Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

John Mrema ni mtu mwenye Cheo sawa na cha Humphrey Polepole wa CCM yaani ni mwenezi wa Chama Taifa. Kwa muda mrefu nimekuwa nikimsema humu JF kuwa yeye ndie amekuwa akiivuruga CHADEMA kwa fitina...
10 Reactions
64 Replies
8K Views
Kwa mtazama wangu, matokeo ya kura za maoni ya watia nia wa CHADEMA, yanadhihirisha jambo moja kubwa: Wabunge waliokataa kuuza utu wao, wameaminika sana kwa wananchi na hivyo wana nafasi kubwa...
9 Reactions
37 Replies
4K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inatarajia kutangaza hivi karibuni mabadiliko ya majina kwa baadhi ya majimbo, huku akisema kuwa inatarajia kutoa ajira kwa watu 390,824 watakaoshiriki usimamizi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini. Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua...
6 Reactions
88 Replies
8K Views
Wakuu amani iwe kwenu! Bila kupoteza muda napenda kuzungumzia list ya wagombea 65 wanaodaiwa kutia nia kwa tiketi ya CCM katika jimbo la Rorya. Hii list mara ya kwanza niliipata ikitokea kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii ni taarifa ninayoileta kwenu wana JF ili muwe wa kwanza kufahamu kinachoendelea . Maandalizi yote yamekamilika na kaeni tayari kupewa taarifa zaidi kwa kadri zitakavyotufikia . Mungu...
15 Reactions
64 Replies
7K Views
Kama kuna Nchi ambayo dunia nzima Siasa zake si tu kwamba ni tamu kuzisikia na kuzitizama bali pia ni ' Komedi ' tosha kutokana na 'Vituko' vyake basi ni za nchini Tanzania. Katika hali isiyokuwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kama mnavyojua kuwa watia nia wengi majimboni wamekuwa wakikumbana na rungu la Takukuru kwa tuhuma za kutoa rushwa ili kuweka mazingira ya kupitishwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hayo yamesemwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro Ndugu Basil Lema. " Jimbo la Hai linatizamwa na limekuwa likizungumzwa sana, hivyo Mbowe ndie atakaesimama tena na ameshachukua fomu"...
15 Reactions
46 Replies
5K Views
Huu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
11 Reactions
67 Replies
7K Views
Wakati tunasubiri kipenga kuanza uchaguzi mkuu, tuliojsliwa kusoma alama za nyakati tunakumbuka Tambo hizi: 1. Sikuchaguliwa ili niongeze mishahara (Rais JPM) 2. Sikuleta tetemeko la ardhi na kwa...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika. Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya...
38 Reactions
106 Replies
9K Views
Na Tade ole Mushi kada wa CCM. FACT:- ATAKAYESHINDA KURA ZA MAONI NI MWENYE FEDHA. Na Thadei Ole Mushi. Vijana wengi wa CCM wametia nia kwenye maeneo mbalimbali ya kugombea Ubunge. Ni Jambo...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Tuweni wakweli sababu hasa ya Zitto Kabwe kutaka hasa muungano wa vyama vya upinzani ni kwa kuwa muungano huo utawafaidisha zaidi ACT na siyo kwamba ana nia ya dhati kuona upinzani ukifanya...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna kila sababu ya wabunge na watia nia hawa, kutopitishwa na vyama vyao vya siasa kugombea . 1. Wabunge wote wa CHADEMA sababu wameonesha kuwa siasa zao ni za kujinufaisha wao bila kujali...
0 Reactions
58 Replies
8K Views
Kwa mara ya kwanza ubunge CCM Njombe Mjini wapata watia nia wengi na mchanganyiko toka kada mbalimbali. Sasa wafikia 23. Kazi na uchapakazi wa Magufuli amewavutia watu wengi kuingia kwenye siasa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Sijui nini kinaendelea kati ya CHADEMA na ACT juu ya kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu, ila napenda tu kuwatahadharisha kuwa wakishindwa kukaa pamoja na kuja na mpango mkakati...
22 Reactions
76 Replies
5K Views
ACT Wazalendo imedhamiria kuona Membe anagombea upinzani iwe kwa tiketi ya umoja wa upinzani (ACT+CHADEMA) au ACT peke yake. CHADEMA haina mpango na mgombea kutoka nje ina wagombea wa kutosha...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Kwa wananchi wote ambao miaka mitano wameathirika kwa utawala mbovu wa Rais Magufuli na chama chake, ni wakati wa kuungana kumkataa kwenye sanduku la kura! Hofu kubwa waliyonayo wananchi ni...
12 Reactions
48 Replies
3K Views
"Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi vya siasa" Tunapoelekea Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani ni vyema tukawakumbusha waliopewa dhamana ya kusimamia zoezi...
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Back
Top Bottom