Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wasikate tamaa watengeneze sera thabiti na madhubuti bila kuingiza agenda nyingine zisizofaa kama kejeli ,matusi na chuki juu ya chama tawala katika mioyo ya wananchi . Wasipoweza kuchukua nchi...
1 Reactions
7 Replies
771 Views
Chama cha wananchi (CUF) Jimbo la Arumeru Magharibi, Mkoa wa Arusha kimempitisha kwa kishindo Bi. Arafa Muya kuwa Mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Arumeru Magharibi. Akitangazwa rasmi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huyu kamanda ndiye alikuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, uko uzi humu JF ulioonyesha kwamba Bashiru Ally akishirikiana na Waziri wa fedha walishindwa kumshwawishi huyu kamanda kujiuza.
13 Reactions
42 Replies
5K Views
Sitaelezea kwa undani lakini pamoja na nguvu ya dola CCM wenyewe wanajua hali si shwari. Zaidi sana kuna mambo ambayo hawajui yanafuta nyaso zao za mambo makubwa ambayo wameyafanya kwa wananchi...
25 Reactions
67 Replies
5K Views
Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa. Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Ni aibu karne ya leo kupokea baiskeli, chumvi, T-shirt kama kichocheo cha kutoa kura yako. Tumesikia Wabunge kadhaa tena wa Chama chetu Tawala wakishikiliwa na Takukuru kisa ni kutoa rushwa. Ni...
1 Reactions
0 Replies
746 Views
Ni wakati wa kizazi kipya sasa kushika hatamu za Uongozi hasa kupitia ngazi za Ubunge. Marietha Bee ametia nia kuomba uteuzi viti maalumu CCM Mkoa wa Manyara. Dhamira yake kubwa ni kutatua kero...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Joshua Lawrence kutoka mkoani Mbeya, amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais kupitia chama cha ACTwazalendo. Kasema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza nchi, atashughulikia mambo 2 ikiwemo kilimo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Ubungo Mhe. Bashiri Ally ametia nia Kugombea Ubunge Jimbo la Handeni Vijijini Mkoani Tanga.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha, Reginald Massawe amesema mbunge wa zamani wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari alimtumia ujumbe mfupi akiuliza kama anaweza kuhakikishiwa nafasi ya kupewa nafasi...
9 Reactions
67 Replies
7K Views
Msafara wa aliyekuwa Mbunge wa Viti maalum Catherine Ruge wa CHADEMA Mkoani Mara umezuiliwa kwa kupigwa Mabomu na Jeshi la Polisi Wilayani Serengeti kipindi akirejesha fomu ya Kuwania Ubunge...
12 Reactions
59 Replies
8K Views
Leonard Toja Manyama amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Bwana Manyama ni mwalimu na mtaalam wa mipango miji, kauli mbiu yake niamini...
6 Reactions
10 Replies
3K Views
Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba...
11 Reactions
34 Replies
3K Views
WanaJF salaam, Nimekuwa kimya kidogo kuwapatia ABC za 2020; hii ni kutokana na majukumu mengi ya Kitaifa. Najua mnajua kinachoendelea nchini hasa kwa upande wa Upinzani serious ambao ni Chadema...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Naona huko Zanzibar mnaleta mambo ya ki-chifu. Abeid Amani Karume-Rais wa Kwanza Zanzibar Aman Abeid Karume- Rais Mstaafu Zanzibar Ali Hassan Mwinyi -Rais Mstaafu Zanzibar na Tanzania Hussein...
1 Reactions
76 Replies
7K Views
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu...
19 Reactions
106 Replies
8K Views
Wasifu Jesca David Kishoa ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020. Elimu Ruaha...
14 Reactions
37 Replies
5K Views
DG, Ninapenda kukujulisha kwamba katika ufuatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020, leo TAKUKURU(M) Kigoma katika jimbo la uchaguzi la Buhigwe tumekamata Tsh. 210,000/=...
5 Reactions
33 Replies
8K Views
Wakili Simba Richmond Akaro Neo, akionyesha mbele ya waandishi wa habari fomu ya kuomba uteuzi wa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA leo Ijumaa 10/07/2020, Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Bunge limekwisha kuvunjwa, uwanja wa kisiasa sasa uko wazi ukisubiri wagombea watinge na kuanza kushindana. Miaka 5 ya utawala wa CCM na Serikali yake, chini ya Rais Magufuli, nayo inafika...
0 Reactions
3 Replies
890 Views
Back
Top Bottom