Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro. Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea...
15 Reactions
60 Replies
11K Views
  • Closed
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo, Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama...
4 Reactions
151 Replies
20K Views
Mambo yanaenda hayaendi. Wapo watu kasi imewashinda, tathimini imekamilika na kinachofuata ni kauli ya tupishe wenye kasi zaidi wakalie viti. Tunategemea panguapangua siku si nyingi kutoka juu...
3 Reactions
51 Replies
9K Views
  • Closed
Habari zilizo tufikia punde ni kuwa mhe Magufuli hatunae Tena duniani... Ulazwe unapo stahili
5 Reactions
153 Replies
13K Views
Baada ya kufariki Makamo wa kwanza Maalim seif sharif Hamad, Kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale kuhusu ni nani atakae weza kuvaa viatu japo nusu, vya marehemu Maalim Seif, mpaka sasa majina ni...
7 Reactions
157 Replies
15K Views
Wanabodi,wengi watakua wameshtushwa na uteuzi wa Dr. Bashiru ambae ni Katibu Mkuu wa CCM kupewa wadhifa wa Katibu Mkuu Kiongozi,ila sidhani kama jambo hili limefanyika kwa bahati mbaya!!! Kabla...
4 Reactions
35 Replies
5K Views
Halo JF siasa. Wimbi la wasanii kuonesha vipaji vyao vya uongozi linazidi kujidhihirisha. Kuna habari za chini ya kapeti kuwa mrembo wa haja nchini, Hamisa Mobeto anataka kuwaakilisha...
3 Reactions
90 Replies
9K Views
Wanabodi, Pamoja na Nia Njema ya Rais Wetu JPM kuunda PSSSF ili kuboresha mafao ya wastaafu na watumishi wa umma.kuna tetesi kuwa menejimenti hiyo haipo focused na madai mbalimbali ya watumishi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana hii imekaa je. Pana habari tokea pande za wilaya ya Ngara kuwa wanakamatwa watu hovyo kisa 10,000/= michango ya ujenzi wa shule hasa pande za kule Rusumo. Sheria zipi...
8 Reactions
34 Replies
4K Views
Hii taarifa imenaswa mahali kua kuna kundi kubwa la wasanii muda si mrefu wataungana na msaani mwenzao Wema Sepetu kujiunga na CHADEMA, kundi hilo linadaiwa kua na wasanii maarufu nchini hasa wale...
13 Reactions
80 Replies
11K Views
Nitawaletea mesej kama ilivyotumwa ''Huyu mzee sijui anataka kutupeleka wapi, sisi wabunge WA CCM tukipiga kelele tunaonywa, Ishu ya Chato mnatake it as a joke lakin mambo haya si ya kukingia...
7 Reactions
154 Replies
15K Views
  • Closed
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote. Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm...
172 Reactions
1K Replies
161K Views
Katika hali isiyokua ya kawaida inadaiwa kua kuna vuguvugu la ndani kwa ndani katika umoja huo linalohusishwa mikakati ya kuomba uungwaji mkono kutoka ngazi za juu ili kuitisha kikao cha wajumbe...
2 Reactions
44 Replies
7K Views
Wakuu, Nimesoma hii habari kwa masikitiko. Kama ni ya kweli, ni kweli tumedhamiria kuwa na wawekezaji wa kigeni Tanzania au ni maigizo tu? Maamuzi haya yanaathiri sana FDIs kwa nchi yetu na...
22 Reactions
140 Replies
14K Views
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha. Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA...
81 Reactions
393 Replies
42K Views
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini kula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum. Kundi...
34 Reactions
296 Replies
21K Views
Tanzania imejitoa rasmi katika Mahakama ya Africa, hivyo NGO's, mashirika na watu mbalimbali hawataweza tena kufungua kesi katika Mahakama hiyo kutafuta HAKI. More to follow...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimeuliza ili kupata majibu baada ya tetesi kunifikia, naomba mwenye kujua zaidi atueleweshe. Na wala haishangazi, hii ni kwa vile uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti, anayeanza siyo...
7 Reactions
122 Replies
11K Views
Kuna habari zisizothibitishwa kwamba yule Mkurgugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji pale kanisani ni Itigi ni mtoto wa dada yake Raisi Magufuli. Ikiwa hili ni kweli basi ni wazi kwamba tukio...
17 Reactions
125 Replies
26K Views
Moto umewaka ndani ya ACT Wazalendo Kigoma kutokana na Azma ya Madiwani wote kumkataa Meya wa Manispaa . Usiku wa kuamkia tarehe 16.01.2020 wamejikuta viongozi wa kitaifa wakishindwa kuyamaliza na...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Back
Top Bottom