Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Sisi wananchi wa Bukoba Vijijini tumemkataa Rweikiza then nyie mnaforce mambo sasa subirini kichapo kikali. Nadhani utaratibu unajulikana Wahaya tuko vizuri kichwani. Mazoea mnayoleta mtayajutia...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Katika historia ya Tanzania mwaka huu tunaenda kuona uchaguzi wa aina yake na uenda Mh Lissu akawa Rais wa Sita wa Tanzania kuna viashiria kadhaa 1. Alishinda urais wa TLS huku serikali ikiwa...
66 Reactions
99 Replies
9K Views
Hatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe. Mbunge na Naibu Spika Dkt Tulia kachukua fomu ya kugombea Ubunge wa Mbeya 2020-2025 kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11...
11 Reactions
216 Replies
27K Views
Uchaguzi wa wabunge wa viti maalumu CCM unaendelea katika mikoa mbalimbali na hapa DSM jumla ya akina mama 252 wametia nia na wajumbe wa mkutano wa uchaguzi ni 263. Maendeleo hayana vyama!
7 Reactions
37 Replies
5K Views
Vijana wa Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Dar es Salaam, leo Julai 23, 2020, wamemchukulia na kumkabidhi fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa chama hicho Profesa...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
28 Juni 2020 Mbeya, Tanzania "MIMI NA MBOWE NDO TULIWEKEWA DAU LA JUU, NAGOMBEA MBEYA NIKO TAYARI" SUGU Mh. Joseph Mbilinyi ameyasema hayo katika mkutano wa ndani kuwashukuru wana wa Mbeya. Kwa...
11 Reactions
82 Replies
11K Views
Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao...
6 Reactions
54 Replies
6K Views
Chama Cha Wakulima (AAFP) kimewataka wagombea waliokosa nafasi za ubunge na udiwani kwenye vyama vingine vya Siasa kijitokeza kuchukua fomu kupitia chama hicho kwani bado wanazo nafasi nyingi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati akiwapongeza NEC kwa kubana matumizi na kuokoa takribani sh bilioni 12 katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Rais Magufuli " alichomekea" kwamba hata wagombea urais wa upinzani wanaweza kuamua...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Watu wanasema kuwa CHADEMA msirudie kosa kama kipindi kile cha Lowasa. Inawezekana kweli ikawa ni kamchezo kanachezwa tena na CCM lakini lolote laweza kutokea. Upepo hubadilikia hewani. Mtazamo...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu wakati wa kampeni na uchaguzi wa mwaka huu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika...
11 Reactions
36 Replies
4K Views
Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini. Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke...
3 Reactions
62 Replies
6K Views
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni. Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni. Manaibu waziri pia woote, yaani wote...
10 Reactions
139 Replies
16K Views
Mapacha Selestine na Imelda wameshinda kura za maoni katika majimbo ya Ulanga na Malinyi mkoani Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA. Awali mapacha wa CCM Kulwa na Dotto Biteko walishinda kura za maoni...
12 Reactions
38 Replies
7K Views
Paul Makonda amesema haya... “Nimepata pole nyingi sana kutokana na matokeo ya jana, kwanza nawashukuru kwa upendo wenu na maombi yenu ya kunitakia mafanikio katika kutimiza NDOTO yangu”...
14 Reactions
203 Replies
25K Views
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa Oktoba utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo. Baada ya Waitara kuongoza...
5 Reactions
115 Replies
13K Views
Napendekeza na kura za uchaguzi mkuu kuanzia Udiwani, ubunge na urais zihesabiwe kwa uwazi mbele ya wapiga kura kama wanavyofanya CCM katika kura za urais na ubunge? Naomba mwaka huu iwe hivyo
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa Raisi JPM kajitahidi sana kuleta maendeleo ya miundombinu kama barabara, madaraja, reli, ndege na viwanja vya ndege n.k. LAKINI ametumia robo ya nguvu aliyoiweka kwenye...
1 Reactions
1 Replies
685 Views
Back
Top Bottom