Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Yawezekana jambo hilo likaonekana ni la kawaida lakini CHADEMA jimbo la Geita kuna fukuto kubwa sana kwani kura za maoni zinakipasua chama, mwisho wake ni mbaya, viongozi tazameni hilo kwa ukaribu.
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania Ubunge jimbo la Buhigwe.
10 Reactions
59 Replies
7K Views
Hii ya Rais wa sasa kuwakataza wateule wake wasiende kugombea eti kuwa waridhike na akiwataka kuingia kwenye Baraza la Mawaziri atawateua. Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa Mamlaka...
17 Reactions
43 Replies
3K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Tanzania na kada wa chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa miongo mingi Bernard Membe anasema ikiwa Vyama vya Upinzani vitaungana na kumpa ridhaa ya...
14 Reactions
230 Replies
21K Views
Tetesi Members, wasibezwe hili kundi la CCM mpya na waongeaji watapita kwa kishindo kikuu kwa lengo maalum bungeni kubadili katiba na Kuongeza muda wa Rais kutawala Kauli ya Rais mstaafu Mwinyi...
35 Reactions
109 Replies
11K Views
Huyu kamanda alikuwa diwani wa Tabata , ni mtu shupavu asiyekubali kuburuzwa kibwege , baada ya kutambua hilo wanachadema wa Rombo wamempitisha kugombea ubunge ili kuziba pengo la msaliti Selasini...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
1: Sehemu nyingi duniani viongozi wakuu wa vyama ndio huongoza vyama vyao kwenye uchaguzi mkuu walk wakiwa ndio wagombea Dhidi ya aliye madarakani ( incumbent). Zitto ndio kiongozi mkuu wa...
17 Reactions
36 Replies
3K Views
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Charles Kimei amefika katika ofisi za CCM Kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi-CCM kupeperusha bendera Jimbo la Vunjo. Pia...
10 Reactions
206 Replies
20K Views
Salaam, Za masiku wandugu... Nimeona humu kuna watu wanalalamika na kulialia kuhusu baadhi ya watu wanaoenda kuchukua fomu za kugombea ubunge hususan kwenye Chama Cha Mapinduzi. Watu...
29 Reactions
103 Replies
5K Views
Mtoto wa Mfanyabiashara Maarufu Jijini Arusha, hayati Melleo Mrema, Michelle Mrema amejitokeza kuchukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge kupitia nafasi ya UVCCM Mkoa wa Arusha na kunogesha idadi ya...
2 Reactions
19 Replies
6K Views
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya...
6 Reactions
39 Replies
6K Views
SISI CUF MGOMBEA WA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA RAIS WA ZANZIBAR WATAJULIKANA JULAI 27 "Mkurugenzi wa Mipango Na Uchaguzi CUF TAIFA Mhe. Juma Kilaghai ameyasema hayo Leo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo. Tweet husika ni hii: "Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli...
23 Reactions
137 Replies
9K Views
Kuna mlolongo wa matukio yanayotokea nchini hivi sasa, yanayonifanya niweze kutabiri yatakayotokea nchini baada ya uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini kwetu mwishoni mwa mwaka huu Tulimsikia...
7 Reactions
32 Replies
3K Views
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM. Adskofu Gwajima pia amewahi kutunukiwa Shahada ya...
18 Reactions
356 Replies
30K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kwa siku ya leo, ikiwa ndio siku ya kwanza ya kuchukua fomu, watu 31 wamechukua fomu kwa Jimbo la Kinondoni huku 80 wakichukua kwa Jimbo la Kawe Kwa upande wa...
5 Reactions
72 Replies
10K Views
TAARIFA KWA UMMA. Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo. Ukumbi: Mlimani...
21 Reactions
132 Replies
6K Views
Kijana aliegombea ubunge jimbo la kinondoni kupita CUF uchaguzi wa marudio 2018 ametia nia tena kurejea uchaguzi mkuu 2020 MH RAJAB SALIM JUMA ALQUSHAIRIYYU Kinondoni Nguvu Yetu Jimbo letu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwandishi wa habari, Victor Makinda amechukua fomu kuwania udiwani kata ya Kisawasawa, Kilombero mkoani Morogoro.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watia nia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Arusha mpaka sasa wanakadiliwa kufikia 40 kwa wale walichokua fomu na miongoni mwao ni kijana mdogo wa chuo kikuu cha Dodoma UDOM ambaye amejitokeza...
6 Reactions
42 Replies
7K Views
Back
Top Bottom