Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA. Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea...
13 Reactions
149 Replies
12K Views
Mpaka sasa Makada wetu Wanaendelea kufuatilia hali ya mgombea na wapambe waliopata ajali usiku wa kuamkia Leo wakitoka kupiga kilaji kwa katibu uenezi Ndugu Kamanga VICENT
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Makatibu Uenezi wa Majimbo ya Uchaguzi Mkoani Kagera wameanzisha mgomo baridi wa kuwalazimisha wenye malori ili wasombe watu kwenda mikutano ya kampeini itakayohutubiwa na Waziri Mkuu Majaliwa...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Zimetolewa hadharani kwa kila mtanzania mwenye sifa, aombe nafasi hizo za muda za kusimamia uchaguzi hapo October 28 mwaka huu, lakini taarifa za uhakika nilizozipata ni kuwa nafasi hizo muhimu...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great. Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola...
61 Reactions
154 Replies
34K Views
Salaam, Hii ni mara ya tatu naandika huu uzi lakini unafutwa sijui kwa nini! Ujumbe ninaotaka kuufikisha kwenu ni kwamba wafanyakazi wa serikali Zanzibar na hasa Pemba wameelezwa na mabosi wao...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Kama taarifa hizi ni za kweli basi bungeni kutakuwa na mabadiliko makubwa na hii italeta afya kwenye bunge la 12. Kwamba wabunge wote waliokaa bungeni kwa tiketi ya CCM kwa miaka 10 au zaidi...
8 Reactions
61 Replies
8K Views
NSSF ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo kwenye mfuko huo ni za jamii ikiwa na maana si za serikali ni za wanachama. Tangu awamu hii ya tano NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wenye pesa...
7 Reactions
74 Replies
9K Views
Wakuu Habari zenu, Kwa vile Ben Saanane ameonesha kuwa ni mtu anayeamini katika Ukweli na uwazi kiasi cha kupambana na kumshambulia Rais Magufuli mfululizo kwenye page yake Facebook.Jamii forums...
12 Reactions
170 Replies
29K Views
Heshima kwenu. Huyu jamaa yupo kituo cha polisi toka 10:30 jioni . Kosa au maelezo anayochukuliwa ni la kutotimiza ahadi ya Bajaji kwa kwa Mzee Kambanga, ambaye alipata ajali na kukatwa...
8 Reactions
41 Replies
10K Views
Ikiwa kesho tarehe 25 ndiyo siku ya Tume ya Uchaguzi kuwathibitisha wagombea wa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani kwa vyama mbali mbali nchini, hali ya ajira ya watumishi wa Umma waliojitosa...
4 Reactions
89 Replies
11K Views
"Mmenunua ndege ila wahudumu wenu ni wabaya hawana mvuto. Mimi mwenyewe ni mzee ila nimewazidi uzuri wahudumu wa ATCL".. Hii kauli ilimuuma sana Mwenyekiti. Sasa utasugua benchi hadi 2026.
27 Reactions
86 Replies
14K Views
Kama mtakumbuka, kipindi hiki cha miaka mitano ya utumwa ya bwana yule kulitokea upuuzi wa Polisi kukamatakamata watu hasa upinzani kipuuzipuuzi. Kuna siku Balozi Adadi alisimama bungeni na...
31 Reactions
74 Replies
12K Views
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT...
44 Reactions
84 Replies
9K Views
Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa...
53 Reactions
102 Replies
8K Views
Kati ya wajumbe wote wa kamati kuu ni watu watatu tu pamoja na msemaji wao ndiyo waliounga mkono Membe kufukuzwa. Hata aliyeongoza Tume ya Maadili, yaani Mzee Philip Mangula alipinga Membe...
48 Reactions
154 Replies
26K Views
  • Closed
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari polisi walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na...
9 Reactions
157 Replies
14K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kule Kilimanjaro, CCM imemuamini mwenyekiti wa CCM mkoa Jambo ambalo nitakigharimu chama kwa miaka mitano. Mwenyekiti wa CCM mkoa ni swahiba mkubwa wagombea...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndio taarifa zinazosikika jijini Dodoma kwamba wabunge wote wa viti maalumu na wale wa kuteuliwa sasa wameshapata uzoefu wa kibunge hivyo chama kitawataka wakatafute majimbo wagombee. Bunge...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema. Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana...
6 Reactions
130 Replies
12K Views
Back
Top Bottom