Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Inapotoa toa fedha kwa jina la taasisi maana yake hizo ni fedha za taasisi. Kumeibuka kauli kila kona ya nchi kwamba chama cha waalimu Tanzania kimetoa fedha za fomu baadhi zikienda kwa Mhe...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Ulevi wa madaraka ni mbaya sana kuliko hata wa kubugia ugoro. Eti anawasemea Wamaasai kuwa hawataki katiba mpya? Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kweli shibe ni ulevi pia. Nimeamini kuwa mtu anayefaidika...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Kundi la Katibu mkuu aliyejiuzulu kwa Kashfa Daniel CHONGOLO na makundi ya wasaka URAIS 2025 na 2030 yanafanya minyukano ya kuhakisha Samia hapati. Katibu Mkuu mzuri kila kundi linapambana...
1 Reactions
2 Replies
520 Views
Mapendekezo ya jumla na msimamo wa CHADEMA juu ya miswada ya sheria iliyowasilishwa bungeni 10, Novemba 2023 inayohusu masuala ya uchaguzi na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa NB; maoni haya...
8 Reactions
133 Replies
7K Views
Ni ajabu kuona baadhi yetu huko wanapendekeza watu waliofungwa wapige kura wakati wa uchaguzi. Wanaopendekeza hili wanasahau kwamba haki ya kupiga kura huwezi kuitenganisha na haki ya kupigiwa...
7 Reactions
18 Replies
966 Views
Wadau naomba kuuliza hivi huyu Joeseph Mhagama ni nani...!!? Binafsi ndiyo nimemsikia kwa mara ya kwanza. Imekuwaje akapewa kazi kubwa kama hii...!!? Binafsi sikuwahi kumsikia mpaka sasa kwenye...
1 Reactions
8 Replies
798 Views
Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA ni watu wenye uroho na uchu mkubwa sana wa madaraka.ndio maana kwa kila jambo linalojitokeza mbele yao wao huangalia ni vipi watapata na kufaidika zaidi na kupata...
2 Reactions
94 Replies
3K Views
Na hapa ifahamike kuwa, Kuwa Chama chochote cha upinzani, ni njia nzuri ya kukataa ujinga na kuwa sehemu ya furusa ya maccm Ujinga ni pamoja na kukubaliana mambo yenye kinyume na ukweli Hii...
3 Reactions
6 Replies
425 Views
..Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake. ..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni...
16 Reactions
115 Replies
27K Views
Ndivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione...
8 Reactions
22 Replies
1K Views
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu...
12 Reactions
46 Replies
25K Views
Rais Samia amewataka vijana wa CCM kujibu taarifa na hoja za Wapinzani kwa takwimu na ushahidi wa kazi nzuri ya Serikali badala ya kulumbana, kubishana na kutukanana na Wapinzani ambao wamejaa...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , John Heche leo tarehe 10/01/2024 , amefika Kilombero na kuhutubia Maelfu ya Wananchi , ambao kwa Kauli moja wamekubaliana kuing'oa CCM madarakani kwa Udi na...
8 Reactions
73 Replies
3K Views
Sitaki kuwapotezea muda, naingia moja kwa moja kwenye mada . 1. Tamisemi isijihusishe na lolote kwenye uchaguzi, hii ni kwa sababu ndani ya Tamisemi wamejaa wateule wa Rais ambaye ni Mwenyekiti...
0 Reactions
12 Replies
648 Views
Kwa sababu CCM ni chama Tawala basi UVCCM wameona silaha yao Kuu ni Nguvu na Vitisho badala ya kujenga hoja Hii hali ilishalalamikiwa na Mzee Kikwete, hayati Magufuli na sasa Rais Samia...
1 Reactions
4 Replies
468 Views
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa. Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa...
30 Reactions
111 Replies
7K Views
USHINDI WA RAIS SAMIA 2025 NI ASILIMIA 95. Tanzania tumezoea Siasa za Ushawishi kufanya siasa bila ya ugumu wa kuhasimia au kugawana hizi ndiyo siasa tunazozitaka. Mawazo tofauti si chuki si...
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Baruani Mshale ambaye ni Mkurugenzi wa Mikakati na Mafunzo kutoka TWAWEZA amesema kitendo cha Watu na hasa Vijana kutoshiriki katika masuala ya Uchaguzi kinasababisha maamuzi yanayofikia...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Hayo ndio mapito waliyopitia Chadema awamu iliyopita Tulishuhudia Kikundi cha wabunge na Madiwani waliounga mkono Juhudi, tulishuhudia akina Sugu walifungiwa Jela lakini zaidi tulishuhudia...
2 Reactions
9 Replies
484 Views
Tunapoelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ni vyema vyama vyote vya upinzani vitakavyoshiriki vikaanza maandalizi mapema kabla giza halijazama. Wote tunakumbuka...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Back
Top Bottom