Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habibu Mchange achukua Fomu na kurudisha kugombea Ubunge Jimbo lake la Kibaha Mjini asindikizwa na mkewe. Mungu ni mwema. ====== Leo tarehe 15 Julai 2020, nimechukua, kuijaza na kuirudisha fomu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi-CCM kuwania ubunge jimbo la Kilosa. Pia soma >...
1 Reactions
46 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa UDP mzee Cheyo amesema hakuna chama chochote chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na kwamba Chadema wanajidanganya bure. Cheyo amesema UDP inamuunga mkono Rais Magufuli katika...
3 Reactions
56 Replies
5K Views
"Mmoja amlima barua mwenzake ili makao makuu waingilie kati" barua imeambatanishwa. Hali inazidi kuwa tete Wilaya ya Bunda baada ya Viongozi wa CCM wilaya kushutumiana kula rushwa za Mtia Nia...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
M'kiti wa CHADEMA Jimbo la Ubungo na Diwani wa Sinza aliyemaliza muda wake, Renatus Pamba amejiuzulu na kutangaza kuhamia ACT Wazalendo kwa alichodai ni ubakaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA...
3 Reactions
51 Replies
6K Views
JINA KAMILI NICHOLAUS GEORGE NGASSA UMRI MIAKA 35 MAHALA PA KUZALIWA HOSPITALI YA WILAYA YA IGUNGA - TABORA UTAIFA MTANZANIA JINSIA KIUME ELIMU 2017 – 2019 Shahada ya Uzamili ya Utawala wa...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Dkt. Philipo Mpango Kassim Majaliwa Seleman Jafo Charles Kimei Prof. Palamagamba Kabudi Dotto Biteko Dr. Kalemani Angela Kairuki Ummy Mwalimu Godfrey Simbeye Josephat Gwajima Prof. Makame Mbarawa...
12 Reactions
59 Replies
6K Views
Naona akina Nyerere bila kujali yupi ni Original na yupi ni fake wameamua kuusaka ubunge kwa udi na uvumba mwaka huu. Hata Makongoro Nyerere wakazi wenzio uliowaacha Mwananyamala Komakoma...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Muhsein Awadhi Said (Dkt. Cheni) Muigizaji Mkongwe na Mshereheshaji maarufu amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Ilala kupitia Chama cha Mapinduzi. Baada ya zoezi la kuchukua fomu...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha fomu ya kuwania tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa baada ya kuzichukua, kuzijaza na kuzirejesha, Julai 15, 2020. Kushoto ni Mkewe Mary Majaliwa. (Picha na...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Licha ya Polepole kuwaonya wateuliwa wanaowinda ubunge wa Kigamboni taarifa za ndani zinasema bado Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Makonda anapitapita kutafuta ubunge Kigamboni. Kwa sasa...
3 Reactions
78 Replies
11K Views
Umofia Kwenu, Bila kupoteza muda naomba niseme wazi kwamba kumekua na mtifuano wa chini kwa chini wa nani achukue jimbo la Same magharibi ndani ya CCM potential candidate akiwa Mama Angellah...
3 Reactions
97 Replies
14K Views
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqqaro amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge jimbo la Babati vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi-CCM
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu EMMANUEL KWAYU, mkurugenzi mkuu wa kampuni ya dolphin sea and air amejitosa kugombea ubunge jimbo la Hai kupitia chama cha mapinduzi. Jimbo hilo lilikuwa likishikiliwa na mwenyekiti wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dr Mwinyi amesema wajumbe wa Zanzibar waliowapigia kura walikuwa 68 na siyo 35 kama inavyovumishwa. Mwinyi amesema hata kama ni kweli wenzake...
6 Reactions
191 Replies
19K Views
Wakili Methusela Gwajima leo Iulai 15, amechukua fomu kuchuana na kaka yake Askofu Josephat Gwajima pamoja na watia nia wengine ambao wamechukua fomu kuwania Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
5 Reactions
110 Replies
8K Views
RC Makonda achukua fomu Kigamboni Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi. Dc Katambi wa Dodoma kachukua Shinyanga Mjini Asumpta Rc Pwani kachukua fomu Nkenge. Kwa kauli...
4 Reactions
44 Replies
6K Views
Aliyewahi kuwa Miss Dodoma miaka ya nyuma ambaye kwa sasa ni mwimbainjili nchini, Eva Evance Philipo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa CCM akiwakilisha wanawake mkoa wa Kagera...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aliyekua Meya wa jiji la Arusha Gaudence lyimo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Arusha huku akisisitiza Maendeleo ya haraka zaidi Gaudence Lyimo amewahi kuwa Meya wa Arusha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom