kwa 100% hata watu wa Lindi Wajumbe wanaoishi katika Jimbo alilotoka Membe...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Polepole Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mh. Polepole ameeleza kuwa hakutakuwa na zoezi la kurudia upigaji wa kura hata kama kuna baadhi ya watia nia...
3 Reactions
37 Replies
5K Views
Mbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ), leo tena amepitishwa na wajumbe wa CHADEMA wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
19 Reactions
115 Replies
10K Views
Ndugu zangu, Huu ndio ukweli, vyama vya upinzani havina wagombea wa kutosheleza majimbo yote ya ubunge na kata nchini Tanzania. Mathalani CHADEMA wapo kwenye majimbo ya mijini tu na wagombea...
0 Reactions
62 Replies
5K Views
Membe amuunge mkono Lisu. ACT ni chama kichanga sana. Haiwezekani mgombea wa urais atoke ATC. CHADEMA ina wanachama wengi sana haiwezekani mgombea atoke kwenye chama kisichokuwa na wanachama...
14 Reactions
40 Replies
4K Views
Membe anakuja upinzani baada ya kubwagwa 2015. Watu wa aina hii wakikarihishwa juice za chamwino hawakawii kusujudia minazi ya chamwino Lazaro Nyalandu anajua nini anafanya na hana papara...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Kama unazo kumbukumbu ya jamaa mashuhuri hapa Tanzania kipindi hicho alikwapua mamilioni ya pesa na kutokomea kisha kudakwa na baadae kushinda kesi na sasa yupo kitaa baada ya kaka yake ambaye ni...
4 Reactions
128 Replies
18K Views
Akiongea leo na UVCCM eneo la Bunda mkoani Mara, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara Ndugu Samwel Kiboye ALMAARUFU kama namba Tatu, amsema kwamba, "Mtu yeyote msaliti hawezi kuaminika. Huyo mtu kuna...
9 Reactions
52 Replies
4K Views
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV . Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze...
33 Reactions
97 Replies
8K Views
Takukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo. Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
KATIBU MKUU CHAMA CHA MAPINDUZI, S. L. P. 50 DODOMA 22/07/2020 Ndugu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Dkt Bashiru Ally YAH: UKIUKWAJI WA TARATIBU ZA UCHAGUZI JIMBO LA HANDENI VIJIJINI Husika...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
DHANA YA "MKONO MTUPU HAULAMBWI" YAENDELEA KUONEKANA KATIKA KURA ZA MAONI. Leo 20:45pm 21/07/2020 Nimeamini aliyevaa kiatu ndie mwenye kujua kiatu kinabana wapi,nimeshiriki katika kura za maoni...
11 Reactions
66 Replies
6K Views
Kuna bundi ameanza kutanda ktk chama kikuu cha upinzani CDM juu ya mpango wakumpiga chini Mh Lissu asigombee urais mwaka huu na huyu bundi ameanzia kamati kuu chonde chonde Chadema wananchi wengi...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Hakika mambo yanazidi kunoga. Wakati uko upande wa Lissu. Namba pia ziko upande wake. Lissu amejipambanua kuwa mkombozi wa Wanavyuo vikuu, waliomaliza vyuo vikuu na wafanya kazi kwani anania ya...
33 Reactions
190 Replies
14K Views
1 Dr Mazima huyu jamaa anaelimu ndogo yaani ni AMO lakini ni mbinafsi na roho ya ujuha sana nilikula laki mbili yake baada ya wapambe wake watatu walio nifata kwa nyakati tofauti na kunigea kitita...
20 Reactions
43 Replies
4K Views
Msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere amefika katika Ofisi ya CCM Iringa Mjini kuchukua fomu za kuwani kugombea ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini. --- Muigizaji wa filamu nchini Steven...
6 Reactions
51 Replies
5K Views
Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA. Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao. ...ya Membe na kina Zitto wake...
6 Reactions
74 Replies
6K Views
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mara inatarajia kuwahoji wagombea ubunge viti Maalum sita mkoa wa Mara ambao wanadaiwa kuwa ni vinara waliohusika kutoa rushwa katika...
9 Reactions
58 Replies
6K Views
Back
Top Bottom