Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuhusu kutenda haki kwa wagombea wote, Dkt. Bashiru amesema: ”Nadhani kama umemsikiliza Mwenyekiti wetu jana wakati anaapisha baadhi ya viongozi, alisema yeye kama mwenyekiti wa chama hana...
8 Reactions
44 Replies
6K Views
Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani! Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu...
14 Reactions
65 Replies
6K Views
Hizi ni zama za teknolojia mambo yanapaswa kwenda kwa haraka. Mgombea urais wa JMT mh Benard Membe wa ACT Wazalendo leo amerejesha fomu zake baada ya kuzijaza na kudhaminiwa kwa mujibu wa katiba...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti...
38 Reactions
104 Replies
10K Views
Mwanasiasa ambae anaweza kujiamini kusema na kufanya lolote kwa lengo la kukosoa watawala waliopo madarakani bila hofu ya kushitakiwa,mali zake kutaifishwa au kunyang'anywa,n.k ni yule tu ambae...
16 Reactions
117 Replies
8K Views
Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za...
30 Reactions
128 Replies
14K Views
Naona watu wamemchoka Lusinde ! Darasa la 4 muda aliochuma unamtosha. Hizi siyo zama za Mbunge kutukana , kuleta porojo na kuchekesha watu Bungeni badala ya kudeal na mambo yanayowagusa wanaMtera...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa tathimini ya haraka ndugu Aboubakari Abdalah Juma ndiye mgombea amenikonga moyo wangu. Amenikonga moyo kwa kuonesha yeye ni kiongozi thabiti. Hasa kwa namna alivyoungwa mkono na familia yake...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole ataongea na waandishi wa habari kuanzia saa 10.00 jioni. Kikubwa ni nidhamu ya kuzingatiwa kwa watia nia ya kugombea Ubunge na udiwani kwa...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Kasi imekuwa ni kubwa mno na wagombea ni wengi kuliko ilivyotarajiwa kwa upande wa CCM. Ikumbukwe kuwa Mzee Cheyo aliomba mbele ya Mwenyekiti wa CCM kwamba waachiwe majimbo mawili au matatu...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Inasikitisha saana kuona Mh Rais anapinga Rushwa ila Watendaji wake hawana habari ndani ya uchaguzi huu kura za Maoni mkoa wa Mtwara rushwa iko nje nje kila pahala PCCB wapo na vyombo vipo ila...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimempenda sana Membe. Ukweli nakipenda sana Chama changu cha Mapinduzi yaani CCM. Lakini pia sioni ubaya wa upinzani na zaidi Membe kanibadilisha. Nilikuwa nikimpalilia mno Tundu Lissu lakini kwa...
27 Reactions
50 Replies
6K Views
Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear. Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi...
21 Reactions
86 Replies
9K Views
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea...
14 Reactions
51 Replies
7K Views
U.S. Senate Foreign Relations. Yesterday's arrests of @zittokabwe, Tanzanian opposition party leader of @ACTwazalendo, and several members of his party reflect a deeply disturbing trend of...
37 Reactions
202 Replies
12K Views
Mgombea Jacob Tesha akipokea fomu za kugombea ubunge kutoka kwa Kaimu Katibu wa CCM, Wilaya ya Moshi Ndugu Nada Orry. Mtangazaji na Mwandishi wa Habari nguli nchini Ndugu Jacob Tesha leo...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Naomba nitangaze maslahi binafsi kwanza! Mimi ni Mzaliwa wa Shinyanga,Wilaya ya Kishapu. Hivyo ninaumizwa sana na uwakilishi hafifu toka mfumo wa vyama vingi ulipoanza hapa Tanzania mwaka 1992...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Membe jana kachukua Form ya kugombea Urais toka kwenye chama Cha ACT. Kwa mbaali namuona ulimi wake ukiteleza akiwa jukwaani na kusema Mambo yasiyoeleweka. Nimkubushe kuwa:- Sheria ya Usalama wa...
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Ni ombi tu kwa wenyeviti wa vyama shirika katika uchaguzi mkuu ambavyo ni Chadema, ACT Wazalendo na Chauma. Mara ya mwisho kushuhudia mdahalo wa wagombea urais ilikuwa ni 2015 kati ya January...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Wagombea 60 wa ubunge jimboni Shinyanga Mjini wamepewa onyo kali baada ya kujihusisha na vitendo vya rushwa. Katibu wa CCM mkoani Shinyanga amesema atalifutilia mbali zoezi la kura za maoni kama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom