Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ukonga ni miongoni mwa majimbo 3 ambayo yapo katika Wikaya ya Ilala. Wengi wa wakazi ni wa kipayo cha chini na wachache cha kati. Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi, kama kawaida mengi hujitokeza...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Chama cha Mapinduzi mwaka huu kimepata kazi ya ziada tangu kilipofungua mlango kwa watia nia kuchukua fomu za kuomba nafasi ya kugombea ubunge. Tangu tarehe 14 mwezi huu ofisi za chama zimekuwa...
3 Reactions
89 Replies
8K Views
Ndugu wanamabadiliko wenzangu mlioko ndani ya vikao vya maamuzi CHADEMA chonde chonde mnapoenda kwenye kwenye kura za kuteua mgombea wa urais tafadhalini kazi moja tu mlionayo fitina na figisu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika hali iliyowashangaza wengi, watia nia wapatao 55 wamejitokeza kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi, CCM, ili wapitishwe kugombea Ubunge Jimbo la Chato. Ikumbukwe kwamba Jimbo la Chato...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Tumeshuhudia katika kipindi kisichozidi wiki moja, Rais Magufuli akifanya teuzi na tengua, za nafasi zaidi ya mia moja, katika nafasi zake za uteuzi, kama vile maRC, maDC, maDAS, maDED nk. Kitu...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Chama cha NCCR Mageuzi kimeingia choo cha kike kwa ahadi ya mbeleko toka CCM. Eti watapata wabunge 15 na kuwa chama kikuu cha upinzani. Tunatambua Serikali ya CCM itatafuta uhalali wa demokrasia...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Membe anahoji: "Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru? Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo...
4 Reactions
96 Replies
10K Views
Leo tarehe 17 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu na Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Bernard Membe atazungumza na waandishi wa habari. Ukumbi: Ofisi ya ACT Wazalendo Magomeni, Dar es...
6 Reactions
100 Replies
12K Views
Kumekucha CHADEMA. Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema hajachukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA lakini hiyo haimzuii kugombea ubunge jimbo hilo hilo kupitia...
5 Reactions
65 Replies
9K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taarifa kwa Umma Jeshi la Polisi maeneo mbalimbali ya nchi yetu limepeleka barua kwa viongozi wetu ngazi za Wilaya wakiwataka kuwapelekea Majina ya...
23 Reactions
152 Replies
16K Views
Kwa mara ya mwisho alionekana Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM akilalamika kuibiwa kura 2015 , naona sasa amekuja na mkakati mpya . Mytake : Wassira bado yupo
9 Reactions
38 Replies
5K Views
Jana niliombwa na leo nimekubali rasmi kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo. Huu ni wakati muafaka kwangu wa kushiriki katika...
10 Reactions
117 Replies
10K Views
HABARI!!!! Mimi binafsi nafuatilia saaana siasa za Mbeya Tangu enzi za Akina Mpesya siasa za Mbeya zinavutia saana, Nafikiri kila Chama sasa kinajipanga ili kuchukua hatamu jijini Mbeya ni...
6 Reactions
72 Replies
11K Views
Habari kamili hii hapa Frank George Mwakajoka ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tunduma kwa miaka mitano ( 2015 – 2020.)...
11 Reactions
41 Replies
9K Views
Kuelekea Uchaguzi Mkuu October,Siku ya jana tarehe 16/7/2020 Mwana Diplomasia na Mchambuzi wa masuala ya Siasa Goodluck Ng'ingo alichukua fomu na kurudisha ili aweze kupata ridhaa ya kugombea...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli...
10 Reactions
363 Replies
19K Views
Taarifa kutoka Kongwa zinaeleza kwamba mpaka jana watia nia 8 walishachukua fomu za kugombea ubunge Jimbo la Kongwa ambalo lilikuwa chini ya Job Ndugai ambaye pia alikuwa Spika wa bunge la 11 ...
17 Reactions
64 Replies
11K Views
Ukiona kunguru wengi sehem ujue kuna mzoga. Kwenye mada: Kwanza kabisa tunapaswa kukumbuka kuwa hii ni rekodi mpya kwa watia nia wa Ubunge. Katika tafiti za kawaida tu inaonyesha ukosefu wa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuna watu ni wazito wa kuconnect dots. Ngoja tuwasaidie. Tabora pamepata umaarufu wa mitandaoni hivi karibuni, kutokana na mbwembwe za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa, Aggrey Mwanry. Umaarufu huo haukuwa...
1 Reactions
69 Replies
11K Views
Back
Top Bottom