Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakili Gaspar Mwanalyela amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea Urais kupitia Chadema ambapo moja ya vipaumbele vyake amesema atafumua mfumo wa elimu nchini na kusuka upya sambamba na kuahidi...
8 Reactions
19 Replies
3K Views
Lazaro Nyalandu yuko live Clouds tv akiweka wazi mipango yake endapo atachaguliwa kuwa Rais wa JMT. Maendeleo hayana vyama! ======= Nyalandu: Mbowe ni mtu ambae amestahimili, amepambana na...
14 Reactions
40 Replies
6K Views
Kamati ya siasa ya halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Iringa imepiga marufuku watia nia wa nafasi za ubunge na udiwani kuweka vipeperushi na mabango mitaani na mitandaoni. Hatua hii inalenga...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Benard Membe ameweka wazi kuwa ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumkubalia agombee ,basi yuko tayari kupeperusha bendera. Hili litakua kosa kubwa, usaliti wa hali ya juu na dhambi isiyo...
11 Reactions
77 Replies
6K Views
WISTON MOGHA AJITOSA KWENYE UBUNGE KIGOMA MJINI (Kigoma Tuitakayo) Na Mwandishi wetu Ally Mahmoud Wiston Mogha amesema ameamua kugombea nafasi hiyo ya Ubunge baada ya kugundua kero nyingi katika...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Yule mbunge pekee anayewakilisha wanyama na binadamu, ambaye pia amesimikwa kuwa msemaji rasmi wa Mkoa wa Morogoro, Joseph Haule amechukua tena fomu ya kuomba ridhaa hiyo.
8 Reactions
28 Replies
3K Views
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi. Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa...
5 Reactions
112 Replies
12K Views
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi. Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua...
12 Reactions
120 Replies
17K Views
Mhe. Sabreena Sungura Atia Nia Kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala Mkoani Dar es Salaam Kupitia Chama Cha Wananchi CUF. Sabreena Sungura Mwanamama Jasiri Na Mpambanaji...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr John Magufuli wakati ikipambana kuhakikisha nchi inakua kiuchumi kuna baadhi ya viongozi wa ovyo wao akili zao wanawazia nafasi za uongozi wao. Ni tarehe...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Ni aibu kubwa kama chadema ikamsimamisha Membe agombee kutokana na matukio ya kina Lowasa na Sumaye waliyofanya. Nitakuwa mjinga wa ajabu napanga foleni kupigia kura chadema na mgombea ni...
15 Reactions
55 Replies
4K Views
CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?
3 Reactions
139 Replies
16K Views
Habar wadau Katika pitapita zangu kwenye baadhi ya midahalo nimeweza kuangalia baadhi ya mikutano ya Mbowe na Tundu Lissu na kubaini ubora wa wote wawili kwenye majukwaa Kwanini nasema CHADEMA...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Katika siasa za nchi yetu sasa ina makundi matatu Kundi la kwanza ni la Watangazania,Wapinzania na Wagombania. Watangazania Wamejaa sana CCM hasa baada ya Mwenyekiti kusema kwamba ukikosa ubunge...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajamvi, Mara zote mataifa ya wenzetu, hata yale wafadhili mfano wachina na wamarekani, huwa wanatafuta rais ambaye yuko vizuri kwenye hitaji lao kuu la Taifa ambalo wananchi walio wengi...
30 Reactions
160 Replies
7K Views
Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki...
7 Reactions
57 Replies
6K Views
Wanajamvi, Naona kama kuna panic ya hali ya juu humu jamvini, ya members wengi maarufu humu mfano Troll JF johnthebaptist, wakidai kuwepo na kikao cha mwenyekiti wa CHADEMA na Membe kuhusu...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
WATIA NIA WENGI CCM WAMESHAKOSA SIFA ZA KUTEULIWA. Na Bashir Yakub, WAKILI. +255 714 047 241. Twende na Kanuni ya 35 ya Kanuni za uchaguzi wa Ccm za 2017. Kwanza katika kanuni hizi ambazo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom